26 June, 2015

Na hii ni Video mpya ya Mr Flavour – Power To Win

Flavour-Power-To-Win-633x322Msanii kutoka Nigeria  Mr Flavour ameachia Video ya wimbo wake mpyaa unaokuwenda kwa jina la ‘Power To Win’ Hii ni baada ya kufanya vizuri kwenye collabo ya wimbo mpya wa Diamond wa Nana, Chukua muda wako mfupi kuitazama Video hii kalii.>>>>>>

The most expensive pair of Air Jordan 1

AirJordan1 
If you are into the sneaker game this new pair of Jordans might already be on your list, if not well they should! The latest Air Jordan 1 are made with ultra premium materials and feature black patent reptilian leather with 24K gold-plated details located on

25 June, 2015

Na hizi ni sababu alizozitaja Barnaba kutofanya muziki kimataifa kama wakina 2 Face, Sauti Sol nawengineo

Barnaba ni miongoni mwa wanamuziki wa Tanzania waliojaliwa vipaji vingi kikiwemo cha uandishi wa nyimbo, ambacho kimewafaidisha hata wasanii wengine akiwemo Vanessa Mdee ambaye ameanza kufanya vizuri kimataifa.Kwa uwezo alionao Barnaba, wengi walitarajia kuwa

Epuka mawazo hasi kwa mwenzi wako, ni ugonjwa wa moyo

Taarifa kwako msomaji wangu ni kuwa kuna watu wengi wameachana kwa sababu ya kuwa na mawazo hasi juu ya wenzi wao. Hakuna imani kati yao. Iwe mmoja anamtuhumu mwenzake au wote ni kama Pwagu na Pwaguzi.Zipo hisia zinazowaongoza wanaume wengi kuhusu wanawake. Hawataki wafanye kazi, ikibidi wakae tu nyumbani kwa hoja kuwa wanapokuwa maofisini wataanzisha uhusiano mpya na

Beyoncé naye kuonekana kwenye movie ya Avengers kama mmoja wa 'superhero'!

Kwanzia movie ya Avengers imetoka imewagusa wengi kutokana na kuwapeba ma staa wengi ambao wamekuwa wakisifika kwa kucheza movie zenye kusadikika 'Superhero, Superpower, super natural power'Production ya Marvel inaweza kumchukua mwanamuziki na

24 June, 2015

Entertainment Baada ya kuwabwaga MTN Wiz Kid achukua dili kubwa zaidi.

wizkid
Wiki chache baada ya kukataa mkataba wa kampui kubwa ya simu Nigeria ‘MTN’ Star Boy Wiz Kid amethibitisha kuwa ameingia mkataba na wapinzani wa kampuni hio ambao ni Globacom ‘Glo’. Wiz Kid ametangaza rasmi kuwa

James Horner afariki ajalini


James Horner, mtunzi nguli wa eneo maarufu kwa watu maarufu la Hollywood ambaye aliandika na kushinda katika tuzo za Oscar juu ya filamu maarufu ulimwenguni ya Titanic,amefariki dunia mjini California kutokana na ajali ya ndege akiwa na umri wa miaka 61.

Video: Jose Chameleone – 'Bwerere'

These are the words of the Philosopher, David's son, who was king in Jerusalem,2 It is useless, useless, said the Philosopher. Life is useless, all useless. 3 You spend your life working, laboring, and what do you have to show for it? 4 Generations come and generations go, but the world stays just the same

Video: Chemical Ft Soprano Musiq - 'Sielewi'

Chemical is An Artist From Kazi Kwanza Records And SIELEWI is The First Chemical HipHop Single Featuring Tz RnB sINGER Soprano Musiq.Sielewi Produced By Maximizer From Kazi Kwanza Records And Writen By Chemical and Soprano Musiq. Video Directed By Msafiri Shabani(KWETU STUDIO)

23 June, 2015

Dylan Kerr kocha mpya wa Simba, anatokea Uingereza

Hatimaye kocha mpya atakayeanza kukinoa kikosi cha wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club, amefahamika.Kocha huyo ambaye ni raia wa Uingereza, anaitwa Dylan Kerr na tayari ameingia makubaliano na uongozi wa Simba kuanza kazi hiyo kwenye msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania bara

NEYMAR AJUTA " I’m sure this was an important learning curve in my career." ALISEMA

neymar
Barcelona Star Neyamr ambae hivi karibuni amepigwa panga la kukosa mechi nne kwenye Copa America baada ya kitendo cha utovu wa nidhamu alichofanya kwenye mechi. Licha ya kuwa nje ya uwanja lakini bado anaendelea kuwa supporter mkubwa wa timu yake kwa

22 June, 2015

Download New Music: Flavour - 'Power To Win'

Remember the Glo World Cup 2014 anthem – Power To Win – by Flavour, M.I, Irene Logan and Kwabena Kwabena? Well, the song gets a stand-alone “remix” by Flavour.
Click to Download New Music: Flavour - 'Power To Win'.

Ben Pol kuachilia album yake akiwa chini ya uongozi mpya wa Panamusiq

Pamoja na wasanii wa Tanzania kuonesha kusita kutoa album zao sokoni, Ben Pol amesema mwaka ujao atatoa yake akiwa chini ya uongozi mpya wa Panamusiq.Muimbaji huyo wa Sophia amesema kuanzia mwezi wa kwanza mipango hiyo inaweza kuanza rasmi.

Video: Ice Prince – 'Marry You'

Off the recently released “Trash Can“ EP, Mr. Zamani – Ice Prince drops the visuals for “Marry You Directed by Studio Space Pictures, this is yet another pretty decent effort from the Chocolate City Superstar. PLAY>>>>>>>>

Wasanii wawili wakubwa kujitoa Young Money.

DrakeRapa Lil Wayne amefunguka kuwa uongozi wa Birdman na kampuni yake ni mbovu na sasa wasanii wakubwa wawili wanataka kujitoa kwenye lebel hio.Wasanii hao ni

Kendrick Lamar awasifia Wasanii hawa kwa swagg kali kwenye video

lil-wayne
Sio jambo linalotokea kila siku kuona rapa Kendrick Lamar kusifia wasanii wenzake.
Kendrick Lamar amewasifia wasanii Lil B na Lil Wayne kwa kuwa washawishi bora wa jinsi wasanii wanavyotakiwa kufanya kwenye video, mavazi, muonekano, kucheza na swagg za video kali.

Avril katoa video yake mpya ya wimbo aliofanya na Rabbit ‘Ninaweza’.Itazame hapa

avrilKwa mara nyingine mawana dada Kutoka Kenya Avril katoa video yake mpya ya wimbo aliofanya na Rabbit, wimbo umepewa jina Ninaweza. Video imetayarishwa na Sync. Pata kuutazama hapa hapa MTOKA MBALI bonyeza PLAY kuitizama video hiyo>>>>

21 June, 2015

MAGAZETINI LEO JUNE 21

 Image result for sunday news
MWANANCHI
 Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) limekubaliana na ombi la klabu za Ligi Kuu la kusajili wachezaji saba wa kigeni badala ya watano wa sasa.Bodi ya Ligi iliwasilisha uamuzi wa klabu zote za Ligi Kuu wa kuiomba TFF ibadilishe kanuni ili ziweze kusajili wachezaji wengi zaidi wa kigeni kwa lengo la kuinua kiwango cha ligi hiyo.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...