13 June, 2015

INTERVIEW YAKWANZA YA DEPAY PALE UNITED (VIDEO)

mephosUmekua mfungaji bora kwenye ligi ya Uholanzi lakini umejipangaje kwa hilo kwenye ligi ya Uingereza? Hilo ni moja kati ya maswali ambayo aliyoulizwa akifanya interview na TV ya Manchester united majibu yote ni

UGANDA ‘The Cranes’ imeitandika 2-0 Botswana

Geoffrey-Massa-150609-KicksBall-BPP300
UGANDA ‘The Cranes’ imeitandika 2-0 Botswana katika mechi ya ufunguzi ya kundi D kuwania kufuzu kombe la mataifa ya Afrika (Afcon 2017) iliyopigwa  leo uwanja wa Nelson Mandela, Namboole, mjini Kampala.

AZAM FC leo imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Ame Ally ‘Zungu

10407996_905036169559101_6675452961550561514_n
Ame (kushoto) baada ya kusaini Azam fc
AZAM FC leo imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Ame Ally ‘Zungu’ na kumsainisha mkataba wa miaka miwili.
Makamu mwenyekiti wa Azam fc, Nassor Idrissa ‘Father’ amethibitisha kuinasa saini ya

Tyga afumaniwa akinunua Bugatti na mwanamke mwingine,sio Kylie Jenner.

t4
Rapa Tyga amefumaniwa akijaribisha gari la Kifahari aina ya Bugatti kabla hajalinunua akiwa na mwanamke mwingine kwenye gari hio na sio mpenzi wake ambaye ni Kylie Jenner.Tyga alikuwa na mpango wa kununua gari hilo lenye thamani ya dola milioni

12 June, 2015

Klabu ya Manchester United imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa Memphis Depay

Klabu ya Manchester United imetangaza  rasmi kukamilisha usajili wa nyota wa kimataifa wa Uholanzi,  Memphis Depay na kumsainisha mkataba wa miaka minne.
Mpango wa kumsajili kinda huyu mwenye miaka 21 ulikamilika mwezi uliopita, lakini sasa

Chris Brown ajitabiria kifo chake kitakavyo kuwa kama cha 2Pac!

Chris Brown haonekani kuwa kwenye hali nzuri kwa sasa, Mbali na furaha inayo onyeshwa kusababishwa na mtoto wake Royality bado ameonekana kwenye maumivu ya kumkosa Karrueche aliyekuwa mpenzi wake kabla ya kujulikana kuwa ana mtoto kwa msichana mwingine.

Video: Yemi Alade Ft Mugeez - 'Pose'

Yemi Alade releases the music video for her pan African smash "Pose", off her critically acclaimed debut album "King of Queens". The track was produced by Young D and featured Mugeez(R2Bees).
The Paul Gambit directed music video was shot in Nigeria and Ghana.

Video: Emmanuel Jal, Vanessa Mdee, Juliani & Syssi Mananga – 'Tusimame'

South Sudan's EMMANUEL JAL, the internationally acclaimed recording artist, author, actor and inspiring humanitarian has joined forces with some of music’s biggest stars, including Tanzania's VANESSA MDEE, Congo's SYSSI MANANGA and Kenya's JULIANI in the making of

Nyota wa filamu ya Dracula na Lord of the Rings afariki

Mwigizaji wa siku nyingi na nyota wa filamu zilizopendwa na wengi Sir Christopher Lee amefariki akiwa na umri wa miaka 93.Msanii huyo ambaye ni mzaliwa wa Uingereza aliyejenga jina lake kwa kuigiza katika filamu ya Dracula na Frankenstein katika filamu ya kutisha aligiza katika zaidi ya filamu 250.Alijulikana sana kwa kuigiza kama Scaramanga katika filamu ya James Bond na Evil Wizard Suriman katika filamu ya

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee watajwa kuwania MTV Africa Music Awards 2015

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTV Africa Music Awards 2015 yametangazwa jana June 11, ambapo Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ni miongoni mwa wasanii waliotajwa kuwania tuzo hizo zitakazotolewa  jijini Durban Afrika Kusini

Zikufikie Stori kubwa 8 kwenye kurasa za Magazeti ya leo Tanzania June 12…

LEOOOMWANANCHI
Majambazi yamemuua polisi wa upelelezi, William Mtika (29) wa jijini hapa wakati wa mapambano kwenye tukio la kutaka kupora fedha za Kampuni ya Export And Trading eneo la Iwambi.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 9:00 alasiri na

10 June, 2015

Binamu wa Jay Z apondwa baada ya Davido kufanya collabo na Meek Mil, sababu iko hapa

 davido
Binamu wa karibu wa msanii Jay Z ‘Brian Biggs aka “Bee-High‘ ameumbuka na kupondwa mtandaoni baada ya Mnigeria Davido kufanya collabo na Meek Mil, Binamu huyu anayefanya kazi kama mtafuta vipaji wa Roc Nation na Tidal ya Jay Z alitumwa Nigeria mwaka

alichokisema Chris Brown kuhusu mapenzi yake na Karrueche..

Story kubwa nyingine ikachukua headlines, washkaji wa Chris Brown walipanga mchezo marafiki wa kuwakutanisha pamoja wakijifanya eti Karrueche alitaka kukutana na Chris Brown ili kumaliza tofauti zao na kuendelea na uhusiano.

09 June, 2015

Video mpya ya Future ‘Never Gon Lose’ itazame hapa

future-ngl-videoRapa Future anaendelea na  #MonsterMonday kwa kutoa video mpya au wimbo mpya kila jumatatu, hii mpya “Never Gon Lose” kutoka kwenye mixtape ya 56 Nights. ITAZAME HAPA>>>>>>>

Video Mpya Ya Davido Ft Meek Mil ‘Fans Mi’ Itazame hapa

meekWimbo wa Davido aliofanya na rapa Meek Mill ‘Fans Mi, umetayarishwa na producer Shizzi na video imetayarishwa na Sesan itazame HAPA>>>>>>>

Hii kazi mpya ya Ruby ‘Milima Ya Kwetu’ Isikilize hapa.

181brubyDownload na sikiliza wimbo mpya wa Ruby ‘Milima Ya Kwetu’ imetayarishwa na Clinton Music Studio Epic Records.

08 June, 2015

Mabingwa wapya wa Ulaya klabu ya FC Barcelona inajiandaa kumtangaza kiungo Aleix Vidal

Aleix-Vidal-Sevilla1
Mabingwa wapya wa Ulaya klabu ya FC Barcelona inajiandaa kumtangaza kiungo wa pembeni wa FC Sevilla, Aleix Vidal kama ingizo jipya katika klabu hiyo baada ya kukamilisha usajili wake siku ya jumamaosi.

Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya zaidi ya $1 billion

list cover
Licha ya kuchukua ubingwa wa UEFA lakini bado thamani ya brand yake sio kubwa zaidi ya club tano juu yake. Barcelona imechukua UEFA lakini kwenye list ya biggest brands in football.
Kwa mara ya kwanza Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya

Tabia 10 zinazoharibu ubongo


Je wafahamu tabia zinazoweza kuharibu ubongo wako?

Fahamu rekodi ya kipekee Andres Iniesta

29692D0A00000578-0-image-a-25_1433763633541
Unapozungumzia ubora wa mchezaji si wengi wanaweza kubishana na ukweli kwamba Andres Iniesta ni moja kati ya viungo bora kwneye soka la kimataifa na ameweza kubakia katika ubora na kiwango cha juu kwa muda mrefu  bila kushuka.

07 June, 2015

karibu na Video mpya ya Q Chief ‘For You’ (Mdogo Mdogo) iko hapa

qchiefHii video mpya ya Q Chief  ‘For You’ imetayarishwa na Adam Juma Huku Audio ikatengenezwa na MAZUU. Ni ujio Mwengine wa chila Bonyeza PLAY KUIONA VIDEO HI>>>>>>>>>>>>>>>
dudubaya1Baada ya kubadilisha jina msanii wa rapa kutoka Tanzania Mamba Dudubaya ametoa wimbo mpya uliopewa jina ‘Tuwachore kwa Jicho’. Bonyeza play kuisikiliza HAPA HAPA MTOKA MBALI>>>>>>

Chris Brown alivyong’ang’ania kuingia kwenye gari la X Wake Karrueche Tran.

karrueche-cb-fight
Drama za Chris Brown na X wake Karrueche Tran zimeendelea baada ya wawili hawa kujikuta wamekaa kwenye meza jirani kwenye club kubwa ya Playhouse huko Hollywood na wote kuamua kuodoka kwa wakati mmoja kuepuka ugomvi.

Video: 'Rose' aliye tangaza kuwa na ujauzito wa Nuh Mziwanda akabiliana naye pamoja na Shilole live kwenye FNL

Utata kuhusiana na sakata zima la taarifa za Nuh Mziwanda kumtia mimba mchepuko, na kusababisha vita kali kati yake na Shilole ambaye ni mpenzi wake, limepatiwa ufumbuzi usiku wa jana katika show kali ya burudani ya Friday Night Live.Kama ulipitwa, picha zima kuhusiana na sakata hili lilianza kwa

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...