11 April, 2015

Real Madrid wamecheza leo Elbar


Ligi kuu ya Hispania imeendelea tena jioni ya leo – huku Real Madrid na Elbar wakifungua pazia la mechi za leo.
Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo  ameziteka tena ‘headlines’ za vyombo vya habari baada ya leo kuiongoza timu yake kupata ushindi wa magoli 3-0.

Klabu ya soka ya Manchester United haitotakiwa kuibeza Manchester City .......

article-3032526-277407F000000578-51_636x455
Klabu ya soka ya Manchester United haitotakiwa kuibeza Manchester City kutokana na matokeo ya siku za mwisho kwao kutokuwa mazuri, na hili alisema Van Gaal.
Kikosi cha mashetani hao wekundu maarufu kwa jina la Red Devils wapo katika maandalizi ya Jumapili kuikabili City kufuatia ushindi mzuri mzuri walioupata siku ya jumamosi dhidi ya Aston Villa wa goli 3-1.

Coastal ilijiweka katika mazingira magumu ya kuboromoka

coastal-unionCoastal ilijiweka katika mazingira magumu ya kuboromoka daraja baada ya kuruhusu kufungwa idadi kubwa ya mabao 8-0 dhidi ya Yanga Jumatano.’
BAADA ya kupigwa 8-0 dhidi ya Yanga SC Jumatano, Coastal Union FC imezindukia Chamazi, Mbande jijini hapa ikikichapa kikosi cha JKT Ruvu Stars mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Bara iliyochezwa jioni hii Uwanja wa Azam.

MATOKEO LIGI KUU ENGLANDA LEO APRIL 11

27753F3B00000578-0-image-a-40_1428764101151
FT
Swansea City
Everton
FT
Southampton
Hull City
FT
Sunderland
Crystal Palace
FT
Tottenham Hotspur
Aston Villa
FT
West Bromwich Albion
Leicester City
FT
West Ham United
Stoke City


Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

Mourinho:Kinyang'anyiro cha EPL kiko wazi

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho
Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa kinyang'anyiro cha kuwania ubingwa wa ligi ya EPL bado kiko wazi licha ya timu yake kuwa mbele na pointi saba mbali na mechi moja ambayo haijacheza.
Mourinho anaamini kuwa timu yoyote ambayo iko nyuma na pointi saba ama nane bado ipo katika kinyang'anyiro na kwamba hashangazwi na kushuka kwa Manchester City katika kupigania taji hilo.
Chelsea itamenyana na QPR ugenini jumapili katika debi ya Magharibi mwa London.

BBC>>>>Kiongozi wa Muslim Brotherhood kunyongwa


Mahakama moja nchini Misri imethibitisha hukumu ya kifo ya kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie na watu wengine 13 kwa kupanga mashambulizi dhidi ya serikali.
Pia mahakama hiyo imemfunga maisha raia mmoja mwenye uraia wa Marekani na Misri na watu wengine 36.
Badie alipewa hukumu hiyo mnamo mwezi Machi na pia anakabiliwa na mashtaka mengine.
Hatahivyo anaweza kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
Mamia ya watu wamehukumiwa kifo katika msako dhidi ya wanachama wa kundi hilo kufuatia kuondolewa kwa rais Mohammed Morsi mwaka 2013.
Hatahivyo ,kufikia sasa ni mtu mmoja pekee aliyenyongwa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitangazwa moja kwa moja na runinga za taifa hilo.
Hukumu hizo ni za mwisho katika kesi ambayo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood walishtakiwa kwa kuwachochea wanachama wa kundi hilo kuanzisha ghasia dhidi ya serikali kufuatia maandamano ya mwaka 2013.

Matukio 10 makuu baada ya mauaji Garissa


Familia za wanafunzi 142 kati ya watu 148 waliouawa katika shambulizi la kundi la wapiganaji wa Kiislamu Al Shabaab katika chuo kikuu cha Garissa wameruhusiwa kuchukua miili ya wapendwa wao.

kurasa za MAGAZETINI TZ leo April 11 2015,

 
NIPASHE
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mussa Lupatu ni miongoni mwa waliofariki katika ajali ya mabasi mawili na gari ndogo iliyotokea kijiji cha Mkata Tanga.
Kaimu Kamanda wa Polisi Tanga, Juma Ndaki amesema Marehemu Lupatu alipata ajali hiyo akitokea Kibaha kuelekea Korogwe kumpeleka mwanae kupatiwa matibabu ya ugonjwa akili ambaye naye pia alifariki.

10 April, 2015

RATIBA ya ligi kuu England kesho jumamosi hii hapa

26E4C9A100000578-0-image-a-54_1428612206080
Huu ndi msimamo kwa timu nne za juu kabla ya mechi za wikiendi hii

The Barclays Premier League top four as it stands: City trail United by just one point going into the derby
RATIBA ya ligi kuu England kesho jumamosi hii hapa
April 11
14:45
Swansea City
? – ?
Everton
17:00
Southampton
? – ?
Hull City
17:00
Sunderland
? – ?
Crystal Palace
17:00
Tottenham Hotspur
? – ?
Aston Villa
17:00
West Bromwich Albion
? – ?
Leicester City
17:00
West Ham United
? – ?
Stoke City
19:30
Burnley
? – ?
Arsenal


Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

        

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii


vpl 
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.

Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa Manungu-Turiani mjini Morogoro,nayo Ndanda FC watakua wenyeji wa timu ya Tanzania Prisons mjini Mtwara katika uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Ligi hiyo itaendelea siku ya jumapili katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Young Africans watawakaribisha timu ya Mbeya City kutoka mkoani Mbeya, huku mjini Shinyanga katika uwanja wa Kambarage wenyeji timu ya Stand United wakiwakaribisha maafande wa timu ya Polisi Morogoro.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF


Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

    

Zlatan Ibrahimovic amefungiwa mechi 4

zlaMshambuliaji wa klabu ya Psg Zlatan Ibrahimovic amefungiwa mechi 4 huko katika ligi ya Ufaransa kwa kosa la kuponda uendeshwaji wa ligi hiyo.
Tukio hilo lilitokea baada ya Psg kupokea kipigo cha 3-2 kutoka kwa Bordeaux mwezi uliopita ambapo msweden huyo alinaswa na kamera akizungumza lugha chafu juu ya waamuzi wa mechi hiyo na huku akiitusi nchi hiyo kwa madai ya kushindwa kuendesha soka.
Hata hivyo Ibrahimovic aliomba msamaha baada ya kufanya hivyo lakini chama cha cha soka nchini humo kimeamua kimfungie ili iwe fundisho.
Kutokana na adhabu hiyo ,sasa Zlatan atakosa mechi za ligi dhidi ya Nice,Lille,Metz na Nantes
Hili ni pigo kubwa kwa klabu ya Psg kumkosa mshambuliaji huyo ambaye alifunga hat trick katika mechi ya juzi dhidi ya St Etienne katika kombe la Coup de France.
Psg ipo kileleni mwa ligi kuu nchini Ufaransa kwa tofauti ya pointi 1 na wanaoshika nafasi ya pili Lyon,huku wakiwa wamebakisha mechi 7 kumaliza ligi hiyo msimu huu.
Aidha Zlatan Ibrahimovic,33, atakosa mechi ya kwanza ya robo fainali ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Barcelona wiki ijayo kufuatia kadi nyekundu aliyoipata katika mechi ya pili ya hatua 16 bora dhidi ya Chelsea
  

Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

Lupita Nyong'o strikes again

Lupita Nyong'o strikes again.  The stunning Oscar winner brings the fabness in her latest Lancome ad campaign.  Check the pics inside....
 
just because Award season is over doesn't mean the ridiculously fabulous pic of Lupita Nyong'o come to a halt.  The Lancome spokeswoman just dropped new pics that made jaws drop.In a sexy red one piece with scarlet chiffon overlay and killer red heels, Lupita is serving up gorgeousness in new Lancome ads for Paris Match Magazine.  Shot by photographer Alexi Lubomirski, Lupita is posing it up in front of a dramatic city landscape.  Hot!

By the way, Lupita has three big projects in the works: Star Wars: Episode VII, The Jungle Book & Queen of Katwe!

Big Sean amchimba mkwara Justin Bieber.

justinbieber-bigsean
Rapa Big Sean amempiga mkwara msanii wa pop Justin Bieber baada ya msanii huyu kumbambia mpenzi wa rapa huyu ambaye ni mwimbaji Ariana Grande wakiwa kwenye show wakati wa ziara yake ya “Honeymoon Tour”  mjini L.A.
Ariana Grande alifanya nyimbo mbili na Justin ambazo ni “Love Me Harder” na “As Long As You Love Me”.
Big Sean aliandika Twitter “This kid is about to learn not to touch my girl like that. Beliebe that.


Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...