Showing posts with label LOVE ZONE. Show all posts
Showing posts with label LOVE ZONE. Show all posts

09 December, 2015

Hata kama anakupenda sana hawezi kukwambia ukweli kuhusu haya mambo

post-feature-imageZile habari za nakupenda, nakupenda pia kila mtu anajua siku hizi na  ni kawaida kwa miaka ya sasa, kuitana baby, hubby,sweet,mpenzi, mahabuba na majina mengine mengi sio lazima niyataje yote, ila unajua huyo mahabuba wako hata kama anakupenda vipi kuna vitu hawezi kukwambia ukweli, kuna vitu katika mahusiano watu huwa wanafichana na hata kama mnaambiana basi mnadanganyana.

Mahusiano yako ya nyuma
Ni vigumu sana wapenzi kuelezana historia zao za mapenzi hasa inapokuja swala la umetembea na wangapi?  Hapa kama uliambiwa umedanganywa tafiti zinaonyesha wanaume ndo wanajua kudanganya kwenye swala hili kuliko wanawake japokuwa kwa asilimia kubwa wapenzi huwa hawaambiani ukweli kuhusu watu wangapi wameshakuwa na mahusiano nao ya kimapenzi. Kwahiyo ni bora usiulize usijisumbue.

Kipato   
Hapa inakuwa shida kidogo kwani hela haina mapenzi, haina undugu na ni mara chache ukute wapenzi wanajua mishahara au kipato cha mwenza wake, wapenzi wengi huwa wanafichana na wengine hata wanadanganya kuhusu madeni waliyonayo ni kawaida sana kwa mapenzi ya sasa hasa hali ya kipato ilivyo ngumu.

Kufurahia Tendo
Wapenzi wengi hawaambiani kweli hasa wanapo kutana kimwili, kama walifurahia au walichukia, wanawake wanasifika kwa kudanganya wameridhika, ila pia wanaume huwa hawasemi kama msichana hayuko vizuri kwenye game, na ndo maana watu baada ya kuachana ndo utasikia wanachafuana oooh wewe ulikuwa kama gogo na mara ooh wewe ulikuwa kama toothpick  mambo kama hayo.

Muonekano
Kuna wakati mtu anapoteza mvuto wake wa asili lakini inakuwa vigumu kwa wapenzi kuambiana ukweli labda mtu amenenepa sana, au amekuwa na kitambi sana na hana mvuto lakini sababu ya mapenzi au uoga inakuwa vigumu wapenzi hawa kuambiana ukweli

Matumizi ya Kilevi
Kwenye matumizi ya pombe baadhi huwa wanakuwa wawazi, lakini wapo wanaoficha matumizi mengine ya kilevi kama kuvuta sigara na matumizi ya miraa au mirungi,

Hisia zake kwa mpenzi wa zamani (EX)
Wapo watu wanaingia kwenye mahusiano wakiwa bado wana hisia za mapenzi  na wapenzi wao wa zamani lakini sio rahisi kusema hayo kwa wapenzi wao,na hata wakiulizwa huwa wanadanganya. Na sio  raisi kuleta habari za mapenzi ya nyuma kwa mpenzi mpya. Ni vigumu kukwambia  anavyojisikia jua ya mpenzi wake wa zamani.

15 October, 2015

Ulishawahi kujiuliza kuna maneno gani mengine ya kumwambia mpenzi wako tofauti na ‘I love you’ ?


‘Nakupenda’ ni  neno tamu ambalo unaweza mwambia  hivyo  mpenzi wako mara kwa mara lakini si neno pekee ambalo watu wengi wanapenda kusikia mara kwa mara. Yapo mambo mengi ya kumwambia mpenzi wako apate amani, hii inajenga upendo na  Heshima kati yenu.
  1. Mwambie Anaweza:
Kuna wakati tunapitia mambo magumu sana katika maisha na watu wanakata tamaa ya maisha wanakosa uthubutu wa kujaribu tena na tena, kama amefeli mtihani,amepata ajari ya gari, amepata hasara ya kibiashara mwambie “baby you can” mwambie anaweza kuendelea na maisha yataendeleea mtie moyo hii itamfanya ajiamini na kuona thamani yake kwako.

  1. Unanivutia
Mwambie ni kiasi gani anakuvutia, mwambie alivyo mrembo/mtanashati  mueleze ni kiasi gani unakuwa  na furaha akiwa karibu nawe, hii itamsaidia mpenzi wako kujiamini.  Msifie mpenzi wako  kwa suti au tai yake mpya , msifie msichana  kwa kiatu chake na gauni lake zuri kabla hajatoka nyumbani sababu anaweza akasifiwa na wengine, kwahiyo kuwa wa kwanza kumpa sifa hizo atajisikia wa fahari.

  1. Unajivunia kuwa Nae
Mambo yanaweza yasiwe vile mnavyotaka wakati wote, kuwa karibu na mwenza wako  na umuelezee ni kwa kiasi gani unajivunia kuwa nae, nafasi yake katika maisha yako na umuhimu wake ni faraja kwako, mueleze na umuonyeshe pia matendo yanaongea zaidi ya maneno.  Mwambie “am proud of you”

  1. Omba Kutoka Nae.
“Let’s go out”  hapa wasichana wengi huwa wanasubiri watoke na wapenzi wao mpaka waambiwe au mpaka mpenzi wake apange kutoka nae, chukua nafasi ya kumtoa  mpenzi wako mara moja moja na ugharamie huduma zote za siku hiyo, kama ni safari ufukweni, hotelini au migahawa mjini. Kama msichana kuwa tofauti na wale wasichana wanaosubiri kila siku ofa za mpenzi, kuwa tofauti usisubiri mpenzi wako akutoe, mtoe wewe siku moja.

  1. Msamaha
Uwe mwepesi wa kusema neno samahani kila mara, kuna kukoseana mara kwa mara kuwa wa kwanza kuomba msahama hii itapunguza hasira za mapenzi wako na malumbano pia hayatapata nafasi, hii itasaidia kuhimarisha mahusiano ya muda mrefu.

24 August, 2015

Je unataka ndoa yako iwe na mvuto?


Je ungependa kuwa na ndoa thabiti ?
Jifunze kugawanya majukumu na mumeo ama mkeo hapo nyumbani.
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kuwa kugawanya majukumu ya kuwalea watoto kati ya mume na mke kunaimarisha joto la mapenzi nyumbani.
Utafiti huo uliofanyika miongoni mwa familia 487 nchini Marekani umebaini kuwa kugawanya majukumu ya kuwalea watoto na mahitaji mengine hapo nyumbani kati ya mume na mke kunasaidia kuimarisha uhusiano baina yao na hivyo pia kupalilia cheche za mahaba kati ya wanandoa.
Katika nyumba ambamo baba na mama wanasaidiana kuwalea watoto kuwalisha kuwavisha kugharamia mahitaji yao utafiti uligundua walikuwa wakishiriki tendo la ndoa kwa kiwango kikubwa zaidi ya wale ambao majukumu yote yaliwachiwa mwanamke.
Hata hivyo waligundua kuwa iwapo majukumu yote aliyatekeleza mume tofauti ilikuwa ndogo sana.
Utafiti huo wenye jina '' 2006 Marital and Relationship Study'', ulitolewa kwa kongamano la wanasaikolojia nchini Marekani na kuonesha kuwa katika ndoa ambazo mwanamke alitelekezewa majukumu na akasalia kuwajibikia asilimia 60% ya majukumu ya kuwalea watoto, wanawake hao hawakuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yao binafsi katika ndoa.
Hii ni kumaanisha kuwa iwapo mama mzazi ndiye anayewalinda wavisha walisha na kutunga sheria za hapo nyumbani mara nyingi ifikapo wakati wa kuwa mwanamke huwa hawezi kujituma kumridhisha mumewe katika hali ya maisha ya unyumba.
Dr Daniel Carlson, naibu profesa katika chuo kikuu cha Georgia State , anasema;
"jambo ambalo tulishangaa hata nasi ni pale tulipogundua kuwa wanawake walishindwa kutekeleza majukumu ya unyumba wakiwachiwa asilimia kubwa ya majukumu ya malezi ya watoto''
Sasa wasomi hao wameanza kuweka mikakati ya kuendelea na sehemu ya pili ya utafiti wao ilikujibu swali kwanini ndoa zenye wachumba waliogawanya majukumu yana mshiko zaidi haswa ikija katika swala la unyumba na hususan tendo la ndoa ?Profesa Sir Cary Cooper, wa kitivo cha Biashara cha chuo kikuu cha Manchester anasema kuwa uchunguzi huu unatilia pondo dhana iliyokuwepo tangu miaka ya nyuma kuwa mwanaume mwenye kujali watoto wake anatunukiwa penzi la ziada na mwanamke.

26 July, 2015

Forgetting Your Past Love and Move On

Forgetting Your Past Love and Move OnFRANCIS MAWERE
Many of us fall in love and maybe this person who we love and are trying to show our love for all people do not deserve what we are doing and do not even care so am gona share few simple steps that will help each one of you to forget this love and move on to find who deserve your love….


Step1
Do not feel that you are alone there is a lot of people that really love you and care about you.
Step2
Of course you will remember him after all you can not control your heart but take sometime alone and think of what you are really love about yourself remember those time which you have standup for yourself on them and start to have the positive energy from this kind of situation.
Step3
Do not give-up do not be the week girl the feeling of love is so strong and so great but you do not know what this man have in his mind ,well maybe you have a pure soul but he is not you can tell if he is playing or he love you from the look in his eyes .
Step4
Be the strong girl be the first girl who say no no no am not a toy in your hand am a woman with a great mind so why every time you see me you see the eye liner in my eyes and do not see my mind?
Step5
Take a moment relax and see who you really are and do not underestimate your self in any circumstances the who really love you he will love you as you are without changing anything.

21 July, 2015

How To Become A Woman That Every Man Desires (Regardless Of Your Appearance)

How To Become A Woman That Every Man Desires
Whether you are single and serially first-dating, or you are struggling with a distant boyfriend who you want to open up to you, or you want to get that ex boyfriend back – Alex Carter has got a technique for you!
Alex Carter is a well-known relationship expert and dating coach. He has dedicated his life to the art of helping women get their dream man by studying the art of attraction and developing a system to help women in every situation get the man they want. He has compiled all of his research and knowledge into an easy to read e-book: ‘Make Him Desire You’.
If you are interested in learning some unconventional ways to get a guy attracted to you. If you have relationship problems and want to fix them, or if you simply want to understand men in general better, then this book is for you.
Make the man of your dreams desire you
* P.S At the very end of this presentation, you will also discover a man’s most intense and secret desire, that he never shares with any woman.

17 July, 2015

busu ni ishara ya kuonyesha mahaba?


Utafiti mpya umegundua kwamba busu la mdomo kwa mdomo sio ishara kamili ya kuonyesha mapenzi, kinyume na dhana ya watu wengi
Aidha wanyama wa porini pia wameonekana kutojali mtindo huo.
Swali ni je busu kama ishara ya mahaba limeenea vipi kutoka kizazi kimoja hadi chengine?null
Ukitizama tendo hilo la busu la mdomo kwa mdomo kwa kina, si la kufurahisha sana, kuna kubadilishana mate, ambayo kwa wastani, yana bakteria zaidi ya milioni 80, na si wote wazuri
Lakini kwa hakika kila mtu anayeshiriki tendo hilo hukumbuka busu lake la kwanza kwa undani hata kama lilipendeza ama lilikuwa la kuaibisha, na kwa hivyo ni tendo ambalo linaendelea kuwa msingi wa kuashiria mahaba.
Katika jamii ambazo bado zimejikita katika mila na desturi, hakuna ushahidi wa chanzo cha busu kama ishara ya mahaba.
Kwa mfano katika jamii ya Mehinaku nchini brazil, wnachukulia kubusu kama kitendo cha uasinull
Kulingana na mwandishi William Jankowiak kutoka chuo kikuu cha Nevada, Las Vegas Marekani, utafiti unatofautiana na imani kwamba kubusu kunaonyesha mahaba kama dhana ya watu wengi duniani, na anasema ni ubunifu wa jamii ya wazungu unaopitishwa kutoka kwa kizazi kimoja hadi chengine.
Ushahidi wa kwamza kabisa wa mila ya kubusu ulinukuliwa kwa mara ya kwanza katika maandiko ya kihindi Vedic Sanskrit miaka 3,500 iliyopita na ilikuwa ishara ya kurithi nafsi ya mtu mwinginenull
Ushahidi wa zamani wa kubusu unatokana Hindu Vedic Sanskrit maandiko ya zaidi ya miaka 3,500 iliyopita.
Wanyama wa pori pia hutumia busu kwa ishara zingine. Sokwe hushiriki tendo hili kama ishara ya kupatikana kwa amani baada ya mvurugano

07 July, 2015

Sababu sita usizotaka kuzijua kwanini bado upo single….

Sio kila mtu anataka kua katika mahusiano kitu ambacho ni sawa kwa asilimia 100.Lakini kuna watu ambao kila saa wanalalamika kwa kua wapo single japokua hawajahi kujaribu kutatua naweza kusema tatizo hili. Kuna watu inawezekana ni kweli hawajakutana na watu sahihi wa kuwa nao lakini kunawengine huamua kuwa wa kweli kueleza ni sababu gani wapo single.
1 . Unajibana mwenyewe na vigezo na viwango fulani
Utasikia jamaa anasema mimi nataka demu mwenye umbo zuri kama Kim Kardashian , sasa jiulize hawa watu wako wangapi na hata kama wapo wengi hua wana wanaume kibao wanawafukuzia. Au kwa upande wa wadada utasikia nataka mtu mwenye gari , awe na nyumba , awe msomi , analipwa mshahara wa kutosha kunitoa kila weekend. Watu wanaweza kukushangaza   lakini hawawezi kama utawageuzia migongo na kutowapa nafasi. Haya ni mahesabu tu, kama ukiweka vigezo na viwango kibao vya jinsi unavyotaka  mpenzi wako aweje utabakia na watu 10 tu duniani wanaoweza kua hivyo na wewe utakua ni mpumbavu sababu umejitengenezea mtu wa kusadikika na unastahili kuwa single.kubali kwamba hauelewi chochote kinachoendelea baina yako na mtu fulani na vingine vitakuja kawaida tu. Zingatia kukutana na watu halisi , jifunze na upate kuwajua , na upime kama unaendana nao kama watu halisi na sio watu wa kufikirika ambao hata kama wapo inawezekana wasikutake wala kukupenda. Inauma lakini ndio ukweli halisi.
Relationship-Wamegombana-hawa
2. Kama unataka bora  inabidi na wewe uwe bora
Watu wanajipenda ambacho ni kitu cha kawaida kabisa na wanafikiria kwamba wanaitaji mtu bora katika maisha yao lakini jiulize ili upate mtu aliye bora haufikiri kwamba inabidi uweze kukidhi ubora wa mtu huyu unayemtaka ? Unaposema nataka mtu mrefu , anayelipwa mshahara wa mamilioni,anayependa watu, mwenye nyumba nzuri na gari zuri , anayeweza kulea watoto , je ni kitu gani ambacho na wewe utakiongeza kwenye uhusiano wako na mtu huyu? Uhusiano sio “One-way Street” kawa watasha wanavyosemaga.Si maanishi kwamba inabidi uwe bora kabisa , hapana sema ni muhimu kujitathmini mwenyewe na kuangalia ni kitu gani unaweza kuchangia kama ukimpata mtu fulani. Wakati upo single una muda mwingi wa kujifunza kuhusu wewe , sio lazima uwe bora lakini unaweza kufanya vitu vidogovidogo  kama kua msikilizaji mzuri wa maongezi , kujifunza mambo unayopenda kufanya na kadhalika.
Relationship-wapenzi-wanachuniana-kitandani
3. Unajipenda Sana
Ushawahi kuona watu wanaojiona kama Dhahabu , watu kama hawa hata siku moja hawawezi kukubali kama wamekosea sehemu au wamefanya kitu kibaya kwasababu wanajipenda sana na kujiona kwamba wao ndio bora kuliko wengine. Kuna mda inabidi uamke usingizini na ujitambue kwamba wewe sio bora na kwamba inabidi utoe ili upokee.  kwa mfano kama wewe demu unajijali sana na unategemea mwanaume akufukuzie , akutafute kila saa , aonyeshe dalili zote kwamba anakupenda wakati wewe unamwangalia tu labda utakua hauko tayari kupenda na kujali kama watu wafanyavyo kwenye mwanzo wa mahusiano.Sio kila saa ni kuhusu unachotaka kwani ni wakati muafaka wa kuanza kujali na kusikiliza upande wa pili unataka nini.Watu hua wanajua kama mtu anajisikia , kama mtu anategemea kuabudiwa na ni kitu ambacho hakivutii kabisa.
Relationship-woman-at-bar
4. Unajifungia ndani
Kuna watu wanajifungia ndani alafu wanapigia watu makelele kwamba wapo single,sijui wanataka story kama ya cinderella. Kwa watu hawa inabidi waamke. Kama unataka kuwa na mtu usitegemee atadondoka tu kutoka popote.Yes, unaweza hotea lakini ukweli ni kwamba upo katika hatihati ya kuishi peke yako maisha yako yote.Najua kutoka na kujichanganya ni vigumu hasa kwa wale watu ambao hawapo “Comfortable”  jinsi walivyo.Kutoswa inaogopesha na inauma.Lakini unajua kitu gani hakiumi? ni kujua kwamba umejaribu na umeweka juhudi zako zote . Kuamini kitu unachotaka ni muhimu na  kukitafuta pia.Toka nje, kutana na watu , sio tu bar bali hata kwenye vitu mbalimbali  kama movies hivi au swimming kutokana na “hobby” yako. Kama vyote umeshindwa na bado unataka kujifungia ndani basi fanya hata “online dating” , siku hizi kuna app ya simu inaitwa tinder ina watoto kibao wazuri wa kibongo.
Relationship-Amelala
5. Haujielewi unataka nini
Hii ni muhimu sana , kama upo tayari kuwa serious katika mahusiano basi uwe tayari kuwa serious. Kama ukikutana na mtu akaanza kusema maneno kaka ” Sitafuti kitu serious kwa muda huu” au “Sijielewi bado ninataka nini”  basi usijidanganye na kusema ” Sawa tu , ngoja tuone mambo yataendaje” kwani utaishia pabaya na mwisho wake kutofanikisha malengo yako.
Relationship-wapenzi-wanagombana-beach
6. Sio mvumilivu na unakata tamaa kirahisi
labda ushajiweka mara kibao kwa wadau au umekuwa na dates mbaya nyingi au haujajibiwa message zako. Kwa sababu fulani fulani watu wengine hnyoosha mikono juu na kusema “Yamenishinda, hamna haja” , lakini ukweli ni kwamba sio kila mtu utakayekutana naye inabidi awe bora tena ni jambo la kheri umefikiria hivyo. kwahiyo fanya kila majaribio kama sehemu ya kupata ujuzi zaidi.Relationship-Giving-Up

25 June, 2015

Epuka mawazo hasi kwa mwenzi wako, ni ugonjwa wa moyo

Taarifa kwako msomaji wangu ni kuwa kuna watu wengi wameachana kwa sababu ya kuwa na mawazo hasi juu ya wenzi wao. Hakuna imani kati yao. Iwe mmoja anamtuhumu mwenzake au wote ni kama Pwagu na Pwaguzi.Zipo hisia zinazowaongoza wanaume wengi kuhusu wanawake. Hawataki wafanye kazi, ikibidi wakae tu nyumbani kwa hoja kuwa wanapokuwa maofisini wataanzisha uhusiano mpya na

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...