Pakua wimbo mpya wa Kadjanito - Sina Maringo hapa.
27 June, 2015
T.I katuletea video hii
26 June, 2015
Na hii ni Video mpya ya Mr Flavour – Power To Win
The most expensive pair of Air Jordan 1
If you are into the sneaker game this new pair of Jordans might already
be on your list, if not well they should! The latest Air Jordan
1 are made with ultra premium materials and feature black patent
reptilian leather with 24K gold-plated details located on
25 June, 2015
Na hizi ni sababu alizozitaja Barnaba kutofanya muziki kimataifa kama wakina 2 Face, Sauti Sol nawengineo
Barnaba ni miongoni mwa wanamuziki wa Tanzania waliojaliwa vipaji vingi
kikiwemo cha uandishi wa nyimbo, ambacho kimewafaidisha hata wasanii
wengine akiwemo Vanessa Mdee ambaye ameanza kufanya vizuri kimataifa.Kwa uwezo alionao Barnaba, wengi walitarajia kuwa Epuka mawazo hasi kwa mwenzi wako, ni ugonjwa wa moyo
Taarifa kwako msomaji wangu ni kuwa kuna watu wengi wameachana kwa
sababu ya kuwa na mawazo hasi juu ya wenzi wao. Hakuna imani kati yao.
Iwe mmoja anamtuhumu mwenzake au wote ni kama Pwagu na Pwaguzi.Zipo hisia zinazowaongoza wanaume wengi kuhusu wanawake. Hawataki
wafanye kazi, ikibidi wakae tu nyumbani kwa hoja kuwa wanapokuwa
maofisini wataanzisha uhusiano mpya naBeyoncé naye kuonekana kwenye movie ya Avengers kama mmoja wa 'superhero'!
Kwanzia movie ya Avengers imetoka imewagusa wengi kutokana na kuwapeba ma staa wengi ambao wamekuwa wakisifika kwa kucheza movie zenye kusadikika 'Superhero, Superpower, super natural power'Production ya Marvel inaweza kumchukua mwanamuziki na24 June, 2015
Entertainment Baada ya kuwabwaga MTN Wiz Kid achukua dili kubwa zaidi.
Wiki chache baada ya kukataa mkataba wa kampui kubwa ya simu
Nigeria ‘MTN’ Star Boy Wiz Kid amethibitisha kuwa ameingia mkataba na
wapinzani wa kampuni hio ambao ni Globacom ‘Glo’. Wiz Kid ametangaza
rasmi kuwa
James Horner afariki ajalini
James Horner, mtunzi nguli wa eneo
maarufu kwa watu maarufu la Hollywood ambaye aliandika na kushinda
katika tuzo za Oscar juu ya filamu maarufu ulimwenguni ya
Titanic,amefariki dunia mjini California kutokana na ajali ya ndege
akiwa na umri wa miaka 61.
Video: Jose Chameleone – 'Bwerere'
These are the words of the Philosopher, David's son, who was king in Jerusalem,2 It is useless, useless, said the Philosopher. Life is useless, all
useless. 3 You spend your life working, laboring, and what do you have
to show for it? 4 Generations come and generations go, but the world
stays just the sameVideo: Chemical Ft Soprano Musiq - 'Sielewi'
Chemical is An Artist From Kazi Kwanza Records And SIELEWI is The First
Chemical HipHop Single Featuring Tz RnB sINGER Soprano Musiq.Sielewi
Produced By Maximizer From Kazi Kwanza Records And Writen By Chemical
and Soprano Musiq. Video Directed By Msafiri Shabani(KWETU STUDIO)23 June, 2015
Dylan Kerr kocha mpya wa Simba, anatokea Uingereza
Hatimaye kocha mpya atakayeanza kukinoa kikosi cha wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club, amefahamika.Kocha huyo ambaye ni raia wa Uingereza, anaitwa Dylan Kerr na tayari
ameingia makubaliano na uongozi wa Simba kuanza kazi hiyo kwenye msimu
ujao wa ligi kuu ya Tanzania baraNEYMAR AJUTA " I’m sure this was an important learning curve in my career." ALISEMA
Barcelona Star Neyamr ambae hivi karibuni amepigwa panga la kukosa mechi nne kwenye Copa America baada ya kitendo cha utovu wa nidhamu alichofanya kwenye mechi. Licha ya kuwa nje ya uwanja lakini bado anaendelea kuwa supporter mkubwa wa timu yake kwa
22 June, 2015
Download New Music: Flavour - 'Power To Win'
Remember the Glo World Cup 2014 anthem – Power To Win – by Flavour, M.I,
Irene Logan and Kwabena Kwabena? Well, the song gets a stand-alone
“remix” by Flavour.Click to Download New Music: Flavour - 'Power To Win'.
Ben Pol kuachilia album yake akiwa chini ya uongozi mpya wa Panamusiq
Pamoja na wasanii wa Tanzania kuonesha kusita kutoa album zao sokoni,
Ben Pol amesema mwaka ujao atatoa yake akiwa chini ya uongozi mpya wa
Panamusiq.Muimbaji huyo wa Sophia amesema kuanzia mwezi wa kwanza mipango hiyo inaweza kuanza rasmi.Video: Ice Prince – 'Marry You'
Off the recently released “Trash Can“ EP, Mr. Zamani – Ice Prince drops the visuals for “Marry You Directed by Studio Space Pictures, this is yet another pretty decent effort from the Chocolate City Superstar. PLAY>>>>>>>>Wasanii wawili wakubwa kujitoa Young Money.
Kendrick Lamar awasifia Wasanii hawa kwa swagg kali kwenye video
Sio jambo linalotokea kila siku kuona rapa Kendrick Lamar kusifia wasanii wenzake.
Kendrick Lamar amewasifia wasanii Lil B na Lil Wayne kwa kuwa washawishi bora wa jinsi wasanii wanavyotakiwa kufanya kwenye video, mavazi, muonekano, kucheza na swagg za video kali.
Avril katoa video yake mpya ya wimbo aliofanya na Rabbit ‘Ninaweza’.Itazame hapa
21 June, 2015
MAGAZETINI LEO JUNE 21
MWANANCHI
Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) limekubaliana na ombi la klabu za Ligi Kuu la kusajili wachezaji saba wa kigeni badala ya watano wa sasa.Bodi ya Ligi iliwasilisha uamuzi wa
klabu zote za Ligi Kuu wa kuiomba TFF ibadilishe kanuni ili ziweze
kusajili wachezaji wengi zaidi wa kigeni kwa lengo la kuinua kiwango cha
ligi hiyo.
Subscribe to:
Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
CLICK