30 May, 2015

Malkia na mfalme wa RnB Maua Sama na Ben Pol wanakuja na wimbo wao mpya THIS LOVE>>>>>>

Download New Music: Yamoto Band a.k.a Mkubwa na Wanawe - 'Cheza Kimadoido'

DOWNLOAD, PLAY HAPA>>>>>>

ABOUT US


UTANGULIZI
MAWERE MTOKA MBALI Ni jina Iliopewa Mtandao/ blog hii, MAWERE MTOKA MBALI Ni jina lililo ambatana na MWANZILISHI MAWERE na MTOKA MBALI Ni jina la pili la mwanzilishi huyo. Ni mtandao ulio dhamiria kukupatia Habari za MICHEZO NA BURUDANI, SIASA, AFYA, MAISHA, UREMBO, WASANII 

 KANUNI NA SHERIA.
Blogu/Tovuti hii niyakijamii hivyo inaendeshwa na taratibu na kanuni ambazo hazita sababisha kumkwaza mtu kwa namna moja au nyingine isiyo ya kustahiki.

  • ·         Blogu haiweki taarifa yeyote ya uongo, uzushi au ambazo sio za uhakika ili tu kupata wasomaji wengi au kufanya ushabiki wakitu/jambo Fulani. Habari zote ambazo zitakuwa zimewekwa kwenye blogu hii zitakuwa zimefuatiliwa kwa kina na kuhakikiwa kuwa zina ukweli ndani yake ndipo zitawekwa kwaajili ya msomaji kuisoma habari hiyo.
  • ·         Blogu haitoweka taarifa ya uchochezi wa aina yeyote ile ili kusababisha kupoteza Amani kwa jamii Fulani. Habari ambazo zitasababisha uchochezi wa Siasa, Dini, Jamii, Jinsia na au Rika nakusababisha fujo blogu hii haitakuwa tayari kuiweka habari hiyo.
  • ·         Blogu hii haijuhusishi na ubaguzi wa Vyama, Dini, Jinsia, Kabila, Rika au Hali (Ulemavu wa aina yeyote ile). Hivyo taarifa inayo wekwa kwenye tovuti hii itasimamia upande wowote ule ni ilimradi kugusa jamii nakuifanya jamii nzima ifahamu ukweli wa mambo na kusaidia kusonga mbele ki fikra na uchumi.
  • ·         Masuala yote ya uzalilishaji wa Kijinsia na au Kitamaduni blogu hii haitajihusisha na kufanya hivyo bali huonya na kukemea masuala la unyanyasaji na uonevu kwa jamii nzima ili kuweka usawa na Amani kwa kila mmoja wetu anaye tuzunguka.
  • ·         Hati miliki ya kazi ya mtu, Blogu/Tovuti hii inalinda haki miliki ya kazi binafsi na au ya kundi flani. Hivyo hatujihusishi na kuweka kazi isiyo kuwa sahihi kuwekwa hadharani au kutumiwa na jamii nzima. Mfano Ku pakuwa (Download) kwazi ya msanii bila kibali chake, Kuweka nakala ya kitabu bila idhaa ya mtunzi, Kuweka habari kutoka kwenye Blogu/Tovuti nyingine bila ya kuweka hati miliki yake. Tunaheshimu kazi ya mtu au kundi ili nasisi tuheshimiwe kwenye kazi yetu.
  • ·         Lugha ya nidhamu ndio inayo tumika kwenye uandishi wa taarifa yoyote kwenye blogu hii. Lugha ikiwa ni Kiswahili na Kingereza pale inapo bidi. Matusi na au Keleli hazitawekwa kwenye blogu hii. Pia kama msomaji akiacha maoni (comment) yenye matusi kwenye moja ya habari pale tutakapo gundua mapema tutaiondoa ili kutunza ustaarabu.
MAWASILIANO
Tutumie email: mtokambali2015@gmail.com
 Sim namba 0767322193
                                 
                                  KARIBU MTOKA MBALI UPATE HABARI

Riyama: Maneno machafu yananipa chakula

MSANII mwenye heshima kubwa kwenye tasnia ya filamu za Bongo, Riyama Ally, ameibuka na kujivunia kwamba maneno machafu anayoyatumia katika filamu mbalimbali anazocheza ndiyo yanayompa chakula cha kila siku.

(Audio) Download New Music: Diamond Platnumz Feat Mr Flavour - 'Nana'

play kwa hapa>>>>

Jamie Foxx feat. Chris Brown – 'You Changed Me'

The X-directed clip starts off with a conversation between the fellas about finding the right lady and settling down. Jamie throws a party at his mansion (“Strippers or no strippers?” he asks Breezy) and his love interest (played by Grace Gealy of “Empire”) shows up. He serenades her and even

29 May, 2015

Ni Diamond Platnumz tena NANA akiwemo flavor

XXXXNi kolabo nyingine kutoka kwa Mtanzania Diamond Platnumz ambayo hii kamshirikisha mkali kutoka Nigeria Mr.Flavour wimbo unaitwa Nana,video imefanywa na GodFather Diamond Platnumz ametumia dakika hizi tatu kumuimbia mrembo aliye mbele ya macho yake,unaweza

SEPP BLATTER KASHINDA TENA AWAMU YA PILI

BLA
SEPP BLATTER ameshinda kwa mara ya tano kiti cha Urais wa Shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kupata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake Prince Ali bin Al-Hussein katika raundi ya kwanza ya uchaguzi mkuu uliomalizika usiku huu mjini Zurich, Uswizi.

ITAZAME VIDEO YA AWILO LONGOMBA ALIYOFANYA NA WAKALI P SQURE

0Collabo nyingine ya kimataifa DRC amekutana na Wanigeria, Ni msanii Awilo Longomba amefanya wimbo wa na wasanii wa kundi la P Square ‘Enemy Solo’ .Hii ndio video ya wimbo huo BONYEZA PLAY>>>>>>

Mashabiki wa Jay Z Weusi Walalamikia tabia yake ya kinafki,hii ndio sababu.

ATLANTA, GA - FEBRUARY 23: Jay-Z attends the So So Def anniversary party hosted by Jay Z at Compound on February 23, 2013 in Atlanta, Georgia. (Photo by Prince Williams/Getty Images)
Wamarekani weusi wamemshambulia rapa Jay Z kwa vijembe kuwa yeye ni mnafki baada ya kuona picha ya wafanyakazi wa kampuni yake ya TIDAL Kuwa wote ni weupe.Jay Z hivi karibuni alilalamika kuwa watu weusi hawampi ushirikiano na kampuni yake ya Tidal kama

28 May, 2015

LEO MBUNGE WA VUNJO AUGUSTIN MREMA KANENA HAYA BUNGENI KWA WALE WANAOSEMA KWAMBA WAMEMWONDOA KATIKA CHAMA

 Image result for Mrema
Moja ya stori iliyowahi kuwandikwa na Magazeti ya TZ wiki chache zilizopita ilikuwa na headline kuhusu ishu ya Ripoti ya Ukweli na Maridhiano ya TLP kutangaza kwamba imemsimamisha uanachama Mwenyekiti wa Chama hicho, Augustino Mrema ambae pia ni Mbunge wa Vunjo.. leo aka

Rnb staa Tyrese alivyotumia instagram kumtongoza mwimbaji Janelle Monáe.

tyrese-gibson500Rnb staa na mwigizaji Tyrese Gibson ametumia instagram kumwambia staa wa muziki Janelle Monáe, kuwa anampenda na yuko tayari kuwa na mwanamke kama yeye kwenye maisha yake.

27 May, 2015

ETI NICK MINAJ NA MEEK MILL SIO WACHUMBA?

meek-nicki
Nicki Minaj na rapa Meek Mil waliteka blogs April mwaka huu baada ya Nicki kuonyesha pete aliyopewa na Meek Mil huku watu wakipigia mstari kuwa ni wachumba na ndoa inafungwa muda wowote. Kwenye mahojiano na mtandao wa Fader rapa Meek Mil amethibitisha kuwa

26 May, 2015

JAMAA HUYU MKENYA ANA NDOTO ZA KUMUOA MTOTO WA OBAMA

President Barack Obama is greeted by daughter Malia as he arrives for the 57th Presidential Inauguration ceremonial swearing-in at the US Capitol on January 21, 2013 in Washington, DC. AFP PHOTO/Jewel Samad        (Photo credit should read JEWEL SAMAD/AFP/Getty Images)
Kuna baadhi ya wanaume wana ndoto siku moja wawe na uwezo wa kumuoa mtoto wa Rais wa Marekani aitwaye Malia Obama, lakini swali je ni kweli itawezekana? Mmoja mwenye ndoto kama hiyo ni wakili kutoka Kenya ambaye amesema atajitoa kwa

Ujumbe wa Kanye west kwa mkewe Kim Kardashian na mwanaye North..

 11312325_799906616784120_291358984_n_gallery_main
May 24 couple ya mastaa Kim Kardashian na Kanye West walitimiza mwaka mmoja wa ndoa yao tangu walipofunga mwaka jana huko Italy.

TAZAMA NDINGA ANALO ENDESHA SAMATTA

IMG_4680.JPGSamatta anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, anatajwa kuwa mmoja wa wachezaji watanzania wanaoingiza fedha nyingi kupitia soka – akiripotiwa kulipwa mshahara usiopungua $8000 kwa mwezi bila

Single mpya ya Mirror ‘Hapo Ulipo’ iko hapa

mirrorHii kazi mpya ya msanii kutoka endless fame Mirror ‘Hapo Ulipo’ ,Download na isikilize hapa PIA UNAWEZA KUI DOWNLOAD NA KUMPATIA MCHIZI WAKO...>>>

25 May, 2015

Flaviana Matata on covers of New African Woman UK

Styled by Tanzanian stylist based in the US, Ms Rosemary Kokuhilwa "FashionJunkii", Flaviana Matata is such a beauty on the new cover of New African Woman,June-July Issue

NI MIRIAM ODEMBA KWA CANNES FILM FESTIVAL

IMG-20150525-WA0008YES NDO ZILE TUZO KUBWA HUKO MAJUU MIRIAM NAE ALIWAKILISHA VYEMA KWA RED CARPET YA HUKO. MIRIAM ANAUPENDA UAFRICA NA U TANZANIA NA MASAI NECKLACE YAKE. KWELI KAPENDEZA PICHA ZAIDI>>>>>>>

WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamefanikiwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili Peter Mwalyanzi kutokea Mbeya City fc.

IMG-20150524-WA0012
WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamefanikiwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili kiungo mshambuliaji, Peter Mwalyanzi kutokea Mbeya City fc.Mwalyanzi alisaini mkataba huo jana na baada ya hapo alifanya mahojiano maalumu na

PICHA PAMOJA NA VIDEO JINSI MABINGWA CHELSEA WALIVYO SHEREKEA UBINGWA WAO JANA

Chelsea manager Jose Mourinho places the crown of the trophy on the head of Didier Drogba after the English Premier League soccer match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge stadium in London, Sunday May 24, 2015. Chelsea were awarded the trophy after winning the English Premier League.  (AP Photo/Matt Dunham)
Klabu ya Chelsea jana walikuwa na kibarua cha kuikamilisha ratiba ya mechi zao kwenye ligi Kuu ya Uingereza, Barclays Premier League.. kwenye mchezo huo walikuwa wakibanana na Klabu ya Sunderland ambapo filimbi ya dakika 90 kukamilika ilipulizwa huku Chelsea ikiongoza kwa

YASIKILIZE MANENO MACHACHE HAYA ALIYOSEMA MBUNGE EDWARD LOWASA JUU YAKUHAMA CHAMA CHAKE, AFYA YAKE,PAMOJA NA ELIMU KWA UJUMLA

lowassa2
Moja ya story kubwa kwenye siasa za TZ wiki iliyopita ilikuwa ishu ya CCM kuwafungulia makada wake sita ambao walikiuka kanuni za chama hicho kwa kutangaza kugombea Urais mapema kinyume na utaratibu wa chama hicho, mmoja ya waliokuwa wamefungiwa ni

WAKATI MWINGINE KAZI ZA HAPA NA PALE ZINAKUNYIMA HATA KUPATA HABARI KWA UHURU, VIVYO NI MUDA WAKO KUPITIA KILICHOANDIKWA KATIKA BAADHI YA MAGAZETI YA HAPA KWETU

ZEEE
MWANANCHI
 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema matamanio ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ya kuwaletea Watanzania mabadiliko waliyoyakosa ndani ya CCM yanaenda kutimia katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...