09 July, 2016

Mlinda lango wa Arsenal Petr Cech ametangaza kuwa amestaafu katika soka la kimataifa.


Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 ndiye mchezaji aliyelichezea sana taifa lake kupitia mechi 121 alizoshirikia tangu aanze mwaka 2002.

Alikuwa miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha Czech ambacho kilifika nusu fainali ya Euro2004 kabla ya kushindwa na mabingwa Ugiriki.
''Nilipokuwa mtoto,ndoto yangu ilikuwa kuchezea timu ya taifa hata japo mara moja,aliuambia mtandao wa Arsenal.''Baada ya kushiriki mara nyingi naona fahari'',alisema Cech.

Music: Jay Z – Spiritual


In the wake of this week’s police shootings of Alton Sterling and Philando Castile, Jay Z breaks his silence with a song called “spiritual.” After BeyoncĂ© penned an open letter and took a moment of silence for the victims of police brutality, Mr. Carter lets the music speak.jayEnjoy

Timazama collection mpya ya nguo za Martini Kadinda.

Wengi tunamfahamu martin Kadinda kwa ubunifu wa mavazi hapa nchini hasa kwa zile suti mahiri za single Button ambazo ndizo zilizomfanya kujulikana zaidi katika ulimwengu wa mitindo. Mnaomo June 7 alizindua Collection mpya ya nguo zake huko nchini Africa ya Kusini katika uwanja kimataifa wa mpira Cape Town.

Collection hiyo kaipatia jina la MWANANA, ambapo amezsipatia jina hilo baada ya kusherekea upepo mwanana unaopatikana katika fukwe za Bahari ya Hindi ambapo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii hapa nchini. Kadinda2Kadinda3Kadinda5

08 July, 2016

New Video: Chris Brown – Leave Broke

Baada ya kukumbwa na kesi kadhaa hivi karibuni ikiwemo ya kushtakiwa na aliyekuwa meneja wake, Mike G pamoja na kufanya uharibifu wa nyumba huko Ibiza, Chris Brow ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Leave Broke’.

New Video: Yemi Alade ft Sauti Sol – Africa

Kutoka Nigeria mpaka Kenya ni Yemi Alade akiwa na wakali wa muziki huko Kenya Sauti Sol wametuletea Video yao mpya inayokwenda kwa jina la Africa. Tangu  Coke-studio watu hawa wamekua wakiwapa mashabiki wao burudani ya kutosha na safari hii wanazidi kutoa burudani ya kiwango kile kile. Enjoy.

New Movie: Secret life of pets


click for larger (if applicable)

Set in a Manhattan apartment building, after the two-legged residents head for work and school, their pets gather to start their day, which consists of hanging out, trading humiliating stories about their owners, and helping each other work up adorable looks that will lead to more snacks. 

The head hound is a quick-witted terrier rescue (voiced by Louis C.K.), whose position at the epicenter of his master’s universe is suddenly threatened when she comes home with Duke (voiced by Eric Stonestreet), a sloppy mongrel with no polish. The two soon find themselves on the mean streets of New York, where they meet the adorable white bunny Snowball (voiced by Kevin Hart). 

It turns out that Snowball is the leader of an army of pets that were abandoned and are determined to get back at humanity and every owner-loving pet. The dogs must thwart this plot and make it back in time for dinner.

Watch the Trailar
Enjoy Ur day.....

Faida 9 za kula mboga za Spinach kwa mama mjamzito

Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu mwilini na madini mbali mbali ambayo huhitajika na Mwili. Mboga za Spinach ni moja kati ya mboga maarufu mno katika jamii zetu na hizi ndizo faida zake kwa wanawake wajawazoto:-
 1. Huzuia mtoto kuzaliwa na matatizo kama mgongo wazi na mdomo na pua kuwa na uwazi uliongana( mdomo sungura)
2. Hupunguza uwezekano wa mtoto kuzajiwa njiti yaani kuzaliwa kabla hajafikisha mienzi 8 tumboni kwa mama. kutokana na kutokuwa na madini ya chuma ya kutosha mama anaweza pata tatizo ili ila kwa sababu spinach ina madini ya chuma ya kutosha yaani folic basi huweza kuzuia shida hii.
3. Huzuia kupata tatizo la upungufu wa damu  hii ni kutokana na spinach kuwa na madini ya folic na chuma yanayoongeza damu mwilini.
4. Husaidia katika utengenazi wa mapafu ya mtoto. inakemikali inayoitwa beta-carotene ambayo hubadilishwa kuwa vitamini A hii ndiyo hutumika kwa ajili ya uundaji wa mapafu ya mtoto.
5. Hutibu tatizo la haja kubwa kuwa ngumu kwa kuwa spinach ina nyuzi nyuzi kiitaamu huitwa fiber ambazo hulainisha choo na kupunguza maumivu.
6. hupunguza maumivu kwa kutumia chemicali yake inayoitwa glyco-lipid ambayo huzuia maumivu katika sehemu za miguu na misuli.
7.  Huwastanisha msukumo wa damu mwilini kwa kutumia kemikali yake inayoitwa nitrate.
8. Huweka kinga ya mwili wa mama mjamzito imara kwa spinach ina vitamin C  hivyo hutapata yale maradhi ya lazima kwa mama mjamzito.
9. Huwezesha utengenezaji  bora kwa mifupa ya mtoto kwa sababu spinach ina madini ya kalishamu ambayo hujenga mifupa ya mama na mtoto.

Uingereza itakuwa na Waziri Mkuu mwanamke

May
Uingereza itakuwa na Waziri Mkuu mwanamke, ambaye atachukua majukumu kufikia mwezi Oktoba.

Hii ni baada ya wabunge wa chama tawala cha Conservative kuwateua wagombea wawili waliokuwa wanaongoza kukabiliana kuamua nani atakuwa kiongozi mpya.

Waziri wa mambo ya ndani Theresa May, ndiye anayepigiwa upatu sana kumrithi David Cameron kama kiongozi wa chama na waziri mkuu.
Waziri wa kawi Andrea Leadsom, ndiye mwanamke huyo mwingine.
Waziri wa Haki Michael Gove, aliyekuwa mmoja wa waliopigia debe Uingereza kujitoa Muungano wa Ulaya, alimaliza wa tatu kwenye kura ya akaondolewa.Gove
Matokeo kamili yanatarajiwa mwezi Septemba.
Kinyang’anyiro cha sasa cha kuchagua kiongozi mpya kilianza baada ya Bw Cameron kuamua kung’atuka.
Hii ni baada ya upande wake, uliotaka Uingereza isalie EU, kushindwa kwenye kura ya maoni mwezi uliopita.

Video: Izzo Bizness & Abela Music – Dangerous Boy

Izzo Bizness anzidi Kufanya Vyema katika game la Bongo flava, kwani kila siku anazidi kuimarika na kutoa Video kali na muziki mzuri pia. Kwa sasa kaachilia video ya wimbo wa Dangerous Boy alomshirikisha Abela Music.

Video imetayarishwa na Nick Dizzo wa Focus Films,Tanzania na audio katayarisha Dupy wa Uprise Music Dar es Salaam, Tanzania.

France yailaza Germany 2-0 nakutinga Fainali EURO 2016

Nusu fainali ya pili michuano ya EURO imemalizika leo pale walipokutana miamba miwili ya soka barani Ulaya yaani Mabingwa wa kombe la Dunia Germany dhidi ya wenyeji wa michuano ya Euro Ufaransa, huku mchezo huo kumalika kwa France Kupata magoli mawili na Gremany bila(Germany 0-2 France). Magoli ya Ufaransa yalitupiwa kambani na Mchezaji Antoine Griezman mnamo dakika ya 45 kwa penalt na dakika 72. 
Antoine Griezmann scored both goals as France beat Germany to reach the Euro 2016 final in Marseille on Thursday evening  Kwa matokeo hayo yanaifanya team ya Ufaransa kutinga fainali ya michuano hiyo ambapo watakutana na Ureno ambao nao walikata ticket hiyo baada ya Kuibamiza Wales bao Mbili kwa nunge.Griezmann celebrates after scoring from 12 yards in first-half stoppage time to send the host nation into the interval ahead Tizama picha za matukio ya mchezo huo. Schweinsteiger was booked by referee Nicola Rizzoli and Griezmann stepped up against Manuel Neuer from 12 yardsBastian akionyweshwa kadi ya manjano baada ya kufanya madhambi.Neuer struck his left-footed effort beyond the Bayern Munich goalkeeper to put France in front Neuer guessed the wrong way and Griezmann continued his hot streak in front of goal at the European ChampionshipFrance goalkeeper Hugo Lloris enjoys Griezmann's goal just before the break during a pulsating encounterFrance supporters celebrate wildly in the stands as DImitri Payet, Evra, Griezmann and Blaise Matuidi revel in their opening goalThe Atletico Madrid forward added a second for the hosts with 18 minutes left of the game, stabbing home from close rangeGermany's players look crestfallen as the French celebrate behind them in front of flying Tricolours as the host nation progressedFrance fans created an immense noise inside Stade Velodrome prior to kick-off as they looked for a rare tournament win over GermanyFrance coach Didier Deschamps and the rest of Les Bleus' backroom staff sing Le Marseillaise prior the game in MarseilleGriezmann leaps to head the ball as the host nation made a bright start to proceedings on the south coast of FranceMatuidi, starting in a holding midfield role alongside Paul Pogba, beats Tony Kroos to an aerial challengeMatuidi battles for possession with Emre Can, who was drafted in for his first start at Euro 2016 by Germany coach Joachim Low

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...