22 September, 2016

Download Music: 'Yote Heri"-Ghafla

Msanii Ghafla ameachia wimbo mpya! Bofya DOWNLOAD hapo chini Kuupakua wimbo Huo.

Diamond Platnumz achaguliwa kuwania uzo za Ghana Music Awards UK

Habari ni kwamba Diamond Platnumz amepata nafasi nyingine kubwa ya kuiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za Ghana Music Awards UK zinazoandaliwa kwa ushirikiano wa kampuni mbili za Alordia Promotion & West Coast UK Entertainment za nchini Ghana na Uingereza.
 
Diamond Platnumz anawania tuzo hii kupitia kipengele cha AFRICAN ARTIST OF THE YEAR akichuana na mastaa wengine akiwemo Patoranking, Fally Ipupa, Davido, AKA, Wizkid, Olamide na Tekno Milles.

Sherehe za utoaji wa tuzo hizi zimepangwa kufanyika jijini London, Uingereza mnano November 5th, 2016, kwenye ukumbi wa Gaumont Palace zamani ulikuwa ukiitwa Dominion Centre, huko 9 The Broadway Wood Green London N22 6DS

Hii ni List nzima ya wasanii waliotajwa kuwania tuzo hizo kwenye vipengele 26.
AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR
Patoranking
Fally Ipupa
Davido
AKA
Wizkid
Diamond Platnumz
Olamide
Tekno

BEST CLUB DJ OF THE YEAR
DJ Bibi
DJ Fiifi
DJ Invisible
DJ Sawa
DJ Billy
DJ Chris Vibez

GOSPEL SONG OF THE YEAR
Hour by Hour – SP Kofi Sarpong ft. Joyce Blessing
M’asem (Yoboyo) – Kofi Gyan
Wowo Nkwa Wo Wo Ade3 – Mary Owusu
Hyebre Sesafo – Obaapa Christy
Wafom Kwan – Patience Nyarko
Aporsor – Nicholas Omane Acheampong

GOSPEL ARTISTE OF THE YEAR
Obaapa Christy
Nicholas Omane Acheampong
Joe Mettle
SP Kofi Sarpong
Patience Nyarko
Preachers

NEW ARTISTE OF THE YEAR
Nero X
Kofi Kinaata
Wisa
Atom
Mr. Eazi
Nii Funny

MUSIC PRODUCER OF THE YEAR
Mobeatz – Skolom
Bisa Kdei – Brother Brother
Kaywa – Mansa
Beatz Dakay – Mightylele
Dr. Ray – Yewo Krom
Kin Dee – Susuka
The Maker – Chop Kiss

BEST MUSIC VIDEO OF THE YEAR
MzVee – Hold Me Now
Joey B – U And Me
Obrafour – Nkontompo
YaaYaa – Dumb Drum
Edem – Girlfriend
Teephlow ft. Sarkodie – The Warning
Mr Eazi ft. Sarkodie – Anointing
Becca ft. Bisa Kdei – Hwe
VVIP ft. Samini – Dogo Yaro

BEST GROUP OF THE YEAR
VVIP
R2Bees
Keche
4×4

BEST RAPPER OF THE YEAR
EL
Guru
Yaa Pono
M.anifest
Pappy Kojo
Flowking Stone
Obrafour
Edem
Sarkodie
Omar Sterling

HIPLIFE SONG OF THE YEAR
Atom – Yewo krom
EL – Koko
Wisa – Ekikimi ft. Luther
VVIP – Skolom ft. Sena Dagadu
Guru – Pooley Swag
Mr. Eazi – Hollup

HIGHLIFE SONG OF THE YEAR
Bisa Kdei – Mansa
R2Bees – Makoma
Bisa Kdei – Brother Brother
Kofi Kinaata – Susuka
Ofori Amponsah – Alewa ft Sarkodie
Kwabena Kwabena – Tua Mu Daa

HIGHLIFE ARTISTE OF THE YEAR
Bisa Kdei
Afriyie
Ofori Amponsah
Nero X
Kwabena Kwabena

MOST POPULAR SONG OF THE YEAR
Mansa – Bisa Kdei
Brother Brother – Bisa Kdei
Go Higher – Stonebwoy
Ekikimi – Wisa ft. Luther
Baby (Chop Kiss) – Shatta Wale
Yewo Krom – Atom ft. Jhunea
Susuka – Kofi Kinaata
Kakai – Shatta Wale

REGGAE / DANCEHALL SONG OF THE YEAR
Go Higher – Stonebwoy
Enemies – Jupitar ft Sarkodie
Mightylele – Stonebwoy
Kakai – Shatta wale
Hold it – Shatta Wale
Pumpum – Rudebwoy Ranking ft Episode

REGGAE / DANCEHALL ARTISTE OF THE YEAR
Stonebwoy
Jupitar
Samini
Episode
Mzvee
Shatta wale

AFROBEATS ARTISTE OF THE YEAR
Mr. Eazi
D-Cryme
Pappy Kojo
Kofi Kinaata
R2Bees
Wisa

BEST COLLABORATION OF THE YEAR
Mr. Eazi ft. Efya – Skin Tight
VVIP ft. Sena Dagadu – Skolom
Sarkodie ft. Akwaboah – Mewu
Pappy Kojo ft. Sarkodie – Aye Late
Wisa ft. Luther – Ekikimi
D-Cryme ft. Sarkodie – Koko Sakora
Mr Eazi ft. Eugy – Dance For Me
Jupitar ft. Sarkodie – Enemies
Becca ft. Bisa Kdei – Hwe

ALBUM OF THE YEAR
Mary – Sarkodie
Elom – EL
Breakthrough – Bisa Kdei
I Believe – SP Kofi Sarpong
After The Storm – Shatta Wale
Necessary Evil – Stonebwoy
Breaking News – Samini

ARTISTE OF THE YEAR
Shatta Wale
Nero X
Sarkodie
Stonebwoy
Bisa Kdei
SP Kofi Sarpong
EL
Mr. Eazi

BEST UK BASED GROUP
Kwamz & Flava
Vibez Squad
NSG
Kraze
CXCV
IRAY MVNT

BEST UK BASED AFROBEATS ARTISTE
Jaij Hollands
Mista Silva
K Weezy
Scob Original
Charsey
Kwamz & Flava

BEST UK BASED AFRO-POP ARTISTE
Zafi B
Eugy
Areatha Anderson
Tinchy Stryder
Prince Rapid
Fuse ODG
Stormzy
NSG

BEST UK GOSPEL SONG
Amazing God – Sonnie Badu
We Love You – Louisa Annan
Yebe Duru – Nhyira Hemaa
Jesus the Reason for the Season – Kwame Amponsah
Bisa Awurade – Betty Acheampong
Work In Progress – Diana Antwi Hamilton

BEST UK BASED GOSPEL ARTISTE
Sonnie Badu
Mama Fausty
Ohemaa Jackie
Antwi Diana Hamilton
Louisa Annan
Nhyira Hemaa
Osei Kofi
Kwame Amponsah
Betty Acheampong
Ohene Darko

BEST UK BASED MUSIC VIDEO
Tina – Fuse ODG ft. Angel
New Girl – Reggie N Bollie
Pinga – Jaij Hollands ft NSG
B.A.D (Best Achieving Don) – Mr Silva
Watch Nobody – Atumpan ft. Paigey Cakey

UK BASED GHANAIAN INTERNATIONAL ARTISTE
Fuse ODG
Tinchy Stryder
Sonnie Badu
Reggie N Bollie
Lethal Bizzle
Stormzy

Dangote kuinunua Arsenal katika kipindi cha miaka 4

Mtu tajiri barani Afrika kuinunua Arsenal

Aliko Dangote, mtu tajiri zaidi barani Afrika,ana mpango wa kuinunua klabu ya Arsenal kutoka nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne.

Dangote ambaye ni raia wa Nigeria ana thamani ya dola bilioni 10.9,kulingana na orodha ya watu tajiri duniani iliotolewa na runinga ya Bloomberg mjini New York siku ya Jumatano, alitangaza nia yake ya kukinunua klabu hicho mwaka uliopita.

Alisema kuwa anasubiri biashara zake kuimarika pamoja na uwekezaji wake wa ujenzi wa bomba la gesi na kiwanda cha kusafisha mafuta kabla ya kukinunua klabu hicho.

''Hakuna tatizo kwamba atakinunua klabu hicho'' na si tatizo la fedha ,alisema Dangote katika mahojiano na runinga ya Bloomberg .Arsenal

''Pengine miaka mitatau au mine.Swala ni kwamba tunachangamoto nyingi.Ninahitajika kukabiliana nazo mwanzo baadaye nitaangazia swala la ununuzi huo''.

Dangote ambaye ni shabiki mkubwa wa Arsenal amepoteza kiasia cha dola bilioni 4.4 mwaka huu kutokana na kushuka kwa thamani ya sarufi ya Nigeria.
Utajiri wake mwingi upo katika kiwanda cha simiti cha mjini Lagos.

Iwapo atainunua timu hiyo basi atakuwa mtu wa kwanza kutoka barani Afrika kumiliki timu iliopo katika ligi kuu ya Uingereza.

Man United kukutana tena na Man City kombe la ligi EPL

Manchester United kumenyana na wapinzani wao wa Jadi Man City ugani Old Trafford

Klabu ya Manchester United na Manchester City watakutana katika roundi ya nne katika kombe la Ligi ya Uingereza (EPL) uwanjaini Old Trafford.
United waliibuka na ushindi wa mabao matatu kwa moja dhidi ya Northampton siku ya Jumatano huku City wakiibuka na mabao mawili kwa moja dhidi ya Swansea.

Kwengineko, timu ya West Ham itawakaribisha mahasimu wa Uingereza Chelsea, huku Tottenham wakielekea Liverpool.
Timu zitakazo toka sare zitacheza kuanzia tarehe 24 mwezi Oktoba.
City walishinda kombe hilo msimu uliopita baada ya kuishinda Liverpool kwa mikwaju ya penalti.

United wakiongozwa na Jose Mourinho wamepata ushindi mara tatu mfululizo dhidi ya Northampton.

DROO KAMILI:
West Ham dhidi ya Chelsea
Manchester United dhidi ya Manchester City
Arsenal dhidi ya Reading
Liverpool dhidi ya Tottenham
Bristol City dhidi ya Hull
Leeds dhidi ya Norwich
Newcastle dhidi ya Preston
Southampton dhidi ya Sunderland

Mpya: Download Wale Wale - Ruby

Mwana dada Ruby leo hii katuletea wimbo wake mpya unao kwenda kwa jina la Wale Wale. Bofya DOWNLOAD hapo chini kuupakua wimbo Huo.

Video: Lady Gaga – Perfect Illusion

Msanii wa muziki wa Pop Marekani, Lady Gaga ameachia video yake mpya ya wimbo wa Perfect Illusion. Video imeongozwa na Andrea Gelardin pamoja na Ruth Hogben. Tazama hapa chini video hiyo.

20 September, 2016

Kilimanjaro Queens yatwaa ubingwa wa CECAFA 2016

Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Kilimanjaro Queens’ yaifunga Harambe Starlets ya Kenya 2-1 na kutwaa Kombe la Chalenji la CECAFA 2016 huko Jinja, Uganda leo jioni.
14390765_10154543673149339_1241431227057215031_n
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Mwahamisi Omar dk 28, 45, Kenya limefungwa na Christina Nafula.
Tanzania walifika fainali baada ya kuwalaza wenyeji Uganda 4-1 mechi ya nusu fainali.

Download :Witnesz Kibonge Mwepec & Ochu Sheggy ft Snura & Mzee yussuf - JIRANI

OTCHUNES presents Witnesz Kibonge Mwepec & Ochu Sheggy ft Snura & Mzee yussuf - JIRANI. 

Wimbo unahusu majirani Wa Kiume Wawili ambao wameoa na Kila moja anatamani na wana tabia za kutongoza mke Wa Jirani Yake! 


Audio produced by Chrixstone beats under flava productions video made with Dreams Multimedia under visualizer creator pro in cooperation with OTCHUNES

Download: STAR - Foby

C9 Records presents STAR by Foby!. Click DOWNLOAD button bellow to download this song.

Justin Bieber na mpenzi wake Sofia Richie waachana

Penzi la mwanamuziki maarufu ulimwemguni Justin Beiber na Sofia Richie ambaye ni mtoto wa mwanamuziki mkongwe nchini Marekani Lieonel Richie Limeingia wenda wazimu na hatimaye wawili hoa wamwagana-  Mtandao wa TMZ umeripoti.

Chanzo cha karibu na wapenzi ho kiliuambia mtando huo wa TMZ kwamba wawili ho hawakuawa teyari kuanza safari hiyo ya mapenzi licha ya kuonekana pamoja nchini Mexico kwenye Birthday ya Mwanadada Sofia Richie ambapo alikua akitimiza miaka 18, tangu hapo hawakuonekana tena hadharani na hawakuwa wakiongea tena pamoja.

Mwana dada Sofia Richie alionekana mnamo Siku ya Juma pili akiwa na marafiki zake wakila bata bila kuwaza chochote yani.


Mourinho: Morali wa Man United umepungua

Mkufunzi wa manchester United Jose Mourinho 
Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho anasema kuwa wachezaji wake wanafaa kujizatiti wakati maamuzi yanapofanywa dhidi yao baada ya kushindwa 3-1 na Watford ,na hivyobasi kupoteza mara tatu mfululizo katika kipindi cha siku nane.

Hatahivyo Mourinho amesema kuwa timu yake ndio iliokuwa bora na ingefaa kujipatia ushindi.

Amesema kwa sasa wanaangazia makosa ya kibinafsi pamoja na yale ya timu yote kwa jumla.

''Bao la pili lilikuwa makosa ya kibinafsi ,lakini hilo tunaweza kulitatua'',Mourinho.

Ndoto Yangu Kushinda Grammy- Vanessa Mdee

Mwanamuziki wa kike anayesumbua ndani na nje ya Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema ana ndoto kubwa.

Ndoto yake siku moja, kuwa msanii kutoka Tanzania atakayeshinda tuzo za heshima, Grammy.Anaamini kuwa, mwanzo wa kukaribia kuiishi ndoto hiyo umewadia.

Vee Money ni mmoja wa wasanii wa Afrika, waliochaguliwa kurekodi wimbo na mshindi wa Grammy na nyota wa RnB nchini Marekani, Trey Songz.
Shukrani kwa kipindi cha Coke Studio Africa (International Week) msimu wa 4, kinachomdondosha staa huyo.

Akiwa pia anawania tuzo ya Loeries za Afrika Kusini kwa kazi yake ya video bora, Niroge.

“Katika harakati zangu za kutafuta ushindi wa Grammy katika career yangu ya muziki, inanipa nguvu kufanya kazi kwa ukaribu na Trey Songz, ambaye alishawahi kushinda tuzo hiyo.” amesema Vanessa.
Msimu mpya wa Coke Studio utaanza mwezi ujao.

Snura: Mimi ni Malkia Wa uswazi

Mwanamuziki na Muigiazajia Snura amejipa cheo cha malkia wa Uswazi kwa madai  kwamba amekulia maisha ya Uswahilini, hata nyimbo anazo imba zina maudhui na mazingira ya Uswahilini, hivyo ni sahihi kujiita jina hilo.

"Mimi ni Malkia wa Uswazi, kwanza nmekulia huko, nimekaa huko, na hadi sasa nakaa huko na nyimbo zangu ni za uswazi, hivyo sioni kama kuna shida nikijiita Malkia wa Uswazi" -Alisema Snura.

Snura alisema hayo kwenye kipindi cha eNewz na kufafanua kuwa hajali kwamba ataelewekaje,  kwa madai kwamba hata mashabiki  wanamuita kwa jina hilo na Pia ndiye Malikia wa Kisingeli kutokana na Muziki anao fanya.
Nyota huyo alisema hata kama yupo mwanamuziki mwenzake Shaa, ambae kwanzia hapo awali alikua akijiita jina hilo na kudai kwamba watu tuu wenyewe wanajua tu nani Malkia wa Uswazi.

19 September, 2016

VideoMPYA: Diamond Platnumz na Rayvanny-‘Salome’


Wakali kutokea kiwanda cha Bongofleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz pamoja na Raymond a.k.a Rayvanny wakitokea katika Laber ya WCB wametuletea Video yao mpya walio iachia hapo jana September 18 2016. Bofya Play hapo chini kuitizama Video hiyo.

Jonas Mkude amesema kila mechi iliyopo mbele yao ni sawa na fainali

img_0095
Kiungo na nahodha wa Simba Jonas Mkude amesema kila mechi iliyopo mbele yao ni sawa na fainali kwasababu wamepania kufanya vizuri kwenye ligi msimu huu licha ya kuwepo na upinzani mkubwa kwenye ligi.

“Kila mechi kwetu ni fainali, kwa jinsi ligi ilivyo sasahivi, hatuwezi kukubali kutoka suluhu wala kupoteza pointi tatu”, amesema Mkude baada ya kuisaidia timu yake kushinda mbele ya Azam FC.

Nilipotaka kujua nini siri ya ushindi wao katika mchezo wa jana, Mkude alisema: “Siri ya ushindi ni mazozi na mbinu za mwalimu wetu ndiyo zimetuwezesha kupata ushindi dhidi ya Azam.”
Ligi ni ngumu tunaomba mashabiki waendelee kutusapoti tuendelee kufanya vizuri.

ICARDI, PERISIC, WAVUNJA REKODI YA JUVE SERIE A

1
Inter Milan walitoka nyuma na kuwatandika Juventus katika mchezo mkali na wa kusisimua wa derby d’Italia.

Stephan Lichtsteiner aliwapa Juve goli la uongozi dakika ya 66 baada ya kuunganisha krosi nzuri kutoka kwa Alex Sandro.

Hata hivyo, baadaye Mauro Icardi aliswazisha bai kwa wenyeji wa mchezo huo Inter Milan dakika mbili baadaye kwa kuunganisha kwa umahiri mkubwa mpira wa kona.

Ivan Perisic, ambaye aliingia akitokea benchi aliwapa Inter bao la pili kufuatia kazi nzuri iliyofanywa na Icardi, and Juve, huku Gonzalo Higuain ambaye pia aliingia kutokea bechi akishindwa kufurukuta ili kuisawazishia timu yake bao
Mchezaji wa Inter Milan Ever Banega alipewa kadi nyekundu dakika ya tisini.

Matokeo hayo yanafanya Juve kupoteza mchezo wake kwa mara pili kwenye Serie A tangu walivyofungwa bao 1-0 na Sassuolo 28 October, 2015.

Kipigo hicho pia kinamaanisha kwamba Mabingwa Watetezi hao wanashuka mpaka nafasi ya pili nyuma ya Napoli, wakati Inter wakijisogeza mpaka nafasi ya sita.


Source/Chanzo: shaffihdauda.co.tz

Nguli wa muziki Afrika Kusini Mandoza afariki dunia

Mandoza

Nguli wa muziki nchini Afrika Kusini, Mduduzi Tshabalala, al-maarufu Mandoza, amefariki baada ya kuugua saratani kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38.

Mandoza alisifika kwa albamu kadha za muziki aina ya Kwaito, aina ya muziki wa Afrika Kusini ambao hukaribiana sana na Hip Hop.MandozaNyimbo zake nyingi sana zilivuma, zikiwemo nyimbo kutoka albamu yake ya kwanza Nkalkatha. Familia ya Mandoza imesema mwanamuziki huyo aligunduliwa kuwa na saratani baada ya kuanza kuumwa na kichwa sana pamoja na kutatizwa na macho mwaka mmoja uliopita.

Game of Thrones yatawala tena tuzo za Emmy


Filamu ya televisheni ya Game of Thrones kwa mara nyingine imezoa tuzo nyingi katika tuzo kuu za vipindi vya televisheni Marekani, Emmy.

Washindi wa tuzo hizo wametangazwa katika hafla iliyofanyika mjini Los Angeles.
Mwendelezo huo wa filamu umeshinda tuzo kumi na mbili za Emmys, zikiwemo tuzo za uelekezi bora na utunzi bora wa hadithi.

Mshindi mwingine mkuu amekuwa kipindi cha ucheshi wa siasa 'Veep,' huku Julia Louis-Dreyfus akishinda tuzo yake ya tano mtawalia ya Emmy kwa uigizaji wake kama makamu wa rais wa Marekani.

Game of Thrones
Filamu ya The People versus OJ Simpson inayoangazia uhalifu nayo imeshinda tuzo tisa za Emmy.
Filamu hiyo huangazia kesi mbili za mauaji pamoja na kuondolewa makosa kwa nyota wa zamani wa soka Marekani Orenthal James "O. J." Simpson.

Paralympics yafungwa kwa mbwembwe Rio De Janeiro

Bahman Golbarnezhad
Mashindano ya Olympic kwa walemave mjini Rio De Janeiro, yamemalizika usiku wa kuamkia leo kwa shamrashamra mbalimbali.

Tangazo la kukumbuka ya kufariki kwa mmoja wa wanamichezo Bahman Golbarnezhad, kutoka nchini Iran, lilileta simanzi pia.

Katika michezo hiyo, China imejizolea medali 239, ikifuatiwa na Uingereza 147, na ya tatu ni Ukraine 117.
Kwa upande wa Afrika Mashariki, Kenya inaongoza kwa kubeba jumla ya medali 6 na Uganda Medali 1.

18 September, 2016

Download Audio Mpya Kutoka kwa Diamond Plutnum Ft Raymond - Salome

Hii ni ngoma Mpya Kutoka kwa Diamong Plutnum akimshirikisha vyema Raymond.. Ngoma imepewa jina la Salome na imefanyiwa Mixing na Producer Laizer. Ngoma hii ina VerSaion Mbili yaani Traditional Version na Club banggers Version.
Bofya DOWNLOAD hapo chini Kuupakua wimbo Huo. DOWNLOAD pia na Club Banngers Version hapo chini

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...