30 June, 2015

Rapa Iggy Azalea amemchana Britney Spears baada ya collabo yao kufeli vibaya

bb 2
Rapa Iggy Azalea amemchana msanii mwenzake Britney Spears baada ya collabo yao kufeli vibaya na hata video kutofanya vizuri.  Akiongea kwenye inteview kuhusu colabo yao Iggy amesema “Wimbo wao wa “Pretty Girls” uliotangazwa vyema na
kufanyiwa video bora umeshindwa kufanya vizuri kutokana na anachosema Iggy kuwa ni uvivu wa Britney Spears“.
Iggy amesema “Ni ngumu kupandisha wimbo kwenye chati bila show za promo na show za tv, mimi nimeshirikishwa tu ila Britney ni mvivu kazi yake kukakaa tu
Britney naye alijibu mashambulizi kwa kusema
bb
Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...