09 April, 2016

Music:Quick-rocka-love-yourself (jb-cover)

Quick+Rocka+–+All+of+Me Pata Audio kutoka kwa mkali  quick-rocka ambayo kafanya Cover ya love-yourself alofanya Justine Beiber. Gonga HAPA kuupata wimbo huo.


Amani ya Moyoni mwako ndio Kunawiri kwa Uso wako.

Awali ya yote nipende kumshukuru Mungu Wangu aliye Juu kwa kunifikisha hapa nilipo maana siyo kwa uwezo wangu ama kwa ujanja wangu kufika hapa nilipo bali ni Kwa neema tuu.
Baada ya shukrani zangu za pekee kwa Mwenyezi Mungu, basi nichukue muda Huu kukushkuru wewe Mdau na Msomaji wa Makala Tofauti tofauti hapa MTOKAMBALI,

Leo nitazungumzia Mambo kadhaaa Juuu ya Maisha ya kila siku, na nmekuongoza na kichwa cha habari Tanjwa hapo juu na Hiyo ndio mada ama point kuu katika hili.

Ngoja nikuulize swali rahisi; Furaha yako ni nn? ni nini chanzo cha Furaha hiyo? na Ni sehemu gani ya mwili wako hutumika kuhifadhi Furaha hiyo? Utanijibu maswali hayo kwenye Box la maoni hapo chini ila kwa sasa Tusonge mbele katika mada yetu ya Leo.

  Niliwahi kukutana na rafiki yangu kipenzi ambae tuliachana kwa muda mrefu kutokana na Masomo ambapo tuliachana tangu Tukiwa na Umri wa miaka 10 huko jijini Arusha, kwa kweli nilistuka kumuona Rafiki yangu huyo licha ya furaha yakumtia tena machoni baada ya muda mrefu kukaa bila kuonana.
Hakika sura yake ilionekana kukomaa mithili ya MZEE mwenye umri wa mika 90, licha ya Mali nyingi na Maisha mazuri aliyokuwa nayo Rafiki huyo lakini kwa kweli sura yake haikuendana na Umri pamoja na mali alizonazo.
  Niliamua kwenda na Rafiki huyo katika Restaurant moja maarufu ili kupata angalao kinywaji na kufahamu mengi yaliyotokea kati yetu kipindi ambacho tuliachana. Baada ya hapo niliamua Kumuuliza kunani Rafki yangu kuonekana na sura ya mzee angali wewe ni kijana mdogo? je ni Mvinyo umekufanya hivyo ama nini?

Jibu alilonijibu lilikua kama ifutavyo.Wewe acha tuu ndugu yangu moyoni mwangu sina Amani kabisa.
Nikamuuliza tena kwa nini?
Ndipo akaniambia Ndugu yangu maisha ya Ujana yana mengi, usipokua makini utajikuta katika hali kama yangu licha ya mali na mafanikio makubwa utakayopata kutokana na kazi za mikono yako. Niliwaki kuwa na Mwanamke mmoja ambae tulikutana nae chuoni na tukapendana kisha baada ya masomo niliamua kufunga nae ndoa na kwa kweli maisha yalikua mazuri na tulifanikiwa kuwa na watoto mapacha mmoja wa kiume na mmoja wa kike, ilikua ni furaha isiyokua na kifani, ila huwezi kuamini furaha hiyo iliingia doa pale ambapo mwanamke huyo alipoamua kutoroka na kuniachia watoto hao wakiwa na umri wa miezi miwili tuu! mpaka leo sifahamu yuko wapi, yuko hai ama mfu, nmemtafuta kila mahali ila nimegonga mwamba sasa jambo hili limekua likiutesa moyo wangu kila kukicha.

Mpaka hapo utakua umepata picha nini hasa kilichofanya sura ya Rafiki huyo kipenzi kuonekana kama mzee. Nilipata jibu sahihi kwamba Amani ya moyo wa mtu ndio kunawiri kwa Uso wake.
Yawezekana kwa namna moja ama ningine ukawana na matatizo kibao ambayo umeyahifadhi moyoni mwako na mbaya zaidi umekosa utatuzi wa matatizo hayo.

Leo nakushauri jaribu kuondoa matatizo hayo moyoni mwako kwa kutafuta suluhisho sahihi, siku hizi zipo njia nyingi la mambo hayo jaribu kufanya hivyo ili kuondokana na mabo yasiyo na ulazima. Ya nini kuishi katika matatizo ilhali maisha haya ya leo Mafupi?
Tafakari.


06 April, 2016

Mfahamu John Lennon na Historia nzima ya Kundi La The Beatles

Kama wewe ni mpenzi wa Burudani ya Muziki basi hapa nitakua nimekukuna Moyo wako maana utakua unafahamu naongelea nini leo. Leo nitazungumzia Juu ya Kundi hili nguli la Muziki aina ya "ROCK" kutokea mitaa ya Liverpool nchini Uingereza.


 The Beatles ni Kundi NGULI  la Muziki kuwahi kutokea katika ulimwengu wa muziki ambapo kundi hilo liliundwa mnamo mwaka 1960 huko jijini Liverpool nchini Uingereza chini ya Uongozi wa John Lennon ambapo kundi hili lilifanikiwa kuufanya Muziki aina ya ROCK kuwa wa thamani na hata kufanya biashara.


    Waliweza kutengeneza vibao kama vile  "Yesterday, "Hey Jude," "Penny Lane, "With A Little Help From My Friends," "Norwegian Wood (This Bird Has Flown)," "Day Tripper" and "Come Together."Ambapo vibao hivyo na umahiri wao viliifanya bendi hiyo kuwa bandi maarufu na yenye nguvu kwa muda wote.

 wahusika wa kundi hilo walikua ni John Lennon, Paul McCartney, George Harrison na Ringo Starr.


 John Lennon

John LennonJohn Lennon alizaliwa mnamo October 9, 1940 huko jijini Liverpoll , jina lake kamili alijulikana kama John Winston Lennon ambapo wengi ndio tunaemtambua kuwa ndie mwanzilishi wa kundi hilo. Akiwa na umri wa miaka 4 wazazi wake waliachana na kumfanya John kuishi na shangazi yake aliyejulikana kwa jina la MIMI


 Alikua ni mwandishi wa mashairi na muimbaji katika kundi hilo na alifanikiwa kusoma katika chuo cha sanaa huko Jijini liverpool kiitwachwo Liverpool college of Arts.


Mnamo mwaka 1957 John Lennon Alikutana na Paul McCartney na kumuomba Paul kujiunga na na kundi lake la muziki  ambalo teyari alikua nalo lililokwenda kwa jina la Quarry Men na walifanikiwa kuwa na uhusiano mzuri katika uandishi wa ngoma kali. Mnamo mwaka 1969 baadae aliondoka katika kundi hilo na nakufanya kazi na mke wake Mjapani  aliyejulikana kwa jina la Yoko Ono pamoja na waimbaji wengine waliokua njee ya The Beatles. John Lennon aliuawa mnamo December 8, 1980 na  shabiki wake ambae alikua kichaa.


Hiyo ni historia fupi ya Mwanzilisi wa Kundi la The Beatles japo kwa uchache wake,

Audio: BILL_NASS-CHAFU_POZI

12724675_1710701839205443_1194475902_n Rapper BILL_NASS baada ya kufanya vyema katika ngoma ya ligi ndogo, Safari hii katuletea ngoma nyingine kali inayokwenda kwa Jina la CHAFU_POZI iliyotengenezwa na Producer mahiri hapa nchini anaekwenda kwa jina la Mr.T-Touch.
Bonyeza HAPA kuupata wimbo huo.

The Very Important Reason Why We Choose To Love People Who Cannot Love Us Back


The purpose of a relationship is not to be loved perfectly, or forever. It is not to have our every whim and wish met and fulfilled. It is not to be completed, or to have our minds and hearts fueled by the hormonal stimulation we think is the feeling of love. The purpose of a relationship is not the Universe’s way of saying “you’re worthy, and here’s someone to prove it.”

The purpose of a relationship is to see ourselves completely. It is to see the parts of ourselves that we are otherwise unconscious of. The purpose of a relationship is to infuriate and overjoy and destroy us, so we can see what angers us, what thrills us, and where we need to give ourselves love. The purpose of a relationship is not to fix us, or heal us, or to make us whole and happy, it is to show us where we need fixing, and what parts of us are still broken, and perhaps the most brutal of all: that nobody can do this work, or make us happy, but ourselves.

We choose to love people who cannot love us back to teach ourselves that we are, in fact, worthy of being loved back. We choose these people because they represent the parts of us that we don’t love - why else would we waste our time on people who don’t return our affection? We choose to love these people because they are the only ones with whom we share an intimate connection deep enough that it can awaken and illuminate the darkest corners of ourselves, and they are the only ones who can leave and let us do what we are here to do: resolve and actualize and heal them on our own.
It is not the nature of love that people struggle with, but what it is designed to do. Most of our turmoil simply comes from never having been told that love will keep breaking our hearts until they open, and that we will be the ones throwing ourselves in again and again.

Our life partners are the people who come after the love that opens us. Our big loves are the loves that emerge after we think we’ve lost them already. They come after we’re ready, after we’ve already cleared out the damage and debris, only after we’ve learned what it means to love ourselves. It is in this we realize that love is sharing what we already have, not relying on someone else to give us something to supplement. It is in this we realize how crucial it was to love the people who could not love us back. They were never meant to, and the rest only depends on how long it takes us to realize this

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...