01 July, 2015

Liverpool imekamilisha usajili kwa kumleta Kikosini huyu mchezaji wa sita..

Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino kuungana na Kikosi hicho wiki iliyopita. Liverpool wamemsaini Nathaniel Clyne kutoka Southampton kwa ada ya
uhamisho ya Pound Milioni 12.5, mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka 5.
Nina furaha kutimiza ndoto yangu ya kuja hapa Anfield kuitumikia klabu kubwa kama hii,” Clyne amenukuliwa na mtandao wa Liverpool.
Baada ya Liverpool kuonesha kunihitaji, nilifurahia na nikapenda uhamisho huo ukamilike haraka.“>>> Clyne.
 
Clyne ni staa wa soka ambaye alikuwa amebakiza mwaka mmoja tu kwenye Mkataba wake kuendelea kuichezea Klabu ya Southampton, sasa anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na Liverpool.


Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...