Showing posts with label Udaku. Show all posts
Showing posts with label Udaku. Show all posts

07 March, 2016

Picha,Mpenzi mpya wa Baraka da Prince

baraka
Baada ya stori tofauti kusamba kwenye mitandao ya kijamii, imesemekana kuwa kwa sasa Baraka da Prince hayuko tena na msanii wa filamu Tanzania Nisher ila anatoka na msanii wa bongo Fleva Najma Aka Naj.
Haya ni maneno ya Barak Da Prince yaliyoambatana na Post ya kichwa cha mwanamke aliyelala naye.
bbk Screenshot_2016-03-06-13-43-24 Screenshot_2016-03-06-13-43-34

25 January, 2016

Idris athibitisha uhusiano wake na Wema Sepetu, asema ana ujauzito wake


Mshindi wa Big Brother Africa 2014, Idris Sultan amethibitisha kuwa na uhusiano na Wema Sepetu na zaidi mwanadada huyo tayari ana ujauzito wake.
temp_regrann_1453725984059
Kwenye Post aliyoweka Instagram Idris ameandika kuhusiana na taarifa hizo ambazo zilikuwa tetesi kwa muda mrefu,
“Me and You are not the ordinary. I sleep,eat, talk and wake up to only thinking about you,” ameandika Idris kwenye post yake iliyopata comments zaidi ya 9,060 na likes zaidi ya 18,989.
“As much as utadhani kuwa you are blessed to have me no no I am blessed to have you. At 1st it was weird me kuangalia ndani ya kabati langu kuona nguo zako na viatu au ukiwa unaongea na mimi unaniambia vitu kama “Hivi baby unahisi akiwa wa kiume utafanyaje maana naona umekazana na wa kike” au ukiingia jikoni kwangu and take over my house with good food,” ameongeza.
“The way you look at other women wakinisogelea, how you always know when i need a kiss or a tight hug. The way you force me kuangalia Disney channel, how you wake up early these days to make me breakfast. I might bring you the most beautiful rose flower in the world and it will never look even half as beautiful as you are. When you’re jealous unasonya sonya, when am jealous i smile.”
“I would move mountains and planets just to make you happy. I will protect you, love you, spoil you, fight with you, cook with you, watch movies together, drive at night for no reason, sit with you and just stare at the stars. You’re more than i ever asked for, you’re my everything “My Wife.”

22 January, 2016

Kama ulikosa U Heard ya leo..Zari kaamua kujibu kwa wanaomsema mitandaoni kuhusu mtoto sio wa Diamond


Wiki hii inaisha huku kukiwa na stori kubwa zilizoanzia kwenye mitandao ya kijamii, majibizano yaliyofanya mpaka ishu ya watu kutaka DNA ya mtoto wa Diamond Platnumz na Zari iwekwe wazi ili ijulikane kama kweli ni mtoto wake.
Diamond alijibu hii ishu kwenye exclusive interview, na pia Soudy Brown kaamua kumtafuta Zari kusikia pia anachukuliaje hizo story za mitandaoni.
ZARI II
Zari kasema kachoshwa na maneno kuhusu mtoto wao Tiffah, kwanza hawahusu chochote kwa hiyo hata kama ni mtoto wa Diamond au sio wake, wanaozungumzia DNA hawamhusu chochote.
Kingine Zari amesema wana mtoto huyo mmoja lakini yuko tayari hata kuwa na watoto watatu na Diamond.
Soudy BrownMakorokocho‘ na Zari utawasikia kwenye hii U Heard niliyorekodi na kukusogezea sauti yake hapa, bonyeza play uipate

19 January, 2016

Swali ni kwmba Je baada ya Shiole na Nuh Mziwanda Kukutanishwa, Kuna Uwezekano Wakarudiana?


Ijumaa iliyopita kupitia kipindi cha WikiendChartShow cha Clouds Tv kiliwakutanisha Nuh Mziwanda na Shishi ambao wameachana,Je? Kuna uwezekano wapenzi hao wakarudiana?
’Nimeficha mambo yake mengi sana kwa maslahi ya penzi letu,yeye anajua mambo gani aliyokuwa akinifanyia ambayo alikuwa hastahili kunifanyia kama mpenzi wake,alikuwa akinichukulia poa tu,nilikuwa nikionekana mwanaume mbele za watu lakini haikuwa kweli,nilikuwa naumia ndani kwa ndani bila watu kujua,nimemsamehe sina tatizo nae,’’Nuh.
‘’Nuh na Shishi ni marafiki zangu nawajua vizuri walipokuwa wakigombana nilikuwa niwasuruhisha yanaisha sasa kipindi hiki walivyogombana sikuwepo nilikuwa Kigoma,ningekuwepo yasingefikia haya ila ninachojua hawa wanapenda cha msingi mmoja wao ajishushe,’’Baba Levo.
‘’Unajua ukiongea na Nuh ukimuuliza unampenda Shilole hana jibu kamili lakini ninavyoona wanapenda na watarudiana tu,ila Nuh anawahofia ndugu zake ambao hawamtaki Shishi na mambo mabaya ambayo aliyokuwa akimfanyia,’’ Soudy Brown.

15 January, 2016

Yemi Alade amethibitisha kuwa anatoka kimapenzi na Bien Baraza wa Sauti Sol

post-feature-imageYemi Alade amethibitisha kuwa anatoka kimapenzi na mmoja wa wasanii ambao wanaunda Kundi la Sauti Sol, Bien Baraza.

Wasanii hao walikutana nchini Kenya kwenye msimu huu wa Coke Studio, ambapo jumla ya wasanii 28 kutoka Uganda, Kenya, Tanzania, Msumbiji na Nigeria walikutana kwa ajili ya kufanya kazi pamoja za Coke.

Hapo ndipo uhusiano wa Yemi na Bien ulipoanza, lakini Yemi ameweka wazi baada ya msanii huyo kutokana nchini Kenya kumuandikia wimbo wake wa ‘No Gode’ kwa Kiswahili, ambapo Yemi aliuandika kwa Kiingereza.

“Nakupenda sana mpenzi wangu Bien, umetoa mchango mkubwa katika kazi yangu mpya kwa kuifanya iwe kwa Kiswahili na ulitumia muda wako kufanya hivyo, nitaendelea kukupenda daima,” aliandika Yemi kwenye mtandao wa  Instagram.

10 January, 2016

Ni Nay wa Mitego na Ex wa Prezzo Mrembo Chagga Barbie


Nay wa Mitego amedai amegundua mwanadada maarufu kwenye mitandao ya kijamii, Chagga Barbie aliyekuwa mpenzi wa rapper wa Kenya, Prezzo, ni mwanamke mwenye kila kigezo cha kuwa mama wa watoto wake.
Nay aliyekuwa akitoka kimapenzi na msanii wa filamu Shamsa Ford na baadaye kuachana, ameiambia Bongo5 kuwa mwaka huu atafanya surprise yoyote na mpenzi wake huyo.
Kusema kweli mimi na Chagga Barbie tunaendana sana,” amesema. “Mimi nina imani hata watoto wangu anaweza kuwalea. Suala la ndoa ni mpango wa Mungu lakini naweza kusema ndani ya mwaka huu kinaweza kutokea chochote kikubwa kwa sababu mimi natumia 966 kama codes zangu na huu mwaka ni 2016 vyote vinashabihiana. Kwahiyo naweza kusema huu mwaka utakuwa mzuri sana kwangu,” amesisitiza.
Chagga Barbie alijipatia umaarufu baada ya skendo ya kuachana na Prezzo kwa kuchafuana kwenye mitandao ya kijamii

08 January, 2016

Mrembo wa Kenya, Vera Sidika adaiwa kula uroda na Rapper wa Marekani Fetty Wap


Mrembo wa Kenya, Vera Sidika anaweza kuwa amekula uroda na muimbaji wa ‘Trap queen’ Fetty wap.
Mrembo huyo mwenye umbo la utata ambaye kwasasa yupo Las Vegas, Marekani kwa ajili ya Vacation kuna uwezekano mkubwa wa kuwa Fetty wap ambaye alikuwepo Las Vegas pia hakumuacha hivihivi,
Picha inaanza hivi, siku mbili zilizopita Vera aliweka picha kwenye Instagram na mmoja ya watu wa Management ya Fetty wap, RGF productions alicomment kwenye picha hiyo “where we at tonight”
 
 
Siku iliyofuata Vera aliweka picha amevaa kofia sawa na ambayo Fetty wap alikua amevaa kwenye picha nyingine aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram.


Kwenye picha ya nyingine, Vera sindika alipiga selfie huku akificha baadhi ya vitu nyuma, Itakuwa ni nini ambacho hataki watu waone?
vera2

07 January, 2016

Huddah Monroe asema anapungua mwili labda sababu ya kufanya sana ngono!

post-feature-imageHuddah Monroe ni mwanamke anayetumia muda mwingi kusafiri katika nchi mbalimbali na kula bata. Lakini kingine ambacho anakifanya mara kwa mara ni kula uroda… mara tano, mara sita kwa siku?

Jibu analo mwenyewe lakini amekiri kuwa mwili wake umepungua sababu anavunja amri ya sita mara nyingi mno!


Mrembo huyo alipost picha ya kitambo na kuandika "#TBT! I miss my body like this ! Sema kukonda these past months? Been up and down like an Athlete, paper chasin �� and maybe too much SEX??��..........Anyways , see you guys in Mombasa , Reef hotel BEACH party on Saturday . I won't be posting all pics of events here apart from the OUTFITS . If you want to see how the party is going down LIVE! . FOLLOW on snap chat - #huddahmonroe . Thank you"

31 December, 2015

Shilole afuta tattoo ya Nuhu Mziwanda iliyokuwepo kifuani kwake!

post-feature-imageKuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.

Picha ikionyesha tattoo mpya kifuani
Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.

Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila mmoja amefuta picha zao za pamoja kwenye akaunti zao za Instagram. Pia weekend iliyopita Shishi alifanya sherehe nyumbani kwake ambayo hakusema sababu ya sherehe hiyo, lakini hakuwa na Nuh na wala hakupenda kumzungumzia pale alipoulizwa na marafiki aliowaalika.

12 December, 2015

Victoria: Sina mpango na wanaume wa Kenya

post-feature-imageMSANII wa muziki nchini Kenya, Victoria Kimani, amesema hana mpango wa kuolewa na wanaume wa nchini Kenya kwa kuwa hawajui kukaa na wapenzi wao.

Mrembo huyo amesema wanaume wengi wa nchini humo wamekuwa tofauti na wale wa nchini Nigeria, hivyo ni bora aelekee huko kwa ajili ya kupata mwanaume bora ambaye atadumu naye.

Msanii huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri katika muziki mara baada ya kusaini mkataba mpya katika kampuni ya kusimamia kazi zake ijulikanayo kwa jina la Chocolate City Music Label, amesisitiza kwamba lengo lake kubwa ni kuolewa na mtu kutoka Nigeria.

“Wanaume wa Nigeria wanajua jinsi ya kuishi na mwanamke, wanaonyesha heshima ya hali ya juu na hivyo ndivyo ninavyotaka katika maisha yangu,” alisema Victoria.

09 December, 2015

Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala

post-feature-imageMsanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana. 
Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;
Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno yanakuwa mengi so sometimes vitu ni better kuwa private kidogo ili kuwe na usisi ndani yake yeah we doing good…Maneno ya mtaani ni mengi ukweli wa ndani tunaujua wenyewe.” Alisema Quick Rocka kupitia Amplifaya ya Clouds Fm.

30 August, 2015

Elizabeth Michael aonyesha Pete yake ya Uchumba

Elizabeth Michael aka Lulu amewaacha mashabiki wake njia panda baada ya kuweka picha inayoonesha amevaa pete ya uchumba.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, mrembo huyo aliweka picha ya mitego ikiwa na caption ‘N.U.D.I’ na hivyo kuwaweka njia panda mashabiki wake.


02 August, 2015

NI NUHU NA WEMA

Nuh-MziwandaKama unatumia mitandao mbalimbali ya kijamii utakua umekutana na sauti ambayo inasemekana ni sauti ya Nuh Mziwanda na Wema Sepetu wakizungumza kitu kinachoashiria upendo wa Nuh kwenda kwa Wema.Nuh Mziwanda ni mpenzi pia wa Shilole

27 July, 2015

MENINAH KASHINDWA GAME ???


Msanii wa  bongo fleva  Meninah La Diva, ambaye chimbuko lake lilianza kuonekana natika  shindando la kuinua vipaji Bongo Star Search 2013 .Stori zilizo zagaa kitaa kuwa diva huyo game limemshinda That why yupo kimya sana katika  game .Safu yetu ilipiga story na chanzo cha karibu na Meninah kutaka kujau sababu gani iliyompelekea kukaa kimya .
Meninah”Meninah game limemshinda kabisa baada ya kutoa ngoma yake ya Kaniganda , na kupata mapokezi  mabaya kutoka  kwa mashabiki na wadau pia.Mwanzao alivyokuwa anaanza kuingi katika game alikuwa nikati ya ma- diva welionyesha uhodari wa hali ya juu na kupeleka kupata mashabiki wengi ,but kadri siku zilivyokuwa zinaenda niaisi aliewa sifa na kumfanya awe anaharibu.Now game la bongo fleva hasa kwa upande wa watoto wa kike kunaupinzani mkubwa sana so naisi na hilo limechangia ”.Source
11083860_408370749287906_4379635410477267042_n
upande wa Meninah bado hajatoa tamko lolote kuhusiana na tuhuma hizi.

22 July, 2015

Shilole Atoboa Sababu ya Kuachana na Nuh Mziwanda

Shilole Atoboa Sababu ya Kuachana na Nuh Mziwanda
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kuwa wivu ndiyo uliosababisha yeye na mchumba wake Nuh Mziwanda kuachana.
“Nuh haniamini kabisa na ana wivu kupitiliza ndo chanzo cha kuachana”  Shilole  amenukuliwa na Eatv.tv akieleza.
Wawili hao wamekuwa wakijibizana kwa maneno ya shombo kwenye midandao ya kijamii mara baada ya kuachana.

20 July, 2015

Video: Baada ya ushindi wa Tuzo za MTV, Davido athibitisha ujio wa collabo mpya na Diamond mwezi ujao

Baada ya wote wawili kuibuka washindi kwenye tuzo za MTV MAMA 2015 zilizotolewa Jumamosi iliyopita Durban, Afrika Kusini, Davido na Diamond wameweka wazi ujio wa collabo yao mpya.

Wakiwa na furaha huku wakiwa wamebeba tuzo zao mikononi mara baada ya tukio la utolewaji tuzo hizo kuisha, staa wa Nigeria Davido akiwa na Diamond ametoa ahadi ya collabo yao mpya.

Katika kipande cha video (hapo chini) Davido ametamka kwa kinywa chake:

“New F*ckin Diamond and Davido we gonna dropin next month, we do this f*ckn East Africa West Africa biggest artist we do this…we are uniting…” Wakati Davido akiyaongea hayo, Diamond alikua akiitikia “I’m telling you”.

Diamond aliibuka mshindi wa tuzo ya ‘Best Live Act’ na Davido naye aliibuka mshindi wa tuzo kubwa ya Best male ambayo pia alishinda mwaka jana.

29 June, 2015

Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba


.Ishu ya  Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti. Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...