04 July, 2015

Wayne Rooney ameendelea kufurahia siku chache za mwisho za likizo yake(Picha)

Rooney 5Wayne Rooney ameendelea kufurahia siku chache za mwisho za likizo yake kabla ya kujiunga na Manchester United siku ya Jumatatu asubuhi kwa ajili ya kuanza mazoezi kujiandaa kwa msimu ujao.
Nahodha huyo wa England amepigwa picha akiwa na familia yake wakila maisha na kufurahia huku akiendesha speed boat.
Rooney 3Rooney hatakuwa nyumbani kwa muda kwasababu kikosi hicho chini ya Van Gaal kitaelekea Marekani baadae mwezi huu kukamilisha ziara kabla ya kuanza kwa msimu (pre-season tour).
Rooney 4Mashetani wekundu watakipiga na Club America Julai 17 kabla ya kutimkia San Jose siku nne badae.
Rooney 7
Baada ya hapo, ratiba ya United itakuwa ngumu kwani watakipiga na mabingwa wa kombe la vilabu bingwa Ulaya klabu ya FC Barcelona na Paris Saint-Germain.
Rooney 6

Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

Golikipa wa Manchester United, David de Gea ameonywa kwamba mashabiki wa Atletico Madrid hawatamsamehe kama atajiunga na wapinzani wao wa jadi, Real Madrid.

2A2D7B4600000578-0-Manchester_United_and_Spain_goalkeeper_David_de_Gea_has_flown_ov-m-44_1435960365577
De Gea mwenye miaka 24 wiki hii ameonekana mjini Madrid na kuongeza uvumi zaidi kuwa anaondoka Old Trafford na kutua Bernabeu.
Kipa huyo amesisitiza kwamba yupo Madrid kupumzika wakati huu wa likizo, lakini anawindwa na Real Madrid ambayo mara chache sana hushindwa kumnunua mchezaji wanayemtaka.
De Gea alijiunga na United kutokea Atletico mwaka 2011, ambapo alianza maisha yake ya soka kwa paudi milioni 18.9.
Mwaka mmoja kabla ya kuondoka Atletico, aliisaidia timu hiyo kushinda ubingwa wa Europa. 
Tomas Ujfalusi ambaye alikuwa moja ya sehemu ya safu ya ulinzi ya  De Gea katika msimu huo anasema kipa huyo anapendwa na kuheshimika kwa mashabiki wa Atletico.
Lakini anaamini atachukiwa sana kama atajiunga na Real Madrid kwasababu ataonekana kama ameisaliti Atletico.
Hali hii imemtoka Petr Cech ambaye amejiunga na Arsenal kutokea Chelsea.
Cech ameitumikia Chelsea kwa miaka 10 ya mafanikio na alijenga heshima kubwa kwa mashabiki wa Chelsea, lakini kitendo cha kujiunga na wapinzani wa klabu hiyo ya darajani, kimewachukiza mno na kutishiwa kuuawa.


Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

YALIYOJIRI HUKO BUNGENI LEO: Wabunge wengine 35 nao wamepigwa stop kuingia Bungeni kwa siku tano

stop
Kumekuwa na story nyingi tofauti toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma, kwa muda wa siku tatu mfululizo zimetokea vurugu, Kikao kikaahirishwa kwa siku mbili mfululizo.
Alhamisi July 02 2015 Mbunge John Mnyika aliomba mwongozo kuomba Bunge lisiendelee kwa vile ishu ya kujadili Miswada mitatu kwa siku moja ilikuwa inakiuka Kanuni za Bunge, ukatokea mvutano na baadae Spika AnneMakinda akaahirisha Bunge.
Dada Anne
Spika wa Bunge, Anne Makinda.
Ijumaa July 03 2015 hali ikawa hivyohivyo tena, wakati Waziri George Simbachawene anasoma Muswada, ikatokea mvutano mwingine, zikaanzishwa kelele Bunge likaahirisha tena.. Kikao cha Jioni Spika Anne Makinda akarudi na list ya majina ya Wabunge ambao wamesimamishwa Bungeni kutokana na maamuzi ya Kamati ya Maadili ya Bunge.
01-Mtifuano+Bungeni
Leo July 04 2015 Kikao kimeanza tena saa tatu asubuhi, Mbunge Ezekiel Wenje akaomba Spika atoe ufafanuzi wa kwanini Mbunge Silinde hayuko kwenye list ya waliotajwa kusimamishwa lakini Askari wa Bunge wamemzuia asiingie kwenye Kikao?
Majibu ya Spika hayakuwaridhisha baadhi ya Wabunge, zikaanza tena kelele… Spika akataja list ya Wabunge wengine ambao wanasimamishwa kuhudhuria Vikao vya Bunge kwa siku tano kila mmoja.
List ya Wabunge wote iko hapa.
Ezekiel Wenje
Mussa Kombo
Masoud Abdallah Salim
Rebecca Ngodo
Sabrina Sungura
Khatib Said Haji
Dr. Anthony Mbassa
Maulidah Anna Valerian Komu
Kulikoyela Kahigi
Cecilia Pareso 
Joyce Mukya
Mariam Msabaha 
Grace Kiwelu
Israel Natse 
 Mustapha Akonaay
Konchesta Rwamlaza
Suleiman Bungura 
Rashid Ali Abdallah 
Ali Hamad
Riziki Juma
Rukia Kassim Ahmed
Azza Hamad
Khatibu Said Haji
Kombo Khamis Kombo
Ali Khamis Seif
Haroub Mohammed Shamisi 
Kuruthum Jumanne
Mchuchuli
Amina Mwidau
Mkiwa Kimwanga
Salum Baruhani 
Marry Stellah Malaki
Rashid Ally Omary
Mwanamrisho Abama
Lucy Owenya
Hiyo stori iko kwenye hii sauti hapa, utasikia mwanzo mpaka mwishon ilivyokuwa mpaka majina ya Wabunge walipotajwa.

Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

Hizi ndizo video 10 za Nigeria zinazo ongoza kutizamwa YouTube

 Asilimia kubwa ya watu wanao taka kutizama video kwenye mitandao basi mtandao wa kwanza kuujua ni YouTube japokuwa ipo mitandao mingine inayo jihusisha na kuweka video kwenye mtandao.

Hizi ndizo video 10 kutoka kwa wasanii wa Nigeria ambazo zimeonekana kuwa zinapendwa kutizama kila mara kwenye mtandao wa YouTube bila kujali lini video hiyo iliwekwa. Ikiwa wasanii wa Nigeria wanafanya vizuri hivi vipi hapa kwentu Tanzania.!

10. P-Square – Do Me 15,551,583


9. Flavour – Nwa Baby (Ashawo Remix) 17,272,401


8. Davido – Aye 21,953,528


7. P-Square ft. Rick Ross – Beautiful Onyinye 23,233,589


6. Yemi Alade – Johnny 24,718,205


5. Timaya Ft. Sean Paul – Bum Bum Remix 26,412,392


4. P-Square Ft. Akon, May D – Chop My Money 26,213,569


3. Iyanya – Kukere 28,618,922


2. D’Banj – Oliver Twist 34,021,287


1. P-Square – Personally 46,591,476

Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

Magazeti July 4 2015

In Case
MWANANCHI
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
Uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Mwananchi kwenye maeneo ya katikati ya mji wa Dodoma hadi jana, umebaini kuwa tayari nyumba nyingi za kulala wageni na hoteli zimeshajaa.
Baadhi ya wajumbe wa vikao hivyo ni wabunge ambao tayari wako Dodoma wakiendelea na Bunge, wengine ni wapambe wa makada waliokuja kurejesha fomu za kuwania Urais ambao hawajaondoka.
Baadhi ya Mameneja wa hoteli hizo walisema watu hao wataondolewa kuanzia Julai 6 iwapo hawatakuwa miongoni mwa waliopangiwa vyumba, huku kukionekana pia baadhi ya wenyeji wameanza kukarabati nyumba zao kwa ajili ya kupangisha wageni mbalimbali.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime amewahakikishia wageni kuwa Jeshi lake limejiandaa vizuri kwa ugeni huo mkubwa utakapoingia, kuishi na hadi kuondoka.
MWANANCHI
Hali tete ndani ya Ukumbi wa Bunge jana iliendelea kutanda wakati Spika Anne Makinda alipolazimika kuahirisha kikao asubuhi kutokana na kelele na baadaye Wabunge saba wa upinzani kuadhibiwa, wakiwamo watano waliozuiwa kuhudhuria hadi kumalizika kwa Bunge la 10.
Hali hiyo ndani ya Bunge iliendelea kwa siku ya pili mfululizo na mara zote kusababisha Spika kuahirisha vikao baada ya shughuli za Bunge kushindwa kuendelea kutokana na kelele za wapinzani wanaopinga kitendo cha kuwasilishwa miswada mitatu kwa hati ya dharura wakidai hakuna haja ya haraka hiyo.
Jana Spika Makinda aliibuka na dawa mpya na kuitumia Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuwaadhibu wabunge hao saba.
Wabunge John Mnyika, Moses Machali, Tundu Lissu, Felix Mkosamali na Paulin Gekul wamefungiwa kushiriki vikao kuanzia leo hadi Bunge litakapovunjwa Julai 9.
Wabunge wengine wawili, Mchungaji Peter Msigwa na Rajab Mbarouk wamefungiwa kushiriki vikao viwili kuanzia leo baada ya Kamati hiyo kuwatia hatiani wawakilishi hao wote saba kwa kudharau mamlaka ya Spika.
Wengine watatu, Joseph Selasini, Khalifa Suleiman Khalifa na Rajabu Abdalah walitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo leo saa 4:00 baada ya wito wa kuwataka wahudhurie jana kuchelewa.
Mashtaka yetu yaliendeshwa kwa haraka, hatukupatiwa muda wa kutosha kujieleza wala kumtumia wakili,” alisema Machali baada ya Bunge kuahirishwa.
Mbunge Tundu Lissu alisema ni bora kufukuzwa kuliko kuendelea kushuhudia gesi ya Watanzania ikiuzwa kwa nguvu bila ya huruma… Mchungaji Msigwa alisema hata angefungiwa kushiriki vikao vyote, asingeathirika.

Vote Diamond& VanessaUsisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

03 July, 2015

Rick Ross atoka sero kwa dhamani ya dola milioni 2.

Uross-bail
Rapa Rick Ross ameachiwa huru baada ya kuweka dhamana ya dola milioni 2 na mahakama kukubali mtuhumiwa atoke kwa dhamani hio. Rick Ross alikamatwa June 24 kwa kosa la kuteka na kushambulia mtu na kumsababishia majeraha mwilini.

Wimbo wa Recho ‘Tua’ Uko hapa

rchoDownload na sikiliza wimbo mpya wa Recho ‘Tua’ Uko hapa
Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

Video: KCEE Ft Diamond Platnumz - 'Love Boat'

Msanii Diamond ameendelea kupata mialiko ya kufanya nyimbo na wasanii mbalimbali kutokea kila pembe barani Afrika. Hii hapa ni video mpya iliyotoka muda mchache tu uliopita ambapo msanii KCEE amemshirikisha Diamond katika wimbo unaoitwa LOVE BOAT. Hebu tazama Video hii hapa uangalie Diamond alivyofanya vizuri humo.
Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

Dej Loaf na Big Sean: Back Up (Audio)

ifwt_DeJ-Loaf-MAIN
Rapper Dej Loaf ni staa wa Hip Hop wa Marekani anaeyekua kwa kasi sana, alianza kufanya muziki rasmi mwaka 2011 na mwaka 2012 alidondosha single yake ya kwanza iitwayo Just Do It. Mwaka 2014 mwezi Oktoba mwanadada huyu aliachia single yake ya pili, Sell Sole

01 July, 2015

Ratiba kamili ya michuano ya Kagame Cup 2015 niko nayo hapa…


kagameMichuano ya kimataifa kwa nchi za Afrika Mashariki na kati ya kombe la Kagame itaanza Jula1 18 kwenye uwanja wa Taifa, Dar es saam.Tanzania inatarajia kuwakilishwa na timu tatu Yanga, Azam Fc na KMKM ya Zanzibar kwenye michuano hiyo.

Manchester United imetenga dau la Euro milioni 160 kwa ajili ya kumnasa mshambuliaji wa Bayern Munich Thomas Muller.

MullerHabari kubwa imeripotiwa na mwandishi Christian Falk kuwa, klabu ya Manchester United imetenga dau la Euro milioni 160 kwa ajili ya kumnasa mshambuliaji wa Bayern Munich Thomas Muller.

Evans Aveva:Hamis Kiiza atapimwa na kusaini mkataba kuitumikia Msimbazi.

Hamis Kiiza of Uganda tries to go past Amandio Da Costa of Angola during the 2014 World Cup Qualifier football match between Uganda and Angola at the Mandela Stadium, Namboole, Kampala on 15 June 2013 ©Ismail Kezaala/BackpagePix
RAIS wa Simba, Evans Aveva, amesema mshambuliaji aliyetemwa Yanga, Hamis Kiiza atawasili nchini wakati wowote na kpimwa afya kabloa ya kusaini mkataba kuitumikia klabu hiyo ya Msimbazi.

Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea

Falcao 1
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.

Mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich wamemsajili kiungo wa Brazil Douglas Costa kutoka klabu ya Shakhtar Donetsk.

Douglas Costa
Costa, 24, amejiunga na Bayern kwa dau la pauni milioni 21 kwa mujibu wa klabu yake hiyo ya Ukraine na amesaini mkataba wa miaka mitano kuitumikia klabuya Bayern.
“Ndoto zangu zimetimia leo”, amesema Costa ambaye amerejea kwao na kikosi cha Brazil akitokea kwenye

Haya ndio majibu kwanini Ali Kiba hajamfollow mtu yoyote @Instagram

alikiba
Ali Kiba ni staa mkubwa kwenye muziki wa Bongo Fleva.. kama wewe ni mtumiaji wa Instagram utakuwa umeona kwamba Ali Kiba haja-follow mtu yoyote ukitembelea mitandao ya kijamii ya Ali Kiba utaona ya kuwa ana mashabiki wengi wanaomfuatilia kupitia mitandao hiyo

Liverpool imekamilisha usajili kwa kumleta Kikosini huyu mchezaji wa sita..

Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino kuungana na Kikosi hicho wiki iliyopita. Liverpool wamemsaini Nathaniel Clyne kutoka Southampton kwa ada ya

30 June, 2015

Stonebwoy ameyasema haya kuhsu Fuse ODG kutokuwepo kwenye tuzo za BET…

stb
Stonebwoy msanii wa Ghana aliebuka mshindi wa Best International Act: Africa kwenye tuzo za BET Awards 2015 alichukua time na kufanya interview na Live Fm jijini Accra kutoa shukurani zake kwa watu waliompigia kura na pia kuongelea suala ya Fuse ODG kutokushiriki kwenye tuzo hizo siku ya

TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA LOE JUNE 30

begovic
Chelsea wametoa dau la pauni milioni 6 kumtaka kipa Asmir Begovic, 28, kuziba nafasi ya Petr Cech, 33 aliyehamia Arsenal (Telegraph).
Tottenham huenda wakamtoa Emmanuel Adebayor, 31 kwenda Aston Villa kubadilishana na Christian Benteke, 24 (Daily Mirror).

FAHAMU NI KWA NINI TEVEZ NA RIBERY WAMEAMUA KUACHA MAKOVU YAO

frankriberyscarsKwa kiasi fulani, makovu ni moja ya vitu ambavyo huwafanya watu wakumbuke matukio yaliyopelekea hali hiyo kuwatokea, ni vigumu sana kusahau tukio ama hali iliyokusababishia athari mwilini endapo una kovu katika moja ya sehemu za mwili wako. 

Video: Alikiba - 'Chekecha Cheketua'

‘Chekecha Cheketua’ is Alikiba's 2nd official smash hit release through his worldwide exclusive partnership with his record label and management company 'ROCKSTAR4000' and publishing partnership with 'Rockstar Publishing'

Magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa wapenzi wa jinsia moja

Maradhi ya zinaa yanayosambazwa miongoni mwa wapenzi wanaume wa jinsia moja inatamausha.
Haya ni kwa mjibu wa shirika la afya ya umma nchini Uingereza.Takwimu za mwaka 2014 zinanonesha kuwa

Rapa Iggy Azalea amemchana Britney Spears baada ya collabo yao kufeli vibaya

bb 2
Rapa Iggy Azalea amemchana msanii mwenzake Britney Spears baada ya collabo yao kufeli vibaya na hata video kutofanya vizuri.  Akiongea kwenye inteview kuhusu colabo yao Iggy amesema “Wimbo wao wa “Pretty Girls” uliotangazwa vyema na

Ramos amefanya uamuzi huu

Wiki moja baada ya ofa ya kwanza ya Manchester United kumsajili Sergio Ramos kukataliwa na Real Madrid, hatimaye mchezaji huyo ambaye yupo mapumzikoni ametoa kauli yake United walituma ofa ya kwanza ya paundi millioni 28.3 kwa Madrid ili kupata saini ya beki huyo wa kimataifa wa Spain, lakini Madrid waliikata ofa hiyo.
Hata hivyo baada ya Ramos kugundua Madrid wameikataa ofa hiyo, alichukua uamuzi wa kuwaweka wazi viongozi wa Madrid kupitia wakala wake kwamba – Anataka kuondoka na kujiunga na United na kuiomba Madrid ikubaliane bei na Manchester United. Uamuzi huo wa Ramos umeishtua Madrid, ambao walitegemea wangefanya makubaliano ya mkataba mpya na beki huyo. Madrid wanategemewa kujaribu kumtuliza Ramos na mkataba mnono mpya lakini kaka na meneja wa mchezaji huyo – Rene Ramos ameshaifahamisha Madrid lengo la mteja wake kutaka kuanza maisha mpya sehemu nyingine.
Rene ameripotiwa kusema kwamba Ramos anataka kuhamia Old Trafford wakati huu wa dirisha la usajili na klabu pekee ambayo anataka Madrid ifanye nayo makubaliano ni United.

Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

29 June, 2015

Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba


.Ishu ya  Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti. Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni

Rihanna kaongelea kuhusu mipango yake, kagusia ukweli kuhusu kuacha muziki!

Celebrities watch the Los Angeles Lakers play the Los Angeles Clippers at the Staples Center. Clippers won by a score of 109 - 95 Featuring: Rihanna Where: Los Angeles, California, United States When: 07 Apr 2013 Credit: WENN.com
Robyn Rihanna Fenty maarufu kama Rihanna ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na fashion designer anaejulikana duniani kwa nyimbo nyingi kali kama Diamonds, Four Five Seconds aliomshirikisha Kanye West na Bitch better have my money, akiwa na miaka 27 tu Rihanna alishawahi kutajwa kama

Mganda aliyeshinda tuzo ya BET 2015 na vigezo vilivyotumika, viko hapa.

eddy
Msanii wa muziki wa Dance Hall kutoka Uganda Eddy Kenzo ameshinda tuzo ya Bet ya ‘Viewer’s Choice Best New International Artist’ mwaka 2015 kwenye tuzo zilizofanyika usiku wa jumapili ya 28 June 2015 kwenye ukumbi wa Microsoft Theatre huko Los Angeles Marekani.

BET 2015 awards jana ilifika kilele na tuzo kutolewa, Haya ni majna ya washindi wa tuzo hizo na pia kuna Msanii wa Afrika aliyegoma kwenda kwenye tuzo za BET kwa makusudi

 Minaj
Tuzo za Bet zimetolewa Marekani, wasanii waliopokea na waliokosa, orodha yote iko hapa. Msanii wa rnb Chris Brown ni miongoni mwa wasanii waliofanya show kali kwenye jukwa la tuzo hizo, Nicki Minaj,Rihanna na Meek Mil Pia.

28 June, 2015

Mtambue George Weah mchezaji pekee wadunia kutoka Africa

weah
Kama kuna mchezaji, Waafrika tunaweza jivunia ama kutembea kifua mbele katika ulimwengu wa soka ni mwanasiasa wa sasa wa Liberia ‘George Tawlon Manne Oppong Ousman Weah’. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Liberia anatajwa kua mchezaji bora wa Afrika wa muda wote na pengine wa

Wolper: Hakulaliki Nipo Tuu Natafakari Kitu Kinaitwa Kifo

 Image result for jackline wolper
Nimelala lakini hakulaliki nipo tuu natafakari kitu kinaitwa kifo,  watu wa dini wanasema usilie bali uombe kwa Mungu apunguziwe adhabu ukilia unamuumiza sijui unamzidishia adhabu sasa mtu unaumia ufanyaje?
Jamani dah kifo bwana acheni tuu Mungu aitwe Mungu lakini

Filamu Mpya ya Lulu Kuzinduliwa Septemba, Mwaka Huu

Filamu Mpya ya Lulu Kuzinduliwa Septemba, Mwaka Huu
Filamu mpya ya Staa wa Bongo Movie,Elizabeth Michael ‘Lulu’ inatarajiwa kuzinduliwa mwezi Septemba mwaka huu.Filamu hiyo iliyotumia gharama kubwa itazinduliwa mara tatu ikipendezeshwa na ‘Red Carpet’ kwenye sinema,kwa waandishi wa habari na

Steve Nyerere: Sijakurupuka Kugombea Ubunge

Steve  Nyerere: Sijakurupuka Kugombea Ubunge Staa wa Bongo Movies na aliyekuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Unit, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ ambaye wiki iliyopita alitangaza niua yake ya kugombe ubunge mwaka huu wa uchaguzi amedai kua hajakurupuka kuutaka ubunge kupitia jimbo la Kinondoni na

Wema Sepetu: Siwezi Kumsapoti Diamond Kwenye MTV Awards, Nitaonekana Ninajipendekeza

 Wema Sepetu: Siwezi Kumsapoti Diamond Kwenye MTV Awards, Nitaonekana Ninajipendekeza
Katika Kipindi cha TV cha Wema Sepetu Kiitwacho In My Shoes Wema Amedai kuwa hawezi Kumsapoti Mwanamuziki Diamond kwenye Tuzo za Mtv Awards kwa vile Kufanya Hivyo ataonekana anajipendekeza kwa vile Diamond hajawahi kumuomba kufanya hivyo...Pia amedai kuwa

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...