1. Huzuia mtoto kuzaliwa na matatizo kama mgongo wazi na mdomo na pua kuwa na uwazi uliongana( mdomo sungura)
2. Hupunguza uwezekano wa mtoto kuzajiwa njiti yaani kuzaliwa kabla hajafikisha mienzi 8 tumboni kwa mama. kutokana na kutokuwa na madini ya chuma ya kutosha mama anaweza pata tatizo ili ila kwa sababu spinach ina madini ya chuma ya kutosha yaani folic basi huweza kuzuia shida hii.
3. Huzuia kupata tatizo la upungufu wa damu hii ni kutokana na spinach kuwa na madini ya folic na chuma yanayoongeza damu mwilini.
4. Husaidia katika utengenazi wa mapafu ya mtoto. inakemikali inayoitwa beta-carotene ambayo hubadilishwa kuwa vitamini A hii ndiyo hutumika kwa ajili ya uundaji wa mapafu ya mtoto.
5. Hutibu tatizo la haja kubwa kuwa ngumu kwa kuwa spinach ina nyuzi nyuzi kiitaamu huitwa fiber ambazo hulainisha choo na kupunguza maumivu.
6. hupunguza maumivu kwa kutumia chemicali yake inayoitwa glyco-lipid ambayo huzuia maumivu katika sehemu za miguu na misuli.
7. Huwastanisha msukumo wa damu mwilini kwa kutumia kemikali yake inayoitwa nitrate.
8. Huweka kinga ya mwili wa mama mjamzito imara kwa spinach ina vitamin C hivyo hutapata yale maradhi ya lazima kwa mama mjamzito.
9. Huwezesha utengenezaji bora kwa mifupa ya mtoto kwa sababu spinach ina madini ya kalishamu ambayo hujenga mifupa ya mama na mtoto.
Be blessed jmn,,,uwe na maisha marefu uzidi kutusaidia
ReplyDelete