Cristiano Ronaldo ambaye ndiye mwanasoka tajiri zaidi hivi sasa alipokelewa kwa mapokezi mazuri huku akikabidhiwa jezi ya Miami Heat iliyokuwa imechapishwa jina lake mgongoni, sanjari na namba 7 kuonesha heshima kubwa aliyonayo staa huyo raia wa Ureno.
Ronaldo alikabidhiwa jezi hiyo pamoja na kushiriki utani na stori pamoja na mchezaji wa kikapu wa NBA mwingereza Luol Deng ambaye alifunga points 9 katika dakika 33 alizocheza Jumanne hii na baadae kushiriki stori na Cristiano.
Katika mechi hiyo Miami walipoteza kwa taabu kwa points 93 kwa 92 katika mchezo uliokua mkali na wakuvutia, huku mashabiki wakifurahia uwepo wa staa huyo wa soka na mshindi wa Ballon d’Or mara 3.
Baadaye Cristiano Ronaldo kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika kumshukuru Luol Deng mwingereza ambaye pia ni shabiki wa kutupwa wa Arsenal, pamoja na kuishukuru klabu ya Miami kwa ukarimu wao.
Cristiano bado yuko nchini Marekani akijipumzisha kwa ajili ya Christmas kwani bado Ana muda wa kutosha kabla ya kurudi Hispania kwa ajili ya muendelezo wa ligi kuu nchini humo pamoja na michuano mingine.


Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watu wanne wakiwemo mke wa
marehemu dereva na mtunza bustani kwa tuhuma za mauaji ya aliekuwa mkuu
wa kitengo cha ulinzi na usalama wa shirika la hifadhi za Tanapa Emili
Kisamo aliyeuwawa kwa kukatwa shingo na kutelekezwa ndani ya gari lake
Nissan Mazda No T 435 CSY eneo la Lemala jijini Arusha tarehe kumi na
nane ya mwezi huu.
Mahakama ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imemhukumu mwalimu wa
Shule ya Msingi Nonwe, Raphael Matima kifungo cha miaka mitano jela kwa
kosa la kuomba na kupokea rushwa ya Sh600,000 ili afiche wanafunzi
watoro.
OK. Maybe I am missing something here but Diddy kampatia raper French Montana kiasi cha dola milioni moja kwa ajili ya Christmas? Diddy is the boss of bosses. I am just trying to figure this out. Now look at the picture. 























