30 July, 2016

Download Music: Nikki Wa Pili Ft. Chin Bees – Sweet Mangi

utoka weusi ni Nikki Wa Pili akiwa amempa shavu Chin Bees. Audio inakwenda kwa jina la Sweet Mangi, Audio ikiwa imetengenezewa Switch Record/Lufa.Kumbuka kuwashirikisha wana kitaa. 
 Bofya ku Download Music: Nikki Wa Pili Ft. Chin Bees – Sweet Mangi

Movie: Mel Gibsonin in “Hacksaw Ridge"-Official Trailer


Mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe duniani Mel Gibson anakuja na filamu mpya ya kijeshi iliyopewa jina “Hacksaw Ridge.”.
Hii ni filamu ya kwanza ya Mel Gibson kuongoza ndani ya miaka 10 na inategemewa kutoka November mwaka huu.

New music: DJ Khaled Feat. J. Cole – Jermaine’s Interlude

Special Cole alert! DJ Khaled secures the bag with J. Cole for the duo’s latest collaboration, “Jermaine’s Interlude,” a cut off Major Key. Enjoy it, and don't forget to share it with a friends.

29 July, 2016

Wauawa kwa kushindwa kulipa deni la biskuti India



Mtu mmoja na mkewe kutoka jamii ya Daliti inayobaguliwa tangu jadi nchini India wameuawa, mmoja akiwa amekatwa kichwa na mwengine kunyongwa kwa kushindwa kulipa deni la Rupee kumi na tano ambalo ni karibu senti ishirini na mbili tu.

Polisi kaskazini mwa taifa hilo wamethibitisha kisa hicho ambapo yasemekana mfanyi biashara anayetokea jamii ya hadhi ya juu,aliwaua wanandoa hao kwa kushindwa kulipa deni la biskuti walizokuwa wamewachukulia watoto wao.
Mfanyi biashara huyo amekamatwa.

Ubaguzi kwa misingi ya kijamii umeenea sana nchini India, huku watu wa jamii ya Daliti waliokuwa wamebadikwa jina la 'the untouchables' wakiwekwa kwenye daraja la chini kabisa kwenye sera hiyo ya kibaguzi nchini India iitwayo 'caste' ambapo wananyimwa fursa nyingi za kimaendeleo na hivyo kubaki katika lindi la umaskini .

Hata hivyo Visa vya ukatili wa kibaguzi dhidi ya jamii ya Dalit katika jimbo la Gujarat vimeongezeka mnamo siku za hivi karibuni na vimesababisha wimbi la maandamano kutoka watu wa jamii hiyo.

Video: Nikki Wa Pili Ft. Chin Bees – Sweet Mangi



Kutoka weusi ni Nikki Wa Pili akiwa amempa shavu Chin Bees. Video inakwenda kwa jina la Sweet Mangi, Audio ikiwa imetengenezewa Switch Record/Lufa na Video ikiwa imesimamiwa na Justin Campos. Kumbuka kuwashirikisha wana kitaa.

Ni nini Hatma ya Schweinsteiger Man United?


Hatma ya mshindi wa kombe la dunia Bastian Schweinsteiger katika klabu ya Manchester United haijulikani kufuatia kuajiriwa kwa kocha Jose Mourinho .

Mourinho tayari amefanya usajili wa wachezaji watatu na sasa anamuandama kiungo wa kati wa Juventus Paul Pogba.
Schweinsteiger mwenye umri wa miaka 31,anaonekana kuwa mmoja wa wachezaji tisa ambao huenda wakaihama klabu hiyo.
Kiungo huyo wa kati ambaye ametangaza kustaafu katika soka ya kimataifa alifanya mazoezi pekee wakati ambapo wenzake walifanya zoezi pamoja kwa mara ya kwanza.
Washambuliaji Adnan Januzaj,Will Keane na James Wilson ,kiungo wa kati Andreas Pereira na mabeki Cameron Borthwic-Jackson,Tim Fosu Mensah,Tyler Blackett na Paddy McNair pia wameripotiwa kuondoka ijapokuwa wengine wataondoka kwa mkopo.
Kati ya wachezaji hawa hakuna hata mmoja aliyechaguliwa katika kikosi cha wachezaji 23 kwa mechi ya kirafiki siku ya Jumamosi dhidi ya Galatasaray mjini Gothenburg.

27 July, 2016

Video: Waje – Mountain

Our Naija sweetheart, Waje tore the stage up with a song from her unreleased album. The record is titled “MOUNTAIN” and produced by Sizzlepro.

Roger Federer ametangaza Kutoshiriki michuano ya Olympiki mwaka huu.


 
Tangazo lake hili linakuja kufuatia maumivu ya goti aliyoyapata na kufanyiwa upasuaji mwezi februari hali iliyomsababisha kuzikosa French Open zilizofanyika mwezi Mei.

Mapumziko haya ya Federer yatamfanya kuikosa michezo yote ya msimu wa mwaka huu. Amesema anahitaji kujijenga upya iwapo anataka kuendelea na mchezo wake wa Tenisi.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook amesema anasikitika kwa kutoiwakilisha nchi yake ya Uswisi huko Brazil katika Olympiki na anajisikia vibaya kupoteza muda wa msimu uliosalia.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...