Showing posts with label Love. Show all posts
Showing posts with label Love. Show all posts

16 June, 2016

Watu 6 unao takiwa kuwa nao kaitika mapenzi kabla Hujafa.

Maisha yanabadilika kila Kukicha, tamaduni nazo zinabadilika, muda unakwenda na Umri unazidi kusogea. Itafika pahala utapaswa kuwa na Mpenzi ama mtu ambaye ulitamani kuwa nae maishani (Man/woman of your Dream), hivyo basi huna budi kutambua/kufahamu watu unaotakiwa kuwa nao kabla kifo na Mauti kukupata.

1.Mtu kutoka nje ya Kabala/nchi au Bara lako.


 Susan Peters and Dutch husband Dr. Croon. Wazazi wako wanaweza kukukataza kuoa ama kuolewa na mtu ambaye ni kutoka nje ya kabila lako, lakini wakati mwingine hupaswi kuwasikiliza. Kutoka kimapenzi(Kuoa/Kuolewa) na mtu ambaye ni wa kutoka nje ya kabila/nchi ama bara lako, ni njia moja wapo ya kujifunza maisha na tamaduni tofauti tofauti(Ni jambo jema). Utawafundisha watu Lugha yako na utamaduni wa kwenu na wao pia watakufundisha Tamaduni zao. Wakati mwingine wote wawili mtajikuta macho kwa macho mkitazama/kujifunza jambo fulani. Mtapata watoto na watakua na Tamaduni mbili tofauti(Inapendeza si ndiyo?). Jambo hili linategemea Drama kutoka ktika familia za wazazi wenu lakini mkisimama kidete mtapata kile mlicho kidhamiria. 

2. Mtu ambaye siyo mzuri machoni pa wengine lakini Mzuri kwako peke yako.

Engagment photos of Ghanaian couple that went viral Hii inahusisha namba kubwa ya watu. Mfano mtu ambaye ana-share hobby na wewe, mtu ambaye ni mzuri, mtu ambaye kuna muda unafika mnagombana pasipo na sababu maalumu n.k. Mtakuwa mnapenda kuonyesha ulimwengu Furaha yenu yakini Miguno na minong'ono kutoka kwa rafiki zenu vitawaonyesha kwamba HAWAPENDEZWI NA NYIE ila mnapendezana wenyewe. Ni sawa tuu haina shida na hii isikunyime chance ya kuwa na Mwanaume/mwanamke unayemtaka.

3.Mtu ambaye atakufanya uishi kama Mfalme au malkia.prince-william-kate-middleton-prince-george 

Pia mtajulikana kama Mr/Mrs Nice Guy. Inawezekana kumuweka mtu huyu katika ukanda wa marafiki zako lakini unapaswa kuwa na imani katika hili. Sure, they may not be what you’re looking for physically or something but look beyond their looks. They will always try and please you and meet you half way and pamper you all through. All they ask for is your love and affection in return. Plus, you can always grow to love them so don’t close your mind to it. Anyone who treats you like you’re the best person on earth is what you deserve so enjoy them! Don’t take them for granted however, if you find you can never love them, let them go. Don’t be selfish.

4.Mtu ambaye Husamehe Mapema.

 Cake-Tufacend-Annie1 Hakuna Kitu kinacho haaribu Mahusiano kama Migogoro isiyopata Ufumbuzi. Endapo utafanikiwa kukutana na mtu ambaye husamehe kwa wepesi na kuacha mambo yapite, wewe mchukue mtu huyu maana atakufaa. Ni vigumu kwa mtu kusamehe na kusahau matatizo moja kwa moja lakini ukikutana na mtu ambaye huachaga mambo yapite na kutizame mbele, hakika utafika nae mbali. Hakuna haja ya kuvunga wewe sema nae akikubali chukua kiroho safi( ha ha haaa).

5.Mtu ambaye haamini katika kudanganya ndani ya Mapenzi(Mulika mwizi).

Tunde and Wunmi Obe. Credit: Tundeandwunmiobe.com Nafahamu ya kwamba wengi tunaamini mapenzi bila uongo hayaendi, ni kweli ila kuna ule wizi uliozidi ambao hata wewe mwenyewe ukiona uanatamani hata kujipiga hapo chini ufe tuu maana moyo wako utajawa na ghadhabu mithili ya simba aliye jeruhiwa porini kwa mshale wa mwindaji haramu, hivyo basi utatamani kumpata mchumba ambaye hana tabia za kitoto( mwongo mwongo). Endapo utampata mtu huyu, wewe chukua maana mtadumu kama ulimwengu(Dunia).

6.Mtu ambaye ana amini katika mabadiliko siku zote.

Aisha Buhari has warned those accusing her of trading in forex Mmoja kati ya wauaji wa Mapenzi ni jambo "I can Never Change". Watu wanaopenda kusema  hivyo siku zote hatokaa ambadilike. Likini ukikutana na mtu ambaye hupenda kubadilika na kushikamana na wewe kama utakavyo, Tafadhali shikamana na Mtu huyu kwa mikono yako miwili wa usimwache akapita maana ukimwachilia utakua umepoteza LULU.

You may be excited and in love and want to show them off but people’s reactions will let you know it’s only you who sees beauty in them.
Read more: https://www.naij.com/858798-six-people-date-die-photos.html

01 June, 2016

Njia 25 zitakazo fanya Mahusiano yako Kudumu kwa Muda Mrefu.

Nikusalimu mpenzi msomaji wa Blog hii, Pole na mahangaiko ya hapa na pale ya kuusaka Ugali na Mwanga wa Chemli. Leo tuweke maswala ya Muziki pembeni na Tuongee kidogo maswala ya Mahusiano/Mapenzi. Kwa muda mrefu sasa nmekuwa nikiona mahusiano ya wengi tulio vijana yakivunjika mapemaaa mno baada ya kuanzishwa kwake, na mengine hudumu kwa muda fulani lakini nayo huanguka.


  Zipo sababu nyingi ambazo  hufanya Mahusiano hayo kuvunjika katika wakati ule wa awali ama baada ya muda mfupi baada ya kuanzishwa kwa mahusiano hayo. Kwa leo sinto zungumzia sababu hizo, bali nitakupa Njia 25 ambazso zitafanya kudumisha mahusiano yako...

 Pitia Picha moja baada ya nyingine kuona nini kilichomo katika picha hizo:


1
2
3
6
7891011121314151617181920222324
25

27 May, 2016

Women of Now Days in Relationship need these Things.

romantic-relationship 

wWomen most of the time are driven by their emotions, the more you get in touch with your sensitive side the more you would understand that their behavior is totally normal. So don’t spend your time trying to understand them. Women are meant to be loved not understood.


 

Useful Tips

Be conscious of what you say:

Women are more likely to remember memories that have emotional significance. Be careful what you say to her in the middle of a fight, because she may never forget it. If a woman has a bad day, it will affect her mood, and her interactions.

This is exactly the time when men need to shut up and not tell her to ‘get over it’ or that it’s ‘not a big deal’ because these things stay fresh in her mind. Be understanding, be comforting, and she will feel better.

 

Use your sensitive side:

A woman’s emotions will influence her actions more than a man’s emotions would for him. As men, society teaches us to keep our feelings hidden, so we don’t acknowledge them as much, and therefore don’t act on them as women do. It has always been seen as a negative for a man to be in touch with his emotions.

For the women: this also means that if you want your man to know how you feel about something, you need to tell him. I know you might want him to figure it out for himself, but he may not be able to read it on his own. Just be straight with him.

 

Always communicate with her:

Talk to her. Next time the two of you have a disagreement or argument, do not give her the silent treatment. No matter how difficult it may be for you, you must let go of your pride and approach her for a genuine conversation. Ignoring her will only make you appear immature.

If she asks you if something’s wrong, don’t give a shrug and say “nothing.” The most important factor in any relationship is communication. If you refuse to open up, you will only make the woman in your life feel more insecure and uncertain about the relationship, and this will make her behavior seem that much more confusing.

 

 

What Do Women Want In A Relationship?

Compliment and Appreciate her:

This is probably the most important. Pay attention to your girlfriend’s appearance. Notice if she has gotten a new hair style or her nails done, and compliment her. Show appreciation for the things she does for you.

A lot of women tend to compare themselves to other women too often, usually at their own expense and end up feeling dissatisfied with their appearances as a result. If she’s down about herself , it may help to remind her of how lucky you are to have her.

Tell her how much you adore her every day! Remember that you’re not the only man in this world, there’s a man out there who will love and care for her if you don’t.

 

Prove that you love her:

What you don’t say usually matters more than what you do say. As the saying goes, actions speak louder than words. Don’t just tell her you love her, show her.

You can really show a girl you love her by being there for her whenever she needs you most. Whether she didn’t get the exam results she was hoping for, or is grieving for a lost loved one, its your job to be there for her and let her know that you are always there to support her no matter what.

It’s fine to be with her during the good times, but the true test of your love is whether you can stick it out during the bad times. Be there for her when she really needs you and she’ll have no doubt about your feelings for her and know she can trust you even when things get a little tough.

 

Spend time with her:

Take time to be a generous lover. Turn off the TV and turn on the romance. She wants to be your friend as well as your lover. Simply making time to switch off the TV, sit down, and talk with her will show that you care, to say nothing of the fact that you enjoy her company.

Try to think about her interests rather than your own . Figure out what she loves and come up with some creative ideas based on her interests and hobbies, even if they don’t interest you, do it for her and try to have fun. This can help you display your affection in ways you know she’ll appreciate most.

Most women expect their men to be in touch with their own emotions as well. Learn to open up and not keep all your feelings bottled up inside. As you continue to share your feelings with her, you will notice the bond between you growing immensely.

 

Listen to her:

Listen to what she has to say. You have probably conditioned yourself to look as though you’re listening when, in fact, your mind is somewhere else completely. It’s time to stop such disrespectful behavior and get used to giving the woman in your life your undivided attention. All you have to do is listen.

Most of the time you don’t even have to give any advice because all she wants is to know that you care. Every time she is speaking to you, make an effort to look her in the eyes. If you don’t understand something she says, tell her instead of playing along.

 

Be honest:

Be unconditionally honest with her. Telling her the truth is the best way to build a healthy and trusting relationship. If there is a habit or behaviour of hers you dont like, let her know so she could change. Even small lies to spare feelings could become problems later on.

While being honest is very important, remember not to be insensitive. Try to take her feelings into account and express your thoughts in a constructive, and not destructive way.

 

Be a gentleman:

Try opening doors for her, letting her order first at a restaurant and offering her your jacket if she’s cold. In general, you should try to make her feel both safe and respected.

You should note that being a gentleman does not mean that you should do everything for her all the time or assume that she can’t manage on her own, as she may find this disrespectful.

Even though she’s number one in your eyes, your girlfriend sometimes doubts how much you truly care about her when it comes to other girls. If you have a lot of female friends, putting her at the center of your attention should be your number one priority. Avoid flirting with them or being overly touchy with them while she’s around, as this might make her feel insecure.

 

Always keep in contact:

Never lose contact with her for an unreasonable length of time. Show her that although you’re apart, she’s on your mind. If you haven’t seen her for a few days, call her to tell her how much she means to you and that you can’t wait to see her again.

Get to know her friends and family. They are an important part of your girlfriend’s life, and you should demonstrate that you respect that. This will let your girlfriend know that you are serious when it comes to your relationship. Also make an effort to remember important dates or occasions, like her birthday or the anniversary of your first date. Women see these things as very important and you should too.

Finally, give her some space once in a while. Don’t try to be in every aspect of her life, all the time. Not spending every single day together may well make the days you do spend together a bit more special.

 

Take her advice:

Take her advice into consideration. Whether she shares her thoughts on an everyday matter or a life-changing episode, showing her that you value her input will help build a respectful, equal relationship. If she thinks a beard would look good on you, you could try it. It could add a little spice to your relationship.

Though you should not try to change yourself for another person, you should be willing to change certain unappealing habits. Compromising on certain habits will go a long way in keeping a relationship happy.

 

Conclusion

1. Remember that some women have flirtatious personalities, even when interacting with friends, so don’t assume a woman is interested in you romantically just because she is being friendly or polite.

2. Avoid talking about a previous relationship with a woman you are dating unless she asks you about it. It will imply that your ex is still on your mind.

3. Accept that all women are different. Overgeneralizing can be dangerous. Don’t mistake one woman’s behavior as a universal female characteristic. Just because your sister doesn’t like sports doesn’t mean that your new girlfriend doesn’t.

4. Remember how you followed her to class, called her every night, took her out for launch? Don’t give up pursuit just because you’ve finally gotten her to date you. The relationships that will stand the test of time are the one that are founded on the idea of constant pursuit, this way things stay fun and exciting.

5. Women can be possessive sometimes. My last girlfriend made me wear her bracelet for two days. She got angry if I took it off. So I had no other choice. Which was a little awkward because people began to think I was gay. So don’t be confused if something like this happens or if she gets upset when you talk with your female friend for too long on the phone, it’s a love-thing, you don’t have to understand it .

19 April, 2016

Things men should stop saying before sex

post-feature-image
Pleasing women has always been very tricky, even before Lord Maurice Egerton built a castle in Njoro for Lady Victoria, who was never pleased and likened it to nyumba ya kuku or mbwa! Indeed, with women, all you have to do is press the wrong button and they will be gone. Just like that! 
Matters get even trickier in the bedroom where being nervous can get men sweating profusely, mumbling incoherently for madam to turn on the lights, yet she prefers giza totoro.


Here are 10 things men should avoid telling a woman before hitting the sack:
1. I will rarua you 
When you start roaring how you will shred her into small pieces, she imagines you are endowed like a horse where it matters. But just shut up. She will compliment you if need be or you surpass her expectations.
2. I will set it on fire
No woman loves being left feeling sore after it’s over. Don’t tell her a zima moto will be needed only for you to light up half your kiberiti that is blown off even before she starts panting.
3. Are you wet
Can’t you check Men check the oil gauge of their cars, but for that, they have to ask! Yet it is part of pre-match warm up. ‘Are you wet’ is a retarded question that should be reserved for umbrella hawkers.

4. This is what you have been begging for
Why do some men make it sound like one is so desperate to indulge in ‘field events’ The whole sheet-wrinkling session is a two-way traffic.  Besides, if you really didn’t want her, how did you end up throbbing at the temples in eager anticipation

5. Does your ex know you are here
Talking about an ex, whether yours or the woman’s, is a big no-no and turn off. The only time one should talk about an ex (file) is 10 years after they’re dead, or if they owe you loads of dough. Whether the ex knows you’re the new ‘Sheriff in her town’ is  neither here nor in Suguta Valley.
6. Where do you want me to touch
Use experience, bloody moron! And if you’re a first-timer, does it mean you ploughed through high school without gaining any knowledge from movies
7. Can I unleash a ‘silencer’
Unleashing a ‘silencer’ or a thunderous ‘bazooka’, specially if you are used to each other, is part of that silly laughter being comfortable with each other brings. If you really need to fart, please go ahead, but keep in mind that nobody wants to anticipate the stench of half-cooked beans and other decaying plant proteins you have been eating.
8. Did you bring rubber
Dear men, over 50 years after independence and you still have to ask whether we carried ‘Rubber Johnny’ Just sheath your kuni!  9. Don’t tell my girlfriend
 Women are naturally jealous. So, if your chick’s best pal decides you have to kuta vitu, then never mention another woman. It is common sense, stupid!
10. Baby, I’m broke
Not unless you are saying that to a ‘night nurse’ hoping to get a discount, don’t talk about money matters in the bedroom. It not only makes you sound weak, but could also see you lose her, especially if it’s the first time Miss Babes is unleashing Venus for you. Women love men who have their lives in order. Man up!

06 April, 2016

The Very Important Reason Why We Choose To Love People Who Cannot Love Us Back


The purpose of a relationship is not to be loved perfectly, or forever. It is not to have our every whim and wish met and fulfilled. It is not to be completed, or to have our minds and hearts fueled by the hormonal stimulation we think is the feeling of love. The purpose of a relationship is not the Universe’s way of saying “you’re worthy, and here’s someone to prove it.”

The purpose of a relationship is to see ourselves completely. It is to see the parts of ourselves that we are otherwise unconscious of. The purpose of a relationship is to infuriate and overjoy and destroy us, so we can see what angers us, what thrills us, and where we need to give ourselves love. The purpose of a relationship is not to fix us, or heal us, or to make us whole and happy, it is to show us where we need fixing, and what parts of us are still broken, and perhaps the most brutal of all: that nobody can do this work, or make us happy, but ourselves.

We choose to love people who cannot love us back to teach ourselves that we are, in fact, worthy of being loved back. We choose these people because they represent the parts of us that we don’t love - why else would we waste our time on people who don’t return our affection? We choose to love these people because they are the only ones with whom we share an intimate connection deep enough that it can awaken and illuminate the darkest corners of ourselves, and they are the only ones who can leave and let us do what we are here to do: resolve and actualize and heal them on our own.
It is not the nature of love that people struggle with, but what it is designed to do. Most of our turmoil simply comes from never having been told that love will keep breaking our hearts until they open, and that we will be the ones throwing ourselves in again and again.

Our life partners are the people who come after the love that opens us. Our big loves are the loves that emerge after we think we’ve lost them already. They come after we’re ready, after we’ve already cleared out the damage and debris, only after we’ve learned what it means to love ourselves. It is in this we realize that love is sharing what we already have, not relying on someone else to give us something to supplement. It is in this we realize how crucial it was to love the people who could not love us back. They were never meant to, and the rest only depends on how long it takes us to realize this

22 January, 2016

JINSI YA KUISHI NA MWANAUME/MKE MWENYE GUBU.

how to deal with nagging spouse 8020fashions 3
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumbani haitoshi, au akichelewa kurudi mke wake humsingizia John kuwa ana wanawake wengine huko nje ndio kisa cha kuchelewa kurudi nyumbani, hata John akitoka na marafiki pia ni tatizo kubwa.
John anasema muda mwingine anatamani hata aanze kumpiga mke wake kwakuwa mambo anayolalamika au anayoyasema si ya kweli. Mke wake anashindwa kuuliza maswali kwanza bali anaanza kulalamika na kumsingizia vitu vingi.
John anasema alianza pole pole kufanya vitu mke wake alivyokua akimsingizia kwani alianza kuchelewa kurudi nyumbani ili asikutane na mke wake, na baadaye akapata mwanamke mwingine na kuanza kunywa pombe.
John anasema matendo aliyoyafanya yalifanya ndoa yake izidi kuharibika na mke wake ndio alizidisha gubu.
Hili jambo hutokea sana kati ya wanandoa na sio mwanamke tu anayekua hivo, hata wanaume nao, Gubu, malamiko lazima itatokea katika mahusiano, inategemea tu ni jinsi gani mnaweza kuihandle na kuzuia matatizo makubwa zaidi.
how to deal with nagging spouse 8020fashions
JINSI YA KUISHI NA MWANAUME AU MKE MWENYE GUBU sio rahisi lakina inawezekana,
  • Kwanza kabisa unatakiwa uwe msikivu, hili tatizo linaanza pale mwanaume/mke akiwa na malalamiko lakini mwenzako hawi msikivu. Hii itapelekea mwenzako kuona kuwa huna time naye na hujali vitu anavyokwambia, na hivyo huyo mtu ataanza kulalamika na kufiria sababu zingine kabisa za kwanini humsikilizi kama vile kuwa na mpenzi mwingine nje ya mahusiano yenu.
how to deal with nagging spouse 8020fashions 4
  • Jaribu kuwa muelewa, kama mambo yameshakuwa mabaya kati yenu jaribu kuwa muelewa, acha kujibu malalamiko ya mwenzako kwa kufoka au kwa vurugu. Jaribu kufikiria ni kitu gani kinachomfanya mwenzako awe hivo na kuongea nae.
  • Kwa wanawake mpunguze dharau, hasira na malalamiko yasiyo na mbele wala nyuma kwa waume zenu, na msizue matatizo yalipita. Focus katika tatizo lililopo ili muweze kulisolve.
  • Kwa wanaume, mnatakiwa kuwasikiliza wake zenu, sikiliza malalamiko waliyokuwa nayo, myaongelee na kuyasolve matatizo.

Young couple has breakfast at italian café
Wanandoa wakishindwa kutatua matatizo kama haya, chuki inakua kati yao na ndoa inazidi kuwa chungu, na matumaini ya kusolve matatizo kati yao yanakuwa hamna tena, na hii inaweza kuwa mwisho wa mahusiano yao.
Wewe je, unaishi na mwanaume au mwanamke mwenye gubu? Unawezaje kuishi nae, au unafanya nini ili kuweza kumhandle na kuepuka matatizo kati yenu?

19 January, 2016

10 Signs To Know An Immature Guy

So many reasons have been adduced for why romantic relationships between a guy and a girl don't end up in marriage these days. One of them is Incompatibility!

For this reason, here is a list of tips on how you could get to know if a guy or that guy you are in a relationship with is immature:

1. You’re his first real relationship: He had a girlfriend or two in high school, but has not dated since. If you’re his first girlfriend in the “real world” you’re probably going to have to teach him a few basics. The only thing he has to compare this relationship to are the hormone and puberty induced ones he had when he was seventeen. In his head, when things get rough you’re going to act like his psychotic high school girlfriend, and he’s going to treat you as such. Bottom line: if you’re his first real girlfriend, you’re going to have to teach him a lot, and most of that will be the difference between girls and women.

2. He doesn’t know how to communicate: Communication is key to any relationship. There are going to be confrontations, fights, and near-breakups, but how these are handled are what determines if the couple is going to make it or not. If your boy/man-child isn’t willing to listen to you, or he readily dismisses your feelings, he’s not mature enough to be with you in the long run.3. He loves his pride more than the relationship: There is a certain amount of give and take in relationships. If your man loves being right more than he loves you, he’s no man at all—he’s just a stubborn boy. Everyone has to swallow their pride at some point, and boys aren’t willing to do this yet.

4. He doesn’t own his flaws: This one is about placing blame, and when something happens in a relationship it’s hardly ever just one person’s fault. If you’re willing to accept what you did wrong, and he isn’t, he essentially thinks he’s always right. Not only is that immature, it’s egotistical.

5. He doesn’t want to be depended on: When poo hits the fan, he’s nowhere to be seen. You might get some sympathy from him, but he puts minimal effort into being the person you can rely on. This is because immature boys retreat when things are too difficult for them. Simply put: men are strong, boys are weak.

6. You’re his girlfriend when it’s convenient for him: You had plans for a nice weekend together? Too bad something else came up and he bailed on you. Sometimes, nothing at all comes up, but he just can’t be bothered and would rather sleep in that day. Men are committed to a relationship and put you before themselves at least some of the time. Boys do whatever they want despite you.

7. He gets lazy: He stopped putting in effort months ago. You no longer get the cute texts you use to screen-shot. You have to fish for compliments because he doesn’t offer them up anymore. And “just-because” phone calls are so few and far-between you begin to doubt their existence all together.

8. He’s a hypocrite: Remember when he got mad at you because you texted him “K” that one time? Now he does it when he’s upset just to spite you. All those things you swore never to do again, and he can’t see the irony in the doing them exactly the same way.

9. He has no ambition: He’s unhappy with his present condition but won’t make any steps to fix it. I don’t think every man needs to know what he wants to be in life, but a lack of motivation in his personal life will definitely transfer over to your relationship.

10. Instead of breaking up with you, he’ll be a jerk until you break up with him: This is something only a spineless boy does. When the relationship reaches its expiration date, instead of being honest about it with you, he’d rather hang in there until you leave him. Thus, he doesn’t have to be the bad guy, and you’re the one stuck doing his dirty work.

There’s a reason girls tend to date older guys: they’re hoping to find someone who has grown out of these tendencies.

13 December, 2015

Unawezaje kutambua kama anakupenda kwa dhati?

post-feature-imageHakuna njia ya uhakika zitakazo thibitisha kuwa mpenzi ambaye uponaye anakupenda kwa dhati kutoka moyoni na hakutanii. Kwakuwa mapenzi yanakuwa ya tofauti kwa kila mmoja na hata tafsiri ya mapenzi bado ni tofauti kwa kilammoja wetu hata mimi ninaye andika haya naweza nikawa nina danganywa na bado sijafahamu. Ila kwa poit hizi unaweza ukajua kama anakupenda kwa dhati au la!

Tambua tabia ya mpenzi wako.

Tambua kama anaweza kuwa yeye kweli akiwa na wewe.

Mapenzi ni kama maigizo, Kama mpenzi wako anauwezo wa kuwa mpole, mkarimu unapokuwa kwenye umati wa watu au hata akiwa na rafiki zake basi anakupenda. Hivi ndivyo tunavyosema uhalisia wake. Kama ukiwa naye tu wawili anaweza kukufokea basi anayo mapenzi ya dhati kwakuwa hakukuaibisha mbele za wengi. Kama anaweza kushiriki na wewe hisia zake za ndani basi anayo mapenzi ya dhati. Kama yupo wazi kuonekana kawaida yaani sio kuonekana yupo sahihi masaa yote, Kuonekana ana ganda la harage kwenye jino lake nk basi anakupenda kwa dhati.

Tambua kama yupo tayari kuwa na wewe karibu hata kwenye hali mbaya.

Kama mpenzi wako amekuwa anasiku mbaya na ameonyesha furaha pale alipo kuona, na sio kwakuwa anauhakika utamsaidia bali kwakuwa amekuona basi anayo mapenzi yakweli. Lakini kama anajitahidi kuongea na wewe kwakutaka kuona hakuna tatizo hatakama lipo basi inawezekana akawa hana mapenzi ya dhati.

Tambua kama anaweza kucheza na wewe hadharani. 

Mapenzi wakati mwingine nikama utoto, Hutojali upo wapi, Je mpenzi wako anaweza kucheza na kutaniana na wewe mkiwa popote! Kama anaweza kufanya hivyo basi huyo anakupenda. Kumbuka anafanya hivyo sio kwaajili ya mauzo bali kwaajili ya kuonyesha anakupenda. Kama anafanya hivyo kwaajili ya mauzo basi hakupendi.

Tambua kitu anacho kisema.

Angalia kama anapenda kuzungumzia juu ya ndoto za kuwa na wewe pamoja baadaye.

Kama mpenzi wako anakupenda, Basi wazo lakuwa na wewe maishani halitajificha. Kama unakaa naye asubuhi hadi jioni, mnatoka kula naye bata, na mishe zote yeye anazungumzia kuwa na gari zuri, nyumba nzuri lakini haja wahi kuzungumza kuwa na wewe kwenye maisha ya baadaye basi hana mapenzi juu yako na anakupotezea muda.
Kama mtu anaongelea juu ya ndoto zake na anakujumlisha wewe kwenye mawazo yake hayo basi hayo ni mausiano mazuri.

Angalia kama mpenzi wako anasema 'Nakupenda/I Love You' na anamaanisha.

Elewa kuwa kunatofauti kubwa kati ya 'Love ya!' na 'I love You.' Kama amekuwa akitamka neno hilo sahihi na kukutazama machoni bila ya kuonyesha dalili yakuhitaji kitu kingine  kwako zaidi ya kuwa na wewe, Basi anakupenda kwa dhati.

Angalia kama mpenzi wako anaongelea namna alivyo ku miss muda haupo.

Kama wewe na mpenzi wako mekuwa mbali na bado anapata muda wa kukupigia simu, kukutumia sms, kukutumia e mail nk basi kuna mapenzi. Lakini kama upombali naye kwa week na hata sms hujapata basi jua hapo hakuna mapenzi!

Angalia kama anakukosoa ukkosea.

Kwenye maisha sikuzote tunaishi kwa kuelekezana pale tunapokosea, Kam aupo kwenye mausiano na ukakosea lakini hajawahi hata sikumoja kukukosoa, Basi hakuna mapenzi hapo. Lazima kurekebishana ili kutengeneza future nzuri kati yenu makosa yasirudie.

Tambua matendo yake.

Je anakusikiliza kilakitu unachosema.

Kusikilizana ni jambo lamuhimu kwenye mahusiano, Kama sikuzote kwenye mahusiano ukawa na mtu ambaye hakusikilizi na wala hataki hata kujua unazungumza nini basi hakun amapenzi zaidi ya kupotezeana muda.
Sehemu ya kuwa kwenye mapenzi sio kwaajili ya kuwa mzungumzaji tu, Bali pia kuwa msikivu.

Angalia kama anafanya mambo mazuri kwako.

Kama mpenzi anakupenda basi atafanya mazuri kwako, Mfano kuja nyumbani kwako kukuoshea vyombo, kukupikia, kukusaidia usafi nk. Lakini ukiona mpenzi wako amekuja kwako na kila akija anataka kununua chakula au mtoke mkale nje basi sio mpenzi wa kuwa naye na hana mapenzi bali anapenda mteremko.

Je anajua muda wa kukuacha ufanya mambo yako.

Ukiwa na mpenzi pia ambaye kila saa anaku sms, ana kupigia, anataka kujua upo wapi na upo na nani, Tambua kuwa hana uaminifu kwako ndio maana anataka kuchunguza na hata ukimwambia unakazi unafanya haamini. Kama anakupenda hatataka kuwa na wewe masaa yote ila atakupa muda na wewe ufanye shughuli zako za msingi maisha yasonge. Usimlinde mpenzi wako bali mpende mpenzi wako.

Angalia kama anakuunga mkono.

Kama anakupenda, hata kuwa na wewe wakati wa raha na kujirusha tu, Bali atakuwa kila unapohitaji masaada wa kufikia malengo yako nakusonga mbele kwenye maisha bila kujali kam autamzidi kwa kipato, elimu nk baada ya hapo.



TENGENEZA KIPATO KUPITIA INTERNET KWA KUTEMBELEA >>>HAPA<<<

09 December, 2015

Hata kama anakupenda sana hawezi kukwambia ukweli kuhusu haya mambo

post-feature-imageZile habari za nakupenda, nakupenda pia kila mtu anajua siku hizi na  ni kawaida kwa miaka ya sasa, kuitana baby, hubby,sweet,mpenzi, mahabuba na majina mengine mengi sio lazima niyataje yote, ila unajua huyo mahabuba wako hata kama anakupenda vipi kuna vitu hawezi kukwambia ukweli, kuna vitu katika mahusiano watu huwa wanafichana na hata kama mnaambiana basi mnadanganyana.

Mahusiano yako ya nyuma
Ni vigumu sana wapenzi kuelezana historia zao za mapenzi hasa inapokuja swala la umetembea na wangapi?  Hapa kama uliambiwa umedanganywa tafiti zinaonyesha wanaume ndo wanajua kudanganya kwenye swala hili kuliko wanawake japokuwa kwa asilimia kubwa wapenzi huwa hawaambiani ukweli kuhusu watu wangapi wameshakuwa na mahusiano nao ya kimapenzi. Kwahiyo ni bora usiulize usijisumbue.

Kipato   
Hapa inakuwa shida kidogo kwani hela haina mapenzi, haina undugu na ni mara chache ukute wapenzi wanajua mishahara au kipato cha mwenza wake, wapenzi wengi huwa wanafichana na wengine hata wanadanganya kuhusu madeni waliyonayo ni kawaida sana kwa mapenzi ya sasa hasa hali ya kipato ilivyo ngumu.

Kufurahia Tendo
Wapenzi wengi hawaambiani kweli hasa wanapo kutana kimwili, kama walifurahia au walichukia, wanawake wanasifika kwa kudanganya wameridhika, ila pia wanaume huwa hawasemi kama msichana hayuko vizuri kwenye game, na ndo maana watu baada ya kuachana ndo utasikia wanachafuana oooh wewe ulikuwa kama gogo na mara ooh wewe ulikuwa kama toothpick  mambo kama hayo.

Muonekano
Kuna wakati mtu anapoteza mvuto wake wa asili lakini inakuwa vigumu kwa wapenzi kuambiana ukweli labda mtu amenenepa sana, au amekuwa na kitambi sana na hana mvuto lakini sababu ya mapenzi au uoga inakuwa vigumu wapenzi hawa kuambiana ukweli

Matumizi ya Kilevi
Kwenye matumizi ya pombe baadhi huwa wanakuwa wawazi, lakini wapo wanaoficha matumizi mengine ya kilevi kama kuvuta sigara na matumizi ya miraa au mirungi,

Hisia zake kwa mpenzi wa zamani (EX)
Wapo watu wanaingia kwenye mahusiano wakiwa bado wana hisia za mapenzi  na wapenzi wao wa zamani lakini sio rahisi kusema hayo kwa wapenzi wao,na hata wakiulizwa huwa wanadanganya. Na sio  raisi kuleta habari za mapenzi ya nyuma kwa mpenzi mpya. Ni vigumu kukwambia  anavyojisikia jua ya mpenzi wake wa zamani.

15 October, 2015

Ulishawahi kujiuliza kuna maneno gani mengine ya kumwambia mpenzi wako tofauti na ‘I love you’ ?


‘Nakupenda’ ni  neno tamu ambalo unaweza mwambia  hivyo  mpenzi wako mara kwa mara lakini si neno pekee ambalo watu wengi wanapenda kusikia mara kwa mara. Yapo mambo mengi ya kumwambia mpenzi wako apate amani, hii inajenga upendo na  Heshima kati yenu.
  1. Mwambie Anaweza:
Kuna wakati tunapitia mambo magumu sana katika maisha na watu wanakata tamaa ya maisha wanakosa uthubutu wa kujaribu tena na tena, kama amefeli mtihani,amepata ajari ya gari, amepata hasara ya kibiashara mwambie “baby you can” mwambie anaweza kuendelea na maisha yataendeleea mtie moyo hii itamfanya ajiamini na kuona thamani yake kwako.

  1. Unanivutia
Mwambie ni kiasi gani anakuvutia, mwambie alivyo mrembo/mtanashati  mueleze ni kiasi gani unakuwa  na furaha akiwa karibu nawe, hii itamsaidia mpenzi wako kujiamini.  Msifie mpenzi wako  kwa suti au tai yake mpya , msifie msichana  kwa kiatu chake na gauni lake zuri kabla hajatoka nyumbani sababu anaweza akasifiwa na wengine, kwahiyo kuwa wa kwanza kumpa sifa hizo atajisikia wa fahari.

  1. Unajivunia kuwa Nae
Mambo yanaweza yasiwe vile mnavyotaka wakati wote, kuwa karibu na mwenza wako  na umuelezee ni kwa kiasi gani unajivunia kuwa nae, nafasi yake katika maisha yako na umuhimu wake ni faraja kwako, mueleze na umuonyeshe pia matendo yanaongea zaidi ya maneno.  Mwambie “am proud of you”

  1. Omba Kutoka Nae.
“Let’s go out”  hapa wasichana wengi huwa wanasubiri watoke na wapenzi wao mpaka waambiwe au mpaka mpenzi wake apange kutoka nae, chukua nafasi ya kumtoa  mpenzi wako mara moja moja na ugharamie huduma zote za siku hiyo, kama ni safari ufukweni, hotelini au migahawa mjini. Kama msichana kuwa tofauti na wale wasichana wanaosubiri kila siku ofa za mpenzi, kuwa tofauti usisubiri mpenzi wako akutoe, mtoe wewe siku moja.

  1. Msamaha
Uwe mwepesi wa kusema neno samahani kila mara, kuna kukoseana mara kwa mara kuwa wa kwanza kuomba msahama hii itapunguza hasira za mapenzi wako na malumbano pia hayatapata nafasi, hii itasaidia kuhimarisha mahusiano ya muda mrefu.

24 August, 2015

Je unataka ndoa yako iwe na mvuto?


Je ungependa kuwa na ndoa thabiti ?
Jifunze kugawanya majukumu na mumeo ama mkeo hapo nyumbani.
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kuwa kugawanya majukumu ya kuwalea watoto kati ya mume na mke kunaimarisha joto la mapenzi nyumbani.
Utafiti huo uliofanyika miongoni mwa familia 487 nchini Marekani umebaini kuwa kugawanya majukumu ya kuwalea watoto na mahitaji mengine hapo nyumbani kati ya mume na mke kunasaidia kuimarisha uhusiano baina yao na hivyo pia kupalilia cheche za mahaba kati ya wanandoa.
Katika nyumba ambamo baba na mama wanasaidiana kuwalea watoto kuwalisha kuwavisha kugharamia mahitaji yao utafiti uligundua walikuwa wakishiriki tendo la ndoa kwa kiwango kikubwa zaidi ya wale ambao majukumu yote yaliwachiwa mwanamke.
Hata hivyo waligundua kuwa iwapo majukumu yote aliyatekeleza mume tofauti ilikuwa ndogo sana.
Utafiti huo wenye jina '' 2006 Marital and Relationship Study'', ulitolewa kwa kongamano la wanasaikolojia nchini Marekani na kuonesha kuwa katika ndoa ambazo mwanamke alitelekezewa majukumu na akasalia kuwajibikia asilimia 60% ya majukumu ya kuwalea watoto, wanawake hao hawakuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yao binafsi katika ndoa.
Hii ni kumaanisha kuwa iwapo mama mzazi ndiye anayewalinda wavisha walisha na kutunga sheria za hapo nyumbani mara nyingi ifikapo wakati wa kuwa mwanamke huwa hawezi kujituma kumridhisha mumewe katika hali ya maisha ya unyumba.
Dr Daniel Carlson, naibu profesa katika chuo kikuu cha Georgia State , anasema;
"jambo ambalo tulishangaa hata nasi ni pale tulipogundua kuwa wanawake walishindwa kutekeleza majukumu ya unyumba wakiwachiwa asilimia kubwa ya majukumu ya malezi ya watoto''
Sasa wasomi hao wameanza kuweka mikakati ya kuendelea na sehemu ya pili ya utafiti wao ilikujibu swali kwanini ndoa zenye wachumba waliogawanya majukumu yana mshiko zaidi haswa ikija katika swala la unyumba na hususan tendo la ndoa ?Profesa Sir Cary Cooper, wa kitivo cha Biashara cha chuo kikuu cha Manchester anasema kuwa uchunguzi huu unatilia pondo dhana iliyokuwepo tangu miaka ya nyuma kuwa mwanaume mwenye kujali watoto wake anatunukiwa penzi la ziada na mwanamke.

26 July, 2015

Forgetting Your Past Love and Move On

Forgetting Your Past Love and Move OnFRANCIS MAWERE
Many of us fall in love and maybe this person who we love and are trying to show our love for all people do not deserve what we are doing and do not even care so am gona share few simple steps that will help each one of you to forget this love and move on to find who deserve your love….


Step1
Do not feel that you are alone there is a lot of people that really love you and care about you.
Step2
Of course you will remember him after all you can not control your heart but take sometime alone and think of what you are really love about yourself remember those time which you have standup for yourself on them and start to have the positive energy from this kind of situation.
Step3
Do not give-up do not be the week girl the feeling of love is so strong and so great but you do not know what this man have in his mind ,well maybe you have a pure soul but he is not you can tell if he is playing or he love you from the look in his eyes .
Step4
Be the strong girl be the first girl who say no no no am not a toy in your hand am a woman with a great mind so why every time you see me you see the eye liner in my eyes and do not see my mind?
Step5
Take a moment relax and see who you really are and do not underestimate your self in any circumstances the who really love you he will love you as you are without changing anything.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...