24 June, 2016

Music: Dogo Janja Ft Weasel & Radio – My Life Remix

Kutoka Tip-top connection ni Dogo Janja kakutana na wakali kutoka Good life hapa namtaja Radio na Weasel kutoka pande za Uganda wanatuletea Rimix ya ngoma yake Janjaro My Life. Enjoy ngoma hiyo na kumbuka kushirikisha kitaa.

Music: Papa Wemba Ft Diamond Platnumz – Chacun Pour Soi

Kwa sasa hayupo nasi maana amekwisha tangulia mbele za haki ila kazi zake zitazidi kusikika masikioni mwetu. Anaitwa Papa wemba, moja kati ya malegendary wa muziki walio wahi kuishi na hii ndiyo ngoma yake aliyo fanya week chache kabla ya Mauti kumpata ‘Chacun Pour Soi’ amemshirikisha Diamond Plutnum.

Video: Godzilla – Nataka Mkwanja

‘Nataka Mkwanja.’ ni ngoma inayo bamba kitaa kwa sasa, ukitazama na jinsi mkwanja ulivyokuwa mgumu kuupata kwa sasa. Ngoma ambayo imefanyiwa kazi kwa MJ Records chini ya Producer Marco Chali. Tizama video hiyo hapo chini.

Music: Pam D Ft. Nay wa Mitego – Nipe Nono

Pam D Ft. Nay wa Mitego - Nipe Nono  Tetesi zilianza kuzagaa kitaa na mitandaoni kwamba wawili hawa yaani Nay na Pam D wanatoka kimapenzi, ila Baadae Pam D alisikika akisema Hakuna kinacho endelea kati yao bali kuna ngoma wanafanya pamoja. Na hii ndio ngoma yenyewe "Nipe Nono" ngoma imetengenezwa kwa Mr T. Touch.

Video:Beyonce-”Sorry”

Kutoka kwenye album  ya Beyonce,’LEMONADE’, hii ni ngoma nyingine inayoitwa ”Sorry” ambayo mwana mama Beyonce kaiachilia. ’LEMONADE ni Album inayo fanya vizuri katika soko na chart mbali mbali ulimwenguni. Mpaka sasa Album hiyo imefanikiwa kuuzwa kwa zaidi ya nakala Milion Moja.

21 June, 2016

Video: Isha Mashauzi – Jiamin

Anajiita Queen of the best Melody  Isha Mashauzi, katuletea Video mpya inayokwenda kwa jina la Jiamin. Video iliyo fanywa na Dreams Mult Studios. Tizama video hiyo na washirikishe pia wana Kitaa.

Health tips: What To Eat During Pregnancy?

Are you wondering how to keep you and baby healthy in these nine months? Here are the few tips on what to eat during your pregnancy and what to limit and avoid for the next 40 weeks(Infographics),precision-nutrition-pregnancy-nutrition-2

Waheshimu wazazi wako katika Uzee wao maana.....


feature image 62

Mzee mmoja mwenye miaka ipatayo 80 alikua ameketi katika sofa nyumbani kwake na mwanawe mwenye umri wa miaka 45, Ghafla akatokea njiwa katika dirisha huku njiwa yule akiwa anaipiga kelele. Yule Baba akamwambia mwanawe "Ni nini hicho?", mwanawe akamjibu "Ni njiwa", Baba akamuuliza tena kwa mara ya pili "Ni nini Hicho?" mwanae akamjibu "Baba nimekwambia ni njiwa".

Baada ya Muda kidogo, Baba yule alimuuliza mwanawe kwa mara ya Tatu "Ni nini hicho?" mwanawe yule akajawa na ghadhabu na kumjibu baba yake "Ni njiwa, ni njiwa". Baada ya Muda tena, baba yule alimuuliza mwanawe "Ni nini hicho?" safari hii mwanawe akamjibu "Mbona una niuliza swali hili hilo tuu ilhali nimekwisha kujibu kwamba NI NJIWA?" "hunielewi?"

Baadae Kidogo, mzee yule aliinuka na kwenda chumbani kwake alipo hifadi Diary yake ambayo aliihifadhi tangu mtoto wake huyo alipo zaliwa. Akafungua Ukurasa mmoja kisha akampatia mwanawe yule ili asome ukurasa ule.

Hichi ndicho kilicho kuwa kimeandikwa katika Ukurasa Ule....
"Leo mwanagu mwenye umri wa miaka mitatu alikuwa amekaa na mimi kwenye sofa, na alitokea njiwa katika Dirisha letu njiwa  huyo alikua akipia kelele. Mwanangu aliniuliza mara 23 "Baba ni nini Hicho?" nilimjibu mara zote 23 alizo niuliza, Nilimkumbatia kwa upendo kwa mara 23 zote alizokuwa akiniuliza jambo hilo hilo moja "Baba ni nini Hicho?". Sikumuonyesha kughadhabika kwa kuuliza swali hilo kwa mara 23 ilhali nlikwisha kumjibu."

Baada ya mtoto yule kumaliza kusoma ukurasa ule, alijawa na aibu ndipo akamwomba baba yake msamaha.


Tunajifunza nini katika hadithi hii?
Wazazi wako wanapo fikia katika uzee, hupaswi kuwaonea ama kuwadharau juu ya uzee wao. Huko unapo pitia tambua ya kwamba wao wailipitia pia enzi za utoto na ujana wao hivyo basi wewe unarudia rudia mambo(Huna jipya mbele ya macho yao). Haijalishi una elimu kubwa kiasi gani, ama una mali nyingi kuliko wazazi wako ila tambua ya kwamba Bila wao usingekuwa hivyo ulivyo. 

Tizama jinsi mzazi huyu alipo muuliza mwanawe swali moja kwa kurudia mara nne na mwanawe huyo akakasirika, ila mzee yule aliwahi kumjibu mwanawe swali hilo hilo kwa mara zote 23 ambazo mwanawe alimuuliza bila hata ya kuonyesha ghadhabu juu ya mwanawe, badala yake alimkumbatia kwa upendo na kumjibu.

“I will serve my old parents in the BEST way.

New Music: Hemed PHD ft Deddy – Ni Wewe

 
Mwiguzaji/mwimbaji Hemed Suleiman a.k.a PHD katuletea ngoma mpya inayokwenda kwa jina la Ni wewe akiwa amemshirikisha Deddy, ngoma ikiwa imefanyika katika studio za Sei Records. Download ngoma Hiyo kwa Kobofya HAPA.

20 June, 2016

Video: Lil Wayne – Skate It Off

Baada yakupata matatizo ya Kifafa, Rapper Lil-Wayne kaachailia Video mpya inayokwenda kwa jina la Skate It Off. Itizame hapa.

Iggy Azalea na Nick Young Waachana

Rapper maarufu Iggy Azalea amemwaga mpenzi wake wa muda mrefu Nick Young. Iggy katumia social Media kutangaza jambo hilo nakusema..
 "Unfortunately although I love Nick and have tried and tried to rebuild trust in him - It's become apparent in the last few weeks that I'm unable to." 
Miezi michache iliyo pita Nick Young alirekodiwa video ya siri inayo mwonyesha akila Uroda na mwanamke mwingine ila Iggy Azelea baada ya kuona hivyo, alizidi kumpatia jamaa huyo nafasi nyingine licha ya kuumia na jamaa huyo kazidi kucheat na Iggy kaamua kumwaga ( yamemfika hapaaaa).
Iggy anasema...
"It's never easy to part ways with the person you planned your entire future with, but futures can be rewritten and as of today mine is a blank page."

TMZ imeripoti.

This is Robert Nester Marley (Bob Marley)

“Live for yourself and you will live in vain. Live for others, and you will live again.”
Bob Marley was born on February 6, 1945, in Nine Miles, Saint Ann, Jamaica, to Norval Marley and Cedella Booker. His father was a Jamaican of English descent. His mother was a black teenager. The couple planned to get married but Norval left Kingston before this could happen. Norval died in 1955, seeing his son only once.

Bob Marley started his career with the Wailers, a group he formed with Peter Tosh and Bunny Livingston in 1963. Marley married Rita Marley in February 1966, and it was she who introduced him to Rastafarianism. By 1969 Bob, Tosh and Livingston had fully embraced Rastafarianism, which greatly influence Marley's music in particular and on reggae music in general. The Wailers collaborated with Lee Scratch Perry, resulting in some of the Wailers' finest tracks like "Soul Rebel", "Duppy Conquerer", "400 Years" and "Small Axe." This collaboration ended bitterly when the Wailers found that Perry, thinking the records were his, sold them in England without their consent. However, this brought the Wailers' music to the attention of Chris Blackwell, the owner of Island Records.

Blackwell immediately signed the Wailers and produced their first album, "Catch a Fire". This was followed by "Burnin'", featuring tracks as "Get Up Stand Up" and "I Shot the Sheriff." Eric Clapton's cover of that song reached #1 in the US. In 1974 Tosh and Livingston left the Wailers to start solo careers. Marley later formed the band "Bob Marley and the Wailers", with his wife Rita as one of three backup singers called the I-Trees. This period saw the release of some groundbreaking albums, such as "Natty Dread", "Rastaman Vibration".

In 1976, during a period of spiraling political violence in Jamaica, an attempt was made on Marley's life. Marley left for England, where he lived in self-exile for two years. In England "Exodus" was produced, and it remained on the British charts for 56 straight weeks. This was followed by another successful album, "Kaya." These successes introduced reggae music to the western world for the first time, and established the beginning of Marley's international status.

In 1977 Marley consulted with a doctor when a wound in his big toe would not heal. More tests revealed malignant melanoma. He refused to have his toe amputated as his doctors recommended, claiming it contradicted his Rastafarian beliefs. Others, however, claim that the main reason behind his refusal was the possible negative impact on his dancing skills. The cancer was kept secret from the general public while Bob continued working.

Returning to Jamaica in 1978, he continued work and released "Survival" in 1979 which was followed by a successful European tour. In 1980 he was the only foreign artist to participated in the independence ceremony of Zimbabwe. It was a time of great success for Marley, and he started an American tour to reach blacks in the US. He played two shows at Madison Square Garden, but collapsed while jogging in NYC's Central Park on September 21, 1980. The cancer diagnosed earlier had spread to his brain, lungs and stomach. Bob Marley died in a Miami hospital on May 11, 1981. He was 36 years old.

Personal Quotes (7)

My music will go on forever. Maybe it's a fool say that, but when me know facts me can say facts. My music will go on forever.

I have a BMW. But only because BMW stands for Bob Marley and The Wailers, and not because I need an expensive car.

Bob Marley isn't my name. I don't even know my name yet.

I no have education. I have inspiration. If I was educated I would be a damn fool.

[on politics] Well, everything is political. I will never be a politician or even think political. Me just deal with life and nature. That is the greatest thing to me.

[on marijuana] Herb? Herb is a plant. Herb is so good for everything. Why these people who want to do so much good for everyone, who call themselves government and this and that, why them say you must not use the herb? You see, them say you must not use the herb because it makes you a rebel. Against what?

My music fights against the system that teaches to live and die.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...