Showing posts with label Life Style. Show all posts
Showing posts with label Life Style. Show all posts
10 August, 2016
J. Cole’s Top 10 Rules For Success
Do you need to get Success in your life? do u need awesome life so far? here we go...Check out some words of wisdom from J. Cole on achieving success. Don't forget to share this article to all of friends any where through social medias as much as you can.
21 June, 2016
Waheshimu wazazi wako katika Uzee wao maana.....
Mzee mmoja mwenye miaka ipatayo 80 alikua ameketi katika sofa nyumbani kwake na mwanawe mwenye umri wa miaka 45, Ghafla akatokea njiwa katika dirisha huku njiwa yule akiwa anaipiga kelele. Yule Baba akamwambia mwanawe "Ni nini hicho?", mwanawe akamjibu "Ni njiwa", Baba akamuuliza tena kwa mara ya pili "Ni nini Hicho?" mwanae akamjibu "Baba nimekwambia ni njiwa".
Baada ya Muda kidogo, Baba yule alimuuliza mwanawe kwa mara ya Tatu "Ni nini hicho?" mwanawe yule akajawa na ghadhabu na kumjibu baba yake "Ni njiwa, ni njiwa". Baada ya Muda tena, baba yule alimuuliza mwanawe "Ni nini hicho?" safari hii mwanawe akamjibu "Mbona una niuliza swali hili hilo tuu ilhali nimekwisha kujibu kwamba NI NJIWA?" "hunielewi?"
Baadae Kidogo, mzee yule aliinuka na kwenda chumbani kwake alipo hifadi Diary yake ambayo aliihifadhi tangu mtoto wake huyo alipo zaliwa. Akafungua Ukurasa mmoja kisha akampatia mwanawe yule ili asome ukurasa ule.
Hichi ndicho kilicho kuwa kimeandikwa katika Ukurasa Ule....
"Leo mwanagu mwenye umri wa miaka mitatu alikuwa amekaa na mimi kwenye sofa, na alitokea njiwa katika Dirisha letu njiwa huyo alikua akipia kelele. Mwanangu aliniuliza mara 23 "Baba ni nini Hicho?" nilimjibu mara zote 23 alizo niuliza, Nilimkumbatia kwa upendo kwa mara 23 zote alizokuwa akiniuliza jambo hilo hilo moja "Baba ni nini Hicho?". Sikumuonyesha kughadhabika kwa kuuliza swali hilo kwa mara 23 ilhali nlikwisha kumjibu."
Baada ya mtoto yule kumaliza kusoma ukurasa ule, alijawa na aibu ndipo akamwomba baba yake msamaha.
Tunajifunza nini katika hadithi hii?
Wazazi wako wanapo fikia katika uzee, hupaswi kuwaonea ama kuwadharau juu ya uzee wao. Huko unapo pitia tambua ya kwamba wao wailipitia pia enzi za utoto na ujana wao hivyo basi wewe unarudia rudia mambo(Huna jipya mbele ya macho yao). Haijalishi una elimu kubwa kiasi gani, ama una mali nyingi kuliko wazazi wako ila tambua ya kwamba Bila wao usingekuwa hivyo ulivyo.
Tizama jinsi mzazi huyu alipo muuliza mwanawe swali moja kwa kurudia mara nne na mwanawe huyo akakasirika, ila mzee yule aliwahi kumjibu mwanawe swali hilo hilo kwa mara zote 23 ambazo mwanawe alimuuliza bila hata ya kuonyesha ghadhabu juu ya mwanawe, badala yake alimkumbatia kwa upendo na kumjibu.
“I will serve my old parents in the BEST way.
16 June, 2016
Watu 6 unao takiwa kuwa nao kaitika mapenzi kabla Hujafa.
Maisha yanabadilika kila Kukicha, tamaduni nazo zinabadilika, muda unakwenda na Umri unazidi kusogea. Itafika pahala utapaswa kuwa na Mpenzi ama mtu ambaye ulitamani kuwa nae maishani (Man/woman of your Dream), hivyo basi huna budi kutambua/kufahamu watu unaotakiwa kuwa nao kabla kifo na Mauti kukupata.
Wazazi wako wanaweza kukukataza kuoa ama kuolewa na mtu ambaye ni kutoka nje ya kabila lako, lakini wakati mwingine hupaswi kuwasikiliza. Kutoka kimapenzi(Kuoa/Kuolewa) na mtu ambaye ni wa kutoka nje ya kabila/nchi ama bara lako, ni njia moja wapo ya kujifunza maisha na tamaduni tofauti tofauti(Ni jambo jema). Utawafundisha watu Lugha yako na utamaduni wa kwenu na wao pia watakufundisha Tamaduni zao. Wakati mwingine wote wawili mtajikuta macho kwa macho mkitazama/kujifunza jambo fulani. Mtapata watoto na watakua na Tamaduni mbili tofauti(Inapendeza si ndiyo?). Jambo hili linategemea Drama kutoka ktika familia za wazazi wenu lakini mkisimama kidete mtapata kile mlicho kidhamiria.
Hii inahusisha namba kubwa ya watu. Mfano mtu ambaye ana-share hobby na wewe, mtu ambaye ni mzuri, mtu ambaye kuna muda unafika mnagombana pasipo na sababu maalumu n.k. Mtakuwa mnapenda kuonyesha ulimwengu Furaha yenu yakini Miguno na minong'ono kutoka kwa rafiki zenu vitawaonyesha kwamba HAWAPENDEZWI NA NYIE ila mnapendezana wenyewe. Ni sawa tuu haina shida na hii isikunyime chance ya kuwa na Mwanaume/mwanamke unayemtaka.
3.Mtu ambaye atakufanya uishi kama Mfalme au malkia.
Pia mtajulikana kama Mr/Mrs Nice Guy. Inawezekana kumuweka mtu huyu katika ukanda wa marafiki zako lakini unapaswa kuwa na imani katika hili. Sure,
they may not be what you’re looking for physically or something but look beyond
their looks. They
will always try and please you and meet you half way and pamper you all
through. All they ask for is your love and affection in return. Plus, you can
always grow to love them so don’t close your mind to it. Anyone who treats you
like you’re the best person on earth is what you deserve so enjoy them! Don’t
take them for granted however, if you find you can never love them, let them
go. Don’t be selfish.
Hakuna Kitu kinacho haaribu Mahusiano kama Migogoro isiyopata Ufumbuzi. Endapo utafanikiwa kukutana na mtu ambaye husamehe kwa wepesi na kuacha mambo yapite, wewe mchukue mtu huyu maana atakufaa. Ni vigumu kwa mtu kusamehe na kusahau matatizo moja kwa moja lakini ukikutana na mtu ambaye huachaga mambo yapite na kutizame mbele, hakika utafika nae mbali. Hakuna haja ya kuvunga wewe sema nae akikubali chukua kiroho safi( ha ha haaa).
Nafahamu ya kwamba wengi tunaamini mapenzi bila uongo hayaendi, ni kweli ila kuna ule wizi uliozidi ambao hata wewe mwenyewe ukiona uanatamani hata kujipiga hapo chini ufe tuu maana moyo wako utajawa na ghadhabu mithili ya simba aliye jeruhiwa porini kwa mshale wa mwindaji haramu, hivyo basi utatamani kumpata mchumba ambaye hana tabia za kitoto( mwongo mwongo). Endapo utampata mtu huyu, wewe chukua maana mtadumu kama ulimwengu(Dunia).
Mmoja kati ya wauaji wa Mapenzi ni jambo "I can Never Change". Watu wanaopenda kusema hivyo siku zote hatokaa ambadilike. Likini ukikutana na mtu ambaye hupenda kubadilika na kushikamana na wewe kama utakavyo, Tafadhali shikamana na Mtu huyu kwa mikono yako miwili wa usimwache akapita maana ukimwachilia utakua umepoteza LULU.
1.Mtu kutoka nje ya Kabala/nchi au Bara lako.

2. Mtu ambaye siyo mzuri machoni pa wengine lakini Mzuri kwako peke yako.

3.Mtu ambaye atakufanya uishi kama Mfalme au malkia.
Pia mtajulikana kama Mr/Mrs Nice Guy. Inawezekana kumuweka mtu huyu katika ukanda wa marafiki zako lakini unapaswa kuwa na imani katika hili. Sure,
they may not be what you’re looking for physically or something but look beyond
their looks. They
will always try and please you and meet you half way and pamper you all
through. All they ask for is your love and affection in return. Plus, you can
always grow to love them so don’t close your mind to it. Anyone who treats you
like you’re the best person on earth is what you deserve so enjoy them! Don’t
take them for granted however, if you find you can never love them, let them
go. Don’t be selfish.4.Mtu ambaye Husamehe Mapema.

5.Mtu ambaye haamini katika kudanganya ndani ya Mapenzi(Mulika mwizi).

6.Mtu ambaye ana amini katika mabadiliko siku zote.

You may be excited and
in love and want to show them off but people’s reactions will let you
know it’s only you who sees beauty in them.
Read more: https://www.naij.com/858798-six-people-date-die-photos.html
Read more: https://www.naij.com/858798-six-people-date-die-photos.html
07 June, 2016
Mambo ambayo hupaswi kufanya pindi unapo fika mika 24.
Katika maisha ya mwanadamu, mambo huenda yakibadilika kulingana na Umri na muda husika hivyo kuna mambo ambayo mtu akifika umri na muda fulani hupaswa kuyafanya na mengine hapaswi kufanya tena.
Kama inavyo julikana kwamba umri wa miaka 24 ni umri ambao kijana ana hesabika kwamba kakamilika katika idara zote(Kielimu,kiakili na fikra,) wengi walio vijanakatika kundi hili ni wale ambao wamemaliza(Wamehitimu) masomo yao katika Vyuo mbali mbali, hivyo wanakua teyari kuanza maisha wakiwa peke yao. Wengine hapa ndio muda wa kuanzsa kufanya yale walio kuwa wakitaman kufanya pindi wakiwa masomoni mfano Biashara na vitu kama hivyo na wengine huwa bado katika njia panda(hawajui bado nini chakufanya kwa wakati huo).
Kabla sijaendelea tafadhali pitia hizi zifuatazo kwanza:-
1.Acha kuogopa na thubutu kufanya
2.Viashiria 6 ni kwa nini unatakiwa kubadili maisha yako leo
3. Kanuni 9 za mafanikio kutoka kwa Steve Jobes
4. Tuzungumzse yanayo tusibu na kupata suluhisho
Baada ya kupitia hapo juu basi tuendelee na Mada yetu ya leo na haya yafuatayo ndiyo mambo ambayo hupaswi kufanya tena baada ya kufika umri wa mika 24...
Acha/punguza kuvaa nguo za Bei rahisi.
Wakati ukiwa teeneger ulikua unavaa nguo za bei chee na kubadili kila wakati, lakini kwa sasa umeingia ukubwani na una unategemea/unafanya kazi ya maana , hivyo unapaswa kuwekeza katika mavazi ya maana na stlyes tofauti tofauti za maana.Acha kuwa na mahusiano(mapenzi) na mtu ambaye haendani na wewe.
Nafahamu swala la mapenzi linatesa sana vijana tulio wengi na linapo kujaswala la kuwa na mahusiano na mtu ambaye ni wa aina yako hapo ndipo Ungumu huonekana kweli kweli, lakini yakupasa kuchukua mda mrefu kuchanganua "who is suitable for you" na kwa wakati gani. Usipoteze muda wako kuwekeza kwa mtu unaye mjua ndani nje kuwa haendani na wewe ila tamaa tuu ndio zinakufanya kuwa nae.
Punguza kujali wanacho kisema wengine.
Ni hali ya kawaida kwa mwanadamu kuhofia kile wanacho kisema wanadamu wengine, lakini mengine huwa ni mambo ya kukandamizana tuu. Hivyo punguza ama acha kusikiliza wanacho kisema maana itafika kipindi utakata tamaa na kubadili malengo yako kisa tuu maneno ya wanadamu wa duni hii ya leo na hata inaweza kufika pahala ukatamini kujiua.Acha kuwalaumu wazazi.
Nafahamu kwamba vijana tulio wengi tumetokea kwenye familia za kimasikini na maisha yetu ya leo kwa namna moja ama nyingine yamesabashwa na familia tulizo kulia. Kuna wakati maumivu ya umasikini hutuchoma mithili ya moto wa gas na kufika pahala tunasema "Laiti wazazi wangu wangekuwa......." au "Bora ningezaliwa Mbwa/paka ulaya" no no noooo punguza kusema hivyo na kumbuka kwamba umekwisha kuwa mtu mzima una akili, nguvu na Chance ya kutoboa. Hakuna mzazi aliye kamilika jamani.Acha kuwa tena na matumaini ya ndoto zako bali fanya kweli.
Siyo vibaya kwa kijana kuzidi kuwa na matumaini juu ya ndoto zake lakini inapaswa ifikapo muda fulani, basi tumaini hilo litime na kuonekana katika maisha(Hiyo ndio maana ya tumaini). Jaribu kufanya kile ulicho wahi kukitumainia na kukiota enzi za udogo wako maana huu ndio wakati wa kufanya kweli.Punguza kutumia muda mwingi kwenye Internet.
Jambo hili ni ngumu kwa kijana wa leo. Hili jambo limekuwa tegemezi kiasi kwamba mtu hawezi kukaa bila mtandao. Watu wanatafuta mambo mitandaoni, wanajinga na marafiki na mambo mengi kibao. Lakini unapaswa kutenga muda na kuwa na mipaka katika hili maana jambo hili ni moja kati ya mambo yanayo poteza muda wa mwanadamu kuliko kitu chochote.Hitimisho.
Yapo mambo mengi ambayo wewe kama kijana mwenye umri huu hupaswi kufanya maana utu uzima umekufika teyari huvyo basi, yale yote uliyo yafanya tangu ukiwa shuleni unapaswa kuyatupilia mbali na Kufanya mambo kiutu uzima zaidi.
"NIWATAKIE WAISLAMU WOTE RAMADAN KAREEM"
18 May, 2016
Japo utaumia lakini Utajifunza.
Wakati mwingine inatokea hali ya sisi kujichukulia kwamba na watu walio shindwa na kukata tamaa, ila hakuna ukweli juu ya jambo hili. Ni lazima tupitia mchakato mzima wa maisha ili tuweze kuishi maisha yanayo stahili. Na mchakato huu huja pale tunapo jaribu kufanya vitu mbali mbali kwa wakati tofauti tofauti, na Huo ndio ukweli wa maisha. Ni lazima tupige mawazo hasi katika maisha .
Labda hii inatokana na sisi kutotambua ni maana ya Neno "Kushindwa" kwa sababu ndani yake hakueleweki. Lakini wacha nikuambie kitu kimoja, Kila jambo nililo fanikiwa nilifanikiwa kupitia Kushindwa lakini sikukata tamaa.
Failure isn’t fatal, but failure to change might be” – John Wooden
Ninacho zungumzia mimi ni kwamba, yatupasa kuchukulia neno "Kusindwa" kama darasa la kujifunzia. Lichukulie neno 'Kushindwa' na kulileuza kuwa 'Kujifunza'. Najua ni Ngumu kufanya hivyo ila ndio njia nzuri ya kufanikiwa, inaumiza ila mafanikio yako ndiko yaliko.
“Success is most often achieved by those who don’t know that failure is inevitable.” – Coco Chanel
Subiri kidogo nikupe kitu hapa..
Nilimuuliza Girlfriend wangu ni nini maana ya Kushindwa, na akanijibu kwa kifupi "Ni kufika mwisho" ndio ni kufika mwisho ndipo nilipo chukua Computer yangu na kutafuta maana halisi ya kushindwa. Nikapata kama ifutavyo. Niliandika What really is “failing”?
Unaona hii? A wekness in a character! Kushindwa(maungufu/weakness) kunaweza kuimarishwa kwa kufanya zaidi(Practice enough). Kushindwa siyo njia ya kufikia tamati ya maisha, Kushindwa ni jambo zuri mno katika maisha maana utapata akili mpya ya na kuzidi kupambana.
“Only those who dare to fail greatly can ever achieve greatly.” – Robert F. Kennedy
Hapa nimekuwekea mambo machache ambayo mara nyingi huwa tuna "shindwa" lakini tukiweka nguvu na akili zetu huwa tuna fanikiwa kweli kweli:-
1.Utashindwa katika urafiki.
Marafiki milele? laa hasha. Itafika kipindi rafiki ulio nao utawaona wamebadilika yaani wamekua tofauti na ulivyo tegemea. Inauma kwa kweli lakini ni jambo ambalo tunapaswa kulipitia kama wanadamu, wapo marafiki zako watakudanganya, wengine watakukimbia katika matatizo uliyo nayo na wengine watakuambia majukumu yamezidi hivyo hawana muda na wewe na maambo mengi ilimradi wakutenge ( Doh!) lakini unapaswa kujifunza jambo katika hili. Chagua marafiki sahihi na wa kweli, ambao hata ukianguka popote mbali na wao watakutafuta na kukuokota. Achana na marafiki wote unao ona ni wanafiki(Najua ina umiza ila yakupasa kufanya hivyo). Usiogope maana baada ya hili utakua muwazi na huru daima na mwisho wa siku utashinda.
“The phoenix must burn to emerge.” – Janet Fitch
2.Utashindwa Kufanya maamuzi Makubwa.
Nikiwa mwenye umri wa mika 20 na kitu hivi mpaka sasa nashindwa kueleza ni maamuzi magumu mangapi nimekwisha kushindwa kuyachukua. Hapana itakuwa ni Hatari kwa mimi kuyataja hapa yote. Nitaangalia machache kwa ajili yako. Lakini point ni kwamba hasa pale unapokuwa una ukosa mwongozo wa mtu fulani muhimu katika maisha yako, unakuwa unafanya maamuzi ya ajabua mabayo mwishoni unakuja kuyajutia. Pointi moja ya kweli ni kwamba utakua umeshindwa kuiruhusu hali hii ikutokee katika maisha yako na kama hali ni hiyo, basi iwe ni njia yenye maumivu makubwa katika kuelekea kwenye mafanikio yako.
Tafuta mtu wa kukusaidia, soma mambo mengi yahusuyo maisha(Tumia internet yako vizuri). Hali hii hutokea wengi mno hasa vija ambao wengi wetu ndio tunaanza maisha. Jaribu kuchanganua jambo hili kwa kina.
“I’ve failed over and over and over again in my life and that is why I succeed.” – Michael Jordan
3.Utashindwa kuwekeza kwa ajili ya badae.
"Unaishi mara moja tuu" is the mantra of most 20-somethings, hii inaonekana ni nzuri si ndiyo? Muda baada ya muda utafahamu ni nini ambacho uatkifanya kwa undani peke yako. Kumbuka, kama unataka kuwa na familia na kuitunza, basi mahusiano na wapenzi wengi siyo suluhisho. Na ndivyo ianatakiwa kuwa katika malengo yako ya muda mrefu. Utajifunza kuwa mtu wa maono ya mbali.
“Failure should be our teacher, not our undertaker. Failure is delay, not defeat. It is a temporary detour, not a dead end. Failure is something we can avoid only by saying nothing, doing nothing, and being nothing.” – Denis Waitley
4.Utashindwa kuendeleza Muonekano wako(Personal style).
Jamii, familia na marafiki vimetusafisha akili zetu kwa ujumla wake. Pale ambapo tuana mambo na kujaribu kuyabadili, basi tunakua tukijaribu kubadili muonekano wetu.Easier said than done but why not learn about self development? (Jifunze katika hili).
“When you take risks you learn that there will be times when you succeed and there will be times when you fail, and both are equally important.” – Ellen DeGeneres
5.Utashindwa Kupangilia na kumiliki pesa zako.
Wengi walio katika umri wa miaka ya 20 hadi ishirini na ushehe, hawanaga plan yeyote ya kuaminika, na wengi unakuta wako vyuoni wakifanya masomo yao(Wrong Degrees) na wengine wakiwa wamekaa tuu wakingojea Elimu kubadili maisha yao. Ni lazima tutafute njia mbadala kuondokana na hii hali. Na ndivyo ilivyo kwa Pesa. Huwezi ukaijua pesa ilivyo mpaka ufahamu Lugha ya pesa. Chakufanya hapo ni kununua vile vitu vya muhimu, kuwekeza katika jambo moja tuu ambalo baade litakuja kukupa uhuru wa maendeleo. Usihangaike kununua vitu ambavyo utanunua leo na kutumika leo na kesho itakavyo fika utajikuta huna.
“I have not failed. I’ve just found 10,000 ways that won’t work.” – Thomas A. Edison
Yapo mengi utakayo shindwa kufanya katika maisha ila kama utapambana kwa nguvu zako zote na akili zako zote, hakika utaweza kuyashinda, Japo utakua umeumia ila utakua umeupata Ushi.
13 May, 2016
Sema naye, mwambie ukweli usimwogope.
Habari gani mpendwa msomaji wa Mtokambali? week-end ndiyo hiyoo imekwisha fika na kama ilivyo ada lazima tabasabu litawale kwa baadhi ya wafanyakazi ambao hawakupata muda wa kupumzika kwa takribani siku tano.
Leo nmepanda hapa MTOKAMBALI nikiwa na swala moja tuu ambalo mara nyingi hunitawala katika fikra zangu na hata kuyaona kwa macho yangu na jambo hilo ni "Uoga katika kumwambia mtu Ukweli ama la Moyoni"
Kuna wale vijana wenzangu mtaani huwa naonaga wakiitwa Madomo zege na Wengine niliwahi kusikia wakiitwa nyoka Kibisa(Yaani hawana sumu), nashindwa kutambua hali hii maana nakuawa na maswali mengi kichwani juu ya jambo hili yakwamba Je ni uoga wa kumwambia mtu? je ni Aibu ya kumwambia mtu kitu? ama je ni nini hasa kinachomfanya mtu kuwa katika hali hiyo?(Embu tuongee kidogo hapa)
Leo acha nikuambie ndugu yangu...
Nafahumu kwamba moyo wa mtu siyo wa chuma bali ni nyama, na kila mwanadamu ana haki ya kupendwa na hata kupenda pia.. ila linapo kuja swala la Mapenzi moyo huo huo hujeuka sega la asali ama kujeuka chungu kama shubiri na ndivyo mapenzi yalivyo.
Ila kwa kuwa tumeumbiwa kupenda, hatupaswi kuunyima moyo kile unacho stahili, sasa je ni kwa nini uogope kuuupatia moyo kile unacho kipenda? Je hufahamu kwamba faraja na furaha huja kutoka moyoni?
Kuna wale vijana wenzangu ambao humpenda mtu kwa dhati kabisa na hata kudhamiria kuwa na mtu fulani katika maisha yake ila anaogopa kumwambia mtu yule. Na hii nimeiona hasa kwa Vijana wa kiume, mara nyingi wamekuwa wakitamani kuwa na wachumba wazuri wenye hadhi flani ila wamekuwa wakijikuta katika wakati mgumu pale wanapo taka kufunguka.
Utakuta mtu ana maswali meengi katika moyo wake kwamba je atanionaje? je si atanitukana? je si atanikataaa?
Kakuambia nani kwamba yule unaye mtaka takufanyia hayo unayowaza? Ndiyo yawezekana ukaambiwa hayo maana kuna watu wengine huwa na hulka ya kujiskia kwamba wao ni bora zaidi ila kabla hujafikia huko na wewe jiulize je ukimwambia na akakubali utajiskiaje?(Aibu ama furaha?)
Na ndiyo maana leo hii nakupa mambo kadhaa ya kufanya ili kuondokana na hiyo hali na mwishoni kupata kile ulicho kitamani katika maisha yako.
1.Acha kuwa na maswali mengi yasiyokuwa na majibu
Yale maswali ya Atanionaje, hatanitukan? hatani fanyeje tafadhali yawekwe pembeni. Acha nikuambie tuu ukweli mpenzi msomaji, hakuna jambo linalo umiza katika ulimwengu wa leo kama Mapenzi. Mapenzi upofu, mapenzi ukichaa mapenzi uchizi. Ukitaka kumla bata uache kumchunguza.
2.Funguka mbele ya macho yake (say it to his/her face)
Kipekee mimi huwa napenda mtu ambaye huniambia hisia zake mbele ya uso wangu kuliko yule anaye tumia njia kama simu ama njia nyingine ile. Watu wengi pia hupenda hivyo, na kwa maana hiyo basi huna budi kutenga muda wako na kukutana na mtu ambye unampenda ila unaogopa na kisha mwambie.
3.Jiamini.
Kitika mapenzi bwana hakuna mambo ya uoga, wewe kuwa jasiri na kujiamini kisha mfute na kumwambia ukweli juu ya moyo wako, mweleze na yeye atakusikiliza bila hiyana.
4.Kuwa muwazi.
Unajua ni bora kuwa muwazi wakati wote maana watu watujua namna ya kukusaidia kuliko kuficha ficha mambo na mwisho wa siku unaumia moyo wako bure pasipo kuwa na msaada.
5.Usi sikilize ya watu we fanya yako.
Japo unapaswa wakati mwingine kusikiliza watu wana sema nini, ila wakati mwingine hupaswi kuyasikiliza maana ya mwanadamu ni mengi na mengine ni yakuvunja moyo. Nafahamu kuna vijana wengine kazi yao ni kuvunja vijana wengine moyo hachelewi kukuambia yule mwanamke ni Malaya, mhuni ama nini. Kwa namna hiyo basi jiepushe na hali hiyo.
Kwa kusema hayo nimalizie kwa kusema "Usione sooo sema nae, mwambie ukweli. Tukutane tena hapa hapa Mtokambali nyumba ya maajabu na visa, mtaa wa burudani na hamasa kwa vijana.
Kanuni 9 za mafanikio kutoka kwa Steve Jobs
Steve Jobs ni moja kati ya watu walio wahi kuwa Maarufu katika ulimwengu wa teknologia na Amekuwa mfano wa kuigwa na kazi zake zimekuwa changanoto katika ulimwengu wa Sayansi. Watu wengi wamekuwa wakihamasika kupitia speech zake alizokuwa akitoa katika mikutano mbali mbali ya kibiashara na hata katika teknologia Alifariki mnamo mwaka 2011 akiwa na umri wa mika 56 Soma zaidi kuhusu maisha yake kwa ujumla >> Mfahamu Steve Jobs mwanzilishi wa kampuni ya Apple.
Mimi nimekuwa mmoja kati ya watu ambao wamekuwa wakihamasika kutokana na speech za Job na ndio maana mpaka leo nzaidi kumfuatilia maana nafahamu sinto weza kukosa kitu kutoka kwake, namaanisha "ukitaka kunukia basi kaa karibu na Waridi"
Basi leo acha nikupe mambo tisa ya kujifunza kutoka kwa Steve Jobs.
1.Follow your heart(Futa nafsi yako.)
Embu kuwa na maono juu ya kile unacho kiamini kwamba unakiweza, weka malengo yako ambayo yatakufikisha kule uliko tamani kufika siku zote za maisha yako, fanya mwenyewe ili kuyaona machungu ya kazi yako pasipo kuingiliwa na mtu yeyote. Amini kama unaweza. Kumbuka mafanikio hayaji kwa kukata tamaa bali huja kwa kuongeza nia na ghadhabu katika kazi zako.
Almost everything–all external expectations, all pride, all fear of embarrassment or failure–these things just fall away in the face of death, leaving only what is truly important. Remembering that you are going to die is the best way I know to avoid the trap of thinking you have something to lose. You are already naked. There is no reason not to follow your heart.
2.Trust yourself(Jiamini peke yako)
Tunapo kuja katika kipengele hichi ni lazima mtu ajikubali kwanza kwamba anaweza kusimama yeye kama yeye katika Vission(maono yake) na zaidi ya yote aweze kusimama katika kutimiza ndito zake kwa vitendo, hivyo swala la kujiamini la muhimu sana. Umeamua kufanya biashara na kuacha kazi ofisini usiogope we fanya biashara maana kile ulicho kitaka katika maisha yako yote kitakuwa katika hiyo biashara endapo tuu utaamua kufanya hivyo. Njia nzuri ya mtu kujifunza ni kufanya makosa na kisha kujifunza kutokana na makosa..
You can’t connect the dots looking forward; you can only connect them looking backwards. So you have to trust that the dots will somehow connect in your future. You have to trust in something — your gut, destiny, life, karma, whatever. This approach has never let me down, and it has made all the difference in my life.
3.Love what you Do(Penda kile unacho kifanya.)
Mafanikio siku zote huja kwa kupenda kile unacho kifanya, naamini kabisa endapo utapenda kile unacho kifanya kwa moyo wako na akili zako basi chance ya wewe kufanikiwa ni kubwa kuliko yule ambae anafanya kitu ambacho moyo wake hauridhiki. Ngoja nikupe mfano hai( Mimi nilipo hitimu chuo cha mafunzo ya Utabibu, niliamua kuti kujihusisha na mambo ya hosipitalini pamoja na Madawa na badala yake niliamua kuwa Blogger.... mmh maajabu eeh!) hii yote ilisababishwa na mimi kuamini kwamba mafanikio yangu yatakuja katika kile nachopenda kukifanya(Blogging).
Your work is going to fill a large part of your life, and the only way to be truly satisfied is to do what you believe is great work. And the only way to do great work is to love what you do.
4.Go for a home run
Kitika maisha yako yote kamwe usizarau ubora. Ubora ni zaidi kuliko kiasi. Fanya kazi zko kwa bidii na hakikisha unazalisha mazao yenye Ubora na siyo tuu bora mazo. Umeamua kufanya kitu basi hakikisha umekitendea haki. Jambo hili litakuletea mafanikio makubwa katika maisha yako.
Be a yardstick of quality. Some people aren’t used to an environment where excellence is expected. One home run is much better than two doubles.
5.Fanya uchaguzi kwa makini(Pick carefully)
Kuwa bize, fanya mambo yako, futa yale mambo ambayo ni ya msingi tuu achana na hayo menine, muda wako mwingi uwe ni wakujifunza mambo ya maendeleo tuu, epuka vitu vinavyo kusabisha kupoteza muda mfano kuangalia Tv kwa muda mrefu, Kufuatilia habari za udaku, kupoteza muda mwingi kwenye social medias ukitafuta new updates n.k.
People think focus means saying yes to the thing you’ve got to focus on. It means saying no to the hundred other good ideas that there are. You have to pick carefully.
6.Work hard to make it simple.
Kuna nguvu yakutengeneza kile unacho kiamini kwamba ndicho utakacho kifaya katika maisha yako. Fanya kazi kwa bidii na mwisho wa siku utasimama mbele ya umati wa watu na kuzungumza kitu chenye sura na mtazamo chanya wa kazi yako. Pangilia magumu yako yote katika kazi zako na kisha yatendee kazi na kuyatatua na mwisho wa siku kila kitu kitakaa katika mstari wake kama inayo takiwa kuwa.
Design is not just what it looks like and feels like. Design is how it works. Simple can be harder than complex. You have to work hard to get your thinking clean to make it simple.
7.Iba/iga/chukua idea kubwa( Steal great ideas).
Unajua wakati mwingine kama kitu kimekupendeza na kinaendana na wewe, siyo mbaya ukakichukua na kukifanyia kazi kikamilifu. Jifunze Mengi kutika kwa watu wenye fikra kubwa , fanya mengi ya kuiga kutoka kwao na mwishoni na wewe utaweza kubadilisha idea zile zikawa mafanikio yako na ikawa ni rahisi kwako wewe kuwa pahala ulipotamani kuwa katika maisha yako yote.
We have always been shameless about stealing great ideas.
8.Lengo lako lisiwe ni Kutengeneza hela kwanza (Your goal isn’t to make money).
Usiweke pesa mbele bali tumia muda wako kutengeneza na kukuza jina pamoja na kazi zako. Watu watakuja kuiga ujuzi na kukuukiza maswali na kujifunza kutoka kwako na mwisho wa siku pesa zitakuaja tuu(Kizuri cha jiuza na kibaya chajitembeza, na pesa huja baada ya mafanikio).
Apple’s goal isn’t to make money. Our goal is to design and develop and bring to market good products. We trust as a consequence of that, people will like them, and as another consequence, we’ll make some money.
9.Usipoteze Tumaini(Don’t lose faith)
Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, bayana yasiyo onekana. Unapokua ukifanya kazi zako, kuna muda uanatamani kukata tamaa na kupoteza tumaini.. lakini hupaswi kuiruhusu hali hivyo iwepo katiaka kazi zako. Kumbuka pale unapokuwa ukikata tamaa, ndipo mafanikio yako huwepo ama huwa karibu. Jiulize na kujitazama ulikotoka na hapo ulipo.
Sometimes life hits you in the head with a brick. Don’t lose faith.
Kwa leo nimetia nanga na meli iko ufwekweni, ni matumaini yangu umejifunza kitu katika post hii,ningeomba unachie maoni ama ushauri hapo chini kama utakuwa nayo, basi tukutane tena panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
11 May, 2016
Acha kuogopa maisha, Thubutu kufanya...
“Kuzaliwa Masikini Sio Kosa Lako, ila Kufa Masikini ni Kosa Lako Kubwa Sana”Msingi wa kufanikiwa ni kuthubutu kufanya jambo fulani kwa mfano kufungua miradi, kufanya biashara, kusoma kwa bidii na mambo mengine kibao.
Ngoja nikuulize tena, maana najua utakua ushaulizwa hili swali mara
nying, Hivii unatamani kuishi au uwe kama nani ? wengi wetu mtasema
natamani kuishi maisha mazuri na bora.
Hii iko hivi unapozungumza na watu wote duniani kila mtu atakwambia kuwa
anataka kuwa na maisha mazuri ,huenda na ni vigumu kwa mtu wa kawaida
kusema anataka maisha yake yawe ya shida kila siku. Huyo atakua ana
lake.Wewe una stashahada una shahada na elimu nyingine nyingi, sijui
umeahudhulia workshop kama ishirini, ila ndugu yangu bado utaendelea
kuchapwa bakora na maisha kama hautakuwa makini na kuthubutu kufanya
mambo unayotamani kufanya.
Kusoma sana ama kidogo kuwa na marafiki
waliofanikiwa ama wasiofanikiwa,kwenda nje ya nchi ama au kuzaliwa
katika familia masikini au tajiri bado sio tiketi ya kukufanya uwe na
maisha bora .
Kuna watu kwa mfano unaweza kuona anakata tamaa eti kisa amezaliwa
katika familia maskini kitu ambacho sio sahihi.Bill Gates alisema
“Kuzaliwa Masikini Sio Kosa Lako, ila Kufa Masikini ni Kosa Lako Kubwa
Sana”
Yaani anamaanisha duniani kuna fursa nyingi sana ambazo unaweza kuzitumia na kuwa na maisha unayoyataka.
Kuwa na maisha bora ni kufanya kazi kwa bidii na kwa malengo zaidi
usiishi tuu ilimradi siku zinaenda mbele. Kwa chochote unachokifanya
kifanye kwa kutafakari na kuangalia faida na hasara yake.
Yapo mambo mengi ambayo yameweza kuzungumzwa ambayo yanaweza kukusababishia wewe kusonga mbele kimaisha lakini hata ukisoma mambo mengi yanayohusu mambo ya kimaisha bila kuthubutu kufanya kitu unachotaka kufanya ni kazi bure.
Inabidi kuwatathimini watu ambao wanakuzunguka, kuanzia marafiki,
majirani, na hata baadhi ya ndugu.Kuna wengine hata ukimwangalia
sura yake tu anaonekana wazi kuwa hana furaha unapomwambia kuwa mambo
yako yanakwenda vizuri kwa sababu watu wengi wanapenda kusikia kuwa
unaishi maisha ya shida ndio wengi walivyo na wakijua hivyo ndio
unaongeza uoga wa kuthubutu kufanya kazi. Sijui kwa nini hii inatokea,
lakini achana na hao wewe kazana kubuni miradi mingi ili uwe na
maendeleo bora maana wao kukasirika haikuzuii kufanya mambo yako.
Mafanikio yako yanatokana na akili yako ulionayo maana wengine
wamekuwa wakisema kuwa ugumu wa maisha ndio kipimo chako cha akili yako.
Katika jamii tunakoishi utakua ushasikia watu wanalalamika kuwa maisha
ni magumu,na hawajui wafanyaje lakini nikwambie kuwa kipimo cha maisha
unacho hapo wewe mwenyewe na akili yako. Kama unajua kusoma na kuandika
ni tosha kabisa kwa wewe kujiendeleza.
Kwaiyo jamani ni vizuri ukakaa na kutathimini unatamani maisha yako
yaweje au unataka kuishi vipi au maisha yako yakae katika level gani ya
kimaisha hapa duniani? Kipimo cha maisha ambayo unataka kuishi unacho
wewe mwenyewe pia uoga wako ndo umaskini wako yawezekana hapo ulipo kaa
una wasiwasi ,una uoga ,unawaza una tathimini wakati nguvu unazo, sababu
unazo, elimu unayo vifaa pia unavyo. Ila… kwa kumalizia Kitu kimoja tu
unahitaji ndugu yangu. “JITUME”.
Ukitaka kuelewa hii angalia wiki nzima iliyopita kama umefanya kitu
ambacho kinaendana na mambo ambayo unataka kufaninikiwa maishani mwako.
Kama kipo Good… kama hakipo, basi anza kujituma leo… yaani leo
namaanisha anza kupanga mikakati, kama serikali inavyoweka mipango na
mikakati ya miradi yake kwa wananchi na wewe kaa chini tengeneza
mikakati ya maisha yako.
Kumbuka Unapanga mikakati ya maisha YAKO! Sio
ya jirani yako ambae anakusema sema kila siku au mlie kosana nae juzi.
PITIA NA HIZI PIA
>>> Tuzungumze yanayo tusibu na Kupata suluhisho.>>> Viashiria 6 ni kwa nini unatakiwa kubadili Maisha yako Leo.
>>> Furaha ya kweli inaletwa na wewe mwenyewe.
09 May, 2016
Tuzungumze yanayo tusibu na Kupata suluhisho.
Mtu mmoja alipata kusema "Hasara roho, pesa makaratasi" na mimi nasema ni kweli kabisa.
Je una Amani ya moyo mwako? Je uhuru ulio nao unautumiaje? Je ukitazama ndani ya Fikra zako unaona Mafanikio yeyote? Je una imani juu ya ndoto zako? Je una mpango wowote juu ya Kuthubutu kuishi ndani ya Ndoto zako?.....
Leo nimepanda hapa MTOKAMBALI nikiuliza maswali hayo nikiwa na maana ya kwamba maswali hayo Yamekuwa chachu ya Mafanikio ya mtu yeyote hapa Ulimwenguni,,, Huwezi niambia ya kwamba utaweza kufanikiwa katika mambo yako angali Huna Amani Moyoni mwako wala kufanikiwa wakati umeshindwa kuutumia vyema Uhuru ulio nao ama Kufanikiwa angali hujawahi kuthubutu kufanya chochote juu ya ndoto zako...
Licha ya kuishi katika nchi yenye Uhuru lakini bado kuna vijana wenzangu hawana UHURU katika maisha yao. Wamekuwa wakiishi kama watumwa, wamekuwa wakipoteza hata matumaini yakuishi.. Hii yote inasababishwa na KIFUNGO CHA FIKRA.
Acha nikuambie rafiki yangu,
Hakuna jambo la muhimu na lenye nguvu katika maisha ya mwanadamu awaye yeyote hapa ulimwenguni litakalo weza kuishinda nguvu ya Fikra.(Weka kumbu-kumbu juu ya mstari huu tafadhali).
Kile ambacho unafikiri kwa Muda mrefu ndicho kitakachotokea katika maisha yako. Fikra zako zina nguvu ya uumbaji.. na zaidi ya yote fikra zako ndizo zitakazo kupatia Uhuru wa kweli katika maisha yako na mafanikio tele utayaona. Ila pale unapokuwa mtumwa wa fikra zako, hakika utatamani kuiona Ardhi inapasuka kisha Uingie ndani yake na kupotea katika ulimwengu huuu wenye dhiki tele.
Leo nitakupatia njia ambazo zitakufanya uondokane na Utumwa wa fikra zako na kisha kupata uhuru wa Fikra zako na kufanikiwa kuishi katika baadhi ya ndoto zako. Tambua yakwamba njia hizi nitakazo kupatia, ni njia ambazo nilizitumia mimi kipindi nikiwa Utumwani na hadi Leo nathubutu kusema "NIKO HURU".
Je uko teyari? lets move-on...
1. Jiamini unaweza
Katika maisha ya mwanadamu ni lazima kila mmoja ajiamini kwamba anaweza. Mwana harakati mmoja aliwahi kusema "Uoga wako ndio umasikini wako". Njia ya kwanza ya kutoka katika kifungo cha fikra zako ni kuamini kwamba unaweza kuleta mabadiliko yeyote katika maisha yako licha ya hali uliyo nayo. Amini kwamba utaweza kuboresha maisha yako yakawa bora zaidi kama tuu utaongeza bidii katika hilo.
2.Ondoa Mawazo hasi katika maisha yako.
Moja ya maadui wakubwa wa Uhuru wa fikra za mwanadamu na Maisha kwa ujumla ni Fikra hasi(potofu). Fikra hasi huwa na hulka ya kukua kidogo kidogo katika maisha ya mwanadamu awaye yote yule na mwishoni huleta maafa makubwa mno na majuto yale ya mjukuu. Ili kuepuka hali hii unapaswa kuchukulia mambo kwa upande wa chanya zaidi kuliko upande wa hasi... hii itakusaidia sana katika kufikiri kwenda mbele ya mafanikio yako. Fikra hasi hupoteza matumaini siku zote hivyo yakubidi kuziepuka.
3.Epuka kuchukulia mambo kwa ujumla
Kuna vijana wengi huchukulia mambo kirahisi kama yalivyo na mwisho wa siku wanajikuta katika hali ngumu mno katika maisha yao. Embu jaribu kuchambua jambo moja moja kwa kina kisha ainisha ni lipi jema na ni lipi baya katika huo ujumla ulio nayo. Kumbuka unapokuwa ukichukulia mambo kwa ujumla, hutopata changamoto yeyote ile ambayo itakufanya Kufikiri kwa kina.
4.Thubutu kufanya.
Njia nyingine ya kutoka katika utumwa na kuupata uhuru wako ni kuthubutu kufanya kile ulicho nacho katika fikra zako juu ya maendeleo yako. Natambua kila mmoja wetu hapa ana ndoto fulani kubwa katika maisha yake na kama( huna ndoto yeyote katika maisha yako jua una hali mbaya kupindukia..). Je uliwahi kujaribu kuifika hata nusu ya ndoto zako? kama jibu ni ndio basi endelea na safari maana bado kidogo utafika mpendwa na kama bado hujathubutu basi kwa nzia sasa thubutu.
5.Acha kufanya mambo mengi kwa mawazo yako.
Mwanadamu hajakamilika siku zote na kila mwanadamu ana mapungufu yake , hivyo mapungufu yako wenda ikawa mwenzako anaweza kuyatua na wewe pia unaweza kuyatatua, hivyo utaona ni kwa namna gani utakapo kuwa ukishirikiana na wenzako katika kutimiza mambo yako utafanikiwa zaidi kuliko kufanya peke yako..
6.Jali muda wako.
Nafahamu kwamba kwa asilimia kubwa mno vijana wengi wamekuwa wakipoteza muda wao katika mambo yasiyo na msingi na mwisho wa siku wanajikuta hawajafanya mambo yaliyo wapasa kufanya kwa wakati ule na kuanza kujuta ni kwa nini..... Embu kabla ya kupata majuto, jaribu kufanya mambo katika muda husika bila hata kupoteza sekunde moja katika Muda wako. "Majuto ni mjukuu"
Kwa kusema hayo, nammba nikwamie hapo na ni matumaini yangu kwamba nimekupatia kile unachokihitaji. Nimejfunza mengi mno katika maisha haya licha ya Umri wangu mdogo nilio nao. Likini kwa kuwa naamini katika ndoto zangu, sioni kama naumia bali nayaona maisha yangu katika Ulimwengu wa mafanikio.
Je umependa somo langu? Tafadhali niachie maoni yako hapo chini.
NINEPENDA PIA UPITIE NA HIZI:-
>>>> Viashiria 6 ni kwa nini unatakiwa kubadili Maisha yako Leo
>>>> Furaha ya kweli inaletwa na wewe mwenyewe.
>>>> Amani ya Moyoni mwako ndio Kunawiri kwa Uso wako.
03 May, 2016
5 Things the Most Successful People Refuse to Believe
I'm
lucky to know a number of remarkably successful people. Regardless of
their profession or industry, they all tend to believe and think many of
the same things.
And, just as important, they all tend to refuse to think and believe some of the same things.
So can you. Each of us can decide to think and believe differently than most other people -- and in the process, achieve differently than most other people.
That process starts with refusing to adopt certain mindsets. Here are a few things successful people never think.
Doesn't matter. You can't control other people. You can control only yourself.
Always decide it was your fault whenever you fail. Not only is that a smart way to think, but it's also almost always true. Although occasionally something completely outside your control will cause you to fail, most of the time the root cause is you.
And that's OK. Every successful person has failed numerous times. Most have failed a lot more often than you have; that's one reason why they're so successful today.
So embrace every failure. Own it, learn from it, and take full responsibility for making sure that next time, you'll do what it takes to make sure things turn out differently.
Never think it's another person's fault; when you do, you're guaranteeing it always will be.
Maybe, years ago, you did have to wait: to be accepted, to be promoted, to be selected, to somehow be "discovered."
Even if that was once true, it's no longer the case. Access to opportunity is nearly unlimited. You can connect with nearly anyone through social media. You can create and sell your own products, develop and distribute your own applications, find your own funding ... or, like Taylor Swift, pitch the right person and in the process help him launch his own record label.
You don't need to wait for someone else to give you the opportunity. You can give yourself the opportunity--which, by the way, is what successful people have done for centuries. The only thing holding you back from seizing an opportunity is you--and your willingness to try.
Don't think about opportunities you need to be given; think about opportunities you need to take.
Successful employees earn promotions and higher pay by first working harder; in other words, they earn their success. Successful businesses earn higher revenue by delivering greater value first; they earn their success.
Successful people, in all areas of life, earn bigger "payoffs" by working incredibly hard well before any potential return is in sight; they earn their success through effort and sacrifice.
Most people expect to get more before they will ever consider doing more.
First decide how you define success. Then think of compensation not as the driver or requirement for exceptional effort but as the deserved reward.
For example, anyone can create a schedule. But most people don't ensure every task takes only as long as it needs to take. Most people fill a block of time, either given or self-determined, simply because that is the time allotted.
Don't adjust your effort so it fills a time frame. Instead, do everything as quickly and effectively as you can. Then use your "free" time to get other things done just as quickly and effectively.
Never think about how time controls you -- instead, think of how you can best control your time.
When you do, you'll quickly realize you have a lot more time than you ever imagined.
In fact that's rarely true. Talent typically reveals itself only in hindsight. Success is never assured; it looks that way only after it is achieved.
Sure, other people may have skills you don't have -- at least not yet -- but you have skills other people don't have. You don't need a gift. You just need yourself -- and a willingness to put in a tremendous amount of hard work, effort, and perseverance -- because that is where talent comes from.
Never think about what you don't have. Focus on what you do have -- and more important, what you are willing to do that others are not.
That is your true gift, and it's a gift we've all been given.
You just have to use it.
And, just as important, they all tend to refuse to think and believe some of the same things.
So can you. Each of us can decide to think and believe differently than most other people -- and in the process, achieve differently than most other people.
That process starts with refusing to adopt certain mindsets. Here are a few things successful people never think.
1. "Someone is always holding me back."
Maybe someone else has ruined an opportunity or blocked an idea or taken what was rightfully yours. Maybe suppliers didn't come through. Maybe your partner wasn't committed. Maybe potential customers weren't smart enough to recognize the value you provide.Doesn't matter. You can't control other people. You can control only yourself.
Always decide it was your fault whenever you fail. Not only is that a smart way to think, but it's also almost always true. Although occasionally something completely outside your control will cause you to fail, most of the time the root cause is you.
And that's OK. Every successful person has failed numerous times. Most have failed a lot more often than you have; that's one reason why they're so successful today.
So embrace every failure. Own it, learn from it, and take full responsibility for making sure that next time, you'll do what it takes to make sure things turn out differently.
Never think it's another person's fault; when you do, you're guaranteeing it always will be.
2. "I never seem to get the right opportunities."
Hey, join the very large club. No matter how it looks from the outside, no one is given opportunities he or she doesn't deserve. Opportunities are earned. And even if someone else did get an opportunity you feel you deserved, you can't change that fact, so why dwell on it?Maybe, years ago, you did have to wait: to be accepted, to be promoted, to be selected, to somehow be "discovered."
Even if that was once true, it's no longer the case. Access to opportunity is nearly unlimited. You can connect with nearly anyone through social media. You can create and sell your own products, develop and distribute your own applications, find your own funding ... or, like Taylor Swift, pitch the right person and in the process help him launch his own record label.
You don't need to wait for someone else to give you the opportunity. You can give yourself the opportunity--which, by the way, is what successful people have done for centuries. The only thing holding you back from seizing an opportunity is you--and your willingness to try.
Don't think about opportunities you need to be given; think about opportunities you need to take.
3. "I would definitely work harder if I knew it would be worth it."
Ever heard someone say, "If I knew I would get a raise, then I will be willing to work a lot harder"? Or, "If I knew my startup would succeed, then I would definitely be willing to put in more hours"? Or, "If I knew there would be a bigger payoff, then I would be willing to sacrifice more"?Successful employees earn promotions and higher pay by first working harder; in other words, they earn their success. Successful businesses earn higher revenue by delivering greater value first; they earn their success.
Successful people, in all areas of life, earn bigger "payoffs" by working incredibly hard well before any potential return is in sight; they earn their success through effort and sacrifice.
Most people expect to get more before they will ever consider doing more.
First decide how you define success. Then think of compensation not as the driver or requirement for exceptional effort but as the deserved reward.
4. "If I just had the time."
Sure you do. You have the same amount of time as everyone else. The key is to decide how you fill your time.For example, anyone can create a schedule. But most people don't ensure every task takes only as long as it needs to take. Most people fill a block of time, either given or self-determined, simply because that is the time allotted.
Don't adjust your effort so it fills a time frame. Instead, do everything as quickly and effectively as you can. Then use your "free" time to get other things done just as quickly and effectively.
Never think about how time controls you -- instead, think of how you can best control your time.
When you do, you'll quickly realize you have a lot more time than you ever imagined.
5. "If only I had a special talent."
It's easy, and extremely tempting, to assume successful people have some intangible entrepreneurial something -- ideas, talent, drive, skills, creativity, etc. -- that you don't have.In fact that's rarely true. Talent typically reveals itself only in hindsight. Success is never assured; it looks that way only after it is achieved.
Sure, other people may have skills you don't have -- at least not yet -- but you have skills other people don't have. You don't need a gift. You just need yourself -- and a willingness to put in a tremendous amount of hard work, effort, and perseverance -- because that is where talent comes from.
Never think about what you don't have. Focus on what you do have -- and more important, what you are willing to do that others are not.
That is your true gift, and it's a gift we've all been given.
You just have to use it.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...