28 May, 2016

Video: Makomando – Sasanuvo

Video mpya ya wasanii Makomando wimbo unaitwa “Sasanuvo”, Video imeongozwa na Msafiri Shabani kutoka kampuni ya Kwetu Studio

Week End-Movie: X-Men Apocalypse

Since the dawn of civilization, Apocalypse was worshipped as a god. He was the first and most powerful mutant from Marvel’s X-Men universe, and amassed the powers of many other mutants, becoming immortal and invincible. Upon awakening after thousands of years, he is disillusioned with the world as he finds it and recruits a team of powerful mutants, including a disheartened Magneto (Michael Fassbender), to cleanse mankind and create a new world order, over which he will reign. As the fate of the Earth hangs in the balance, Raven (Jennifer Lawrence) with the help of Professor X (James McAvoy) must lead a team of young X-Men to stop their greatest nemesis and save mankind from complete destruction.

Wach The Trailor....

27 May, 2016

New Video: Billnass ‘Chafu Pozi’

Billnass ni moja kati ya maraper wanaokuja kwa kasi katiga game hii ya Hip-hop/Bongo flava na hii imedhihirika baada ya kutoa Hit songs mbili ambazo mpaka sasa zimemuweka vyema katika ramani ya Muziki hapa Bongo. Chafu pozi ni Video yake ya pili baada ya Ligi ndogo kufanya poa pia.

Video: Eddy Kenzo - Dagala

Kutoka Pande za Uganda, ni mwana muziki Eddy Kenzo na Video yake hii mpya inayo kwenda kwa jina la  Dagala. Eddy Kenzo amekua akizidi kufanya poa katika game la Muziki hapa Africa mashariki na Africa nzima kwa ujumla wake. Nikukaribishe Kukitazama Kichupa hicho "Dagala'.


Women of Now Days in Relationship need these Things.

romantic-relationship 

wWomen most of the time are driven by their emotions, the more you get in touch with your sensitive side the more you would understand that their behavior is totally normal. So don’t spend your time trying to understand them. Women are meant to be loved not understood.


 

Useful Tips

Be conscious of what you say:

Women are more likely to remember memories that have emotional significance. Be careful what you say to her in the middle of a fight, because she may never forget it. If a woman has a bad day, it will affect her mood, and her interactions.

This is exactly the time when men need to shut up and not tell her to ‘get over it’ or that it’s ‘not a big deal’ because these things stay fresh in her mind. Be understanding, be comforting, and she will feel better.

 

Use your sensitive side:

A woman’s emotions will influence her actions more than a man’s emotions would for him. As men, society teaches us to keep our feelings hidden, so we don’t acknowledge them as much, and therefore don’t act on them as women do. It has always been seen as a negative for a man to be in touch with his emotions.

For the women: this also means that if you want your man to know how you feel about something, you need to tell him. I know you might want him to figure it out for himself, but he may not be able to read it on his own. Just be straight with him.

 

Always communicate with her:

Talk to her. Next time the two of you have a disagreement or argument, do not give her the silent treatment. No matter how difficult it may be for you, you must let go of your pride and approach her for a genuine conversation. Ignoring her will only make you appear immature.

If she asks you if something’s wrong, don’t give a shrug and say “nothing.” The most important factor in any relationship is communication. If you refuse to open up, you will only make the woman in your life feel more insecure and uncertain about the relationship, and this will make her behavior seem that much more confusing.

 

 

What Do Women Want In A Relationship?

Compliment and Appreciate her:

This is probably the most important. Pay attention to your girlfriend’s appearance. Notice if she has gotten a new hair style or her nails done, and compliment her. Show appreciation for the things she does for you.

A lot of women tend to compare themselves to other women too often, usually at their own expense and end up feeling dissatisfied with their appearances as a result. If she’s down about herself , it may help to remind her of how lucky you are to have her.

Tell her how much you adore her every day! Remember that you’re not the only man in this world, there’s a man out there who will love and care for her if you don’t.

 

Prove that you love her:

What you don’t say usually matters more than what you do say. As the saying goes, actions speak louder than words. Don’t just tell her you love her, show her.

You can really show a girl you love her by being there for her whenever she needs you most. Whether she didn’t get the exam results she was hoping for, or is grieving for a lost loved one, its your job to be there for her and let her know that you are always there to support her no matter what.

It’s fine to be with her during the good times, but the true test of your love is whether you can stick it out during the bad times. Be there for her when she really needs you and she’ll have no doubt about your feelings for her and know she can trust you even when things get a little tough.

 

Spend time with her:

Take time to be a generous lover. Turn off the TV and turn on the romance. She wants to be your friend as well as your lover. Simply making time to switch off the TV, sit down, and talk with her will show that you care, to say nothing of the fact that you enjoy her company.

Try to think about her interests rather than your own . Figure out what she loves and come up with some creative ideas based on her interests and hobbies, even if they don’t interest you, do it for her and try to have fun. This can help you display your affection in ways you know she’ll appreciate most.

Most women expect their men to be in touch with their own emotions as well. Learn to open up and not keep all your feelings bottled up inside. As you continue to share your feelings with her, you will notice the bond between you growing immensely.

 

Listen to her:

Listen to what she has to say. You have probably conditioned yourself to look as though you’re listening when, in fact, your mind is somewhere else completely. It’s time to stop such disrespectful behavior and get used to giving the woman in your life your undivided attention. All you have to do is listen.

Most of the time you don’t even have to give any advice because all she wants is to know that you care. Every time she is speaking to you, make an effort to look her in the eyes. If you don’t understand something she says, tell her instead of playing along.

 

Be honest:

Be unconditionally honest with her. Telling her the truth is the best way to build a healthy and trusting relationship. If there is a habit or behaviour of hers you dont like, let her know so she could change. Even small lies to spare feelings could become problems later on.

While being honest is very important, remember not to be insensitive. Try to take her feelings into account and express your thoughts in a constructive, and not destructive way.

 

Be a gentleman:

Try opening doors for her, letting her order first at a restaurant and offering her your jacket if she’s cold. In general, you should try to make her feel both safe and respected.

You should note that being a gentleman does not mean that you should do everything for her all the time or assume that she can’t manage on her own, as she may find this disrespectful.

Even though she’s number one in your eyes, your girlfriend sometimes doubts how much you truly care about her when it comes to other girls. If you have a lot of female friends, putting her at the center of your attention should be your number one priority. Avoid flirting with them or being overly touchy with them while she’s around, as this might make her feel insecure.

 

Always keep in contact:

Never lose contact with her for an unreasonable length of time. Show her that although you’re apart, she’s on your mind. If you haven’t seen her for a few days, call her to tell her how much she means to you and that you can’t wait to see her again.

Get to know her friends and family. They are an important part of your girlfriend’s life, and you should demonstrate that you respect that. This will let your girlfriend know that you are serious when it comes to your relationship. Also make an effort to remember important dates or occasions, like her birthday or the anniversary of your first date. Women see these things as very important and you should too.

Finally, give her some space once in a while. Don’t try to be in every aspect of her life, all the time. Not spending every single day together may well make the days you do spend together a bit more special.

 

Take her advice:

Take her advice into consideration. Whether she shares her thoughts on an everyday matter or a life-changing episode, showing her that you value her input will help build a respectful, equal relationship. If she thinks a beard would look good on you, you could try it. It could add a little spice to your relationship.

Though you should not try to change yourself for another person, you should be willing to change certain unappealing habits. Compromising on certain habits will go a long way in keeping a relationship happy.

 

Conclusion

1. Remember that some women have flirtatious personalities, even when interacting with friends, so don’t assume a woman is interested in you romantically just because she is being friendly or polite.

2. Avoid talking about a previous relationship with a woman you are dating unless she asks you about it. It will imply that your ex is still on your mind.

3. Accept that all women are different. Overgeneralizing can be dangerous. Don’t mistake one woman’s behavior as a universal female characteristic. Just because your sister doesn’t like sports doesn’t mean that your new girlfriend doesn’t.

4. Remember how you followed her to class, called her every night, took her out for launch? Don’t give up pursuit just because you’ve finally gotten her to date you. The relationships that will stand the test of time are the one that are founded on the idea of constant pursuit, this way things stay fun and exciting.

5. Women can be possessive sometimes. My last girlfriend made me wear her bracelet for two days. She got angry if I took it off. So I had no other choice. Which was a little awkward because people began to think I was gay. So don’t be confused if something like this happens or if she gets upset when you talk with your female friend for too long on the phone, it’s a love-thing, you don’t have to understand it .

25 May, 2016

Music: Raymond – Natafuta Kiki

Kutoka WCB wanatuletea  Natafuta Kiki ngoma iliyo imbwa na  Rymond, ngoma hii imetoka baada ya Ngoma ya msanii huyo iliyo julikana kwa jina la Kwetu kufanya poa zaidi katika Game la Bongo flava. Ngoma hii imetengenezwa katika studio za Wasafi Records.

New Audio: Hakeem 5 – Mawenge

Hakimu 5, ni miongoni mwa wasanii waliovuma kipindi cha nyuma na kupotea ghafla katika game la Bongo Flava, na leo katuletea ngoma inayo kwenda kwa jina la Mawenge. Audio hii imetengenezwa na Producer T-Touch.

Abert Mangwea Mkali wa Free-style aliye ondoka na Kipaji chake.

Hakika hujafa hujaumbika, na Mwanadamu ni uvumbi na atarudi mavumbini, Kifo na mauti havitokwepeka kwa mwanadamu/ama kiumbe chochote chenye Uhai hapa ulimwenguni.

Ikiwa week hii ni week ya kumkumbuka mkali Albert Mangea(a.k.a Mimi), yapo meengi yamepita tangu kuondoka kwake, na hasa katika game hili la Muziki wa Bongo Flava, wapo wasanii wapya pia katika game hili na muziki huu umekua na kukua kweli kweli na natamani mkali huyu ange kuwako katika enzi hizi, sipati picha.

Historia yake Kwa ufupi..

Alizaliwa na jina la Albert Keneth Mangwair mnamo tar. 16 Novemba, 1982, Mbeya, Tanzania. Kiasili, ni mtu wa Ruvuma, yaani, ni Mngoni. Lakini alizaliw mjini Mbeya na akiwa na umri wa miaka 5, familia yake ilihamia mjini Morogoro kikazi na hatimaye kuanza masomo ya msingi hukohuko mjini Morogoro hadi darasa la 5 na kupata uhamisho wa kwenda Dodoma ambapo aliweza kujiunga na shule ya msingi ya Mlimwa. Kisha baadaye shule ya Sekondari ya Mazengo na Chuo cha Ufundi cha Mazengo.

Katika ngazi ya familia, yeye ni mtoto wa mwisho (kwa baba akiwa mtoto wa 10) - na (kwa mama akiwa mtoto wa 6). Albert alifariki dunia mnamo tar. 28 Mei katika mwaka wa 2013 kwa hicho kinachoaminiwa kwamba alizidisha kipimo cha dawa za kulevya huko nchini Afrika Kusini. Ngwair aliacha mtoto mmoja.

Kazi na Muziki..

Ngwair alikuwa akiishi jijini Dar es Salaam, Tanzania ambako alikokutana na mtayarishaji mahiri wa mziki P. Funk Majani na kuanza kufanya naye kazi. Hiyo ilikuwa ni mwaka 2003 ambapo alitoa kibao cha kwanza kiitwacho 'Ghetto Langu,' wimbo uliompatia umaarufu mkubwa sana.

Mangwair pia aliwahi kushinda tuzo ya Kilimanjaro Music Awards kama mwana Hip Hop Bora wa mwaka 2005. Mwaka wa 2007 akatokea kwa wimbo wa kimya kimya akiwa na wana chemba. Katika Kimya Kimya anapagawisha.Zipo nyimbo nyingi ambazo Mangwea alitisha nazo kama Vile Gheto langu, Mikasi, CNN, she got gwan, Dakika moja, Mungu Nisamehe, na pia alipata colabo zilizo hit kama ile ya May Baby yake Quick Raka, na nyingine kibao.

Kifo na mauti...

Albert Mangwair alifariki tarehe 28/5/2013 akiwa huko Afrika ya Kusini. Taarifa zinasema alifariki baada ya kutumia madawa ya kulevya lakini kuna utata kuhusu kilichosababisha kifo cha marehemu, licha ya baadhi ya mitandao mbali mbali kuandika chanzo cha kifo cha mkali huyu ila baadae iligundulika kwamba alilewa kupindukia ilhali hakua amekula.(Rest in peace Mangwea).

 Pengo la mangwea katika Bongo Flava/Jamii...

Hakika itachukua Muda mrefu kwa pengo lake kuzibika ama hata Pengo lake kutozibika daima maana kipaji chake na mtazamo wake ulikuwa ni wa hali ya juu mno. Mashairi yake yaliburudisha, Kuelimisha jamii. Mchango wako utakumbukwa na wengi wakubwa ama wadogo, Muziki wa bongo Flava utakukumbuka kwa mchango wako mkubwa uliokua ukiutoa ili mradi tuu uone muziki huo ukisonga mbele na kukua.

Tizama Moja kati ya Video ambayo mimi naipenda kutoka kwa Mkali huyu wa free style( Kimya kimya)


Utakumbukwa na wana kibao, washkaji zako wakina J-Moe, Wana Chemba, T.I.D, Bongo Records na wengine kibao ambao walikuepo kipindi ukiwa china na hata kipindi ukiwa nazo(Marafiki wa dam dam). Mashabiki zako Tutakukumbuka kwa ngoma zako za kinyamwezi na Flow zenye mautam na zaidi ya yote tutazikumbuka zile shows zako.

Naamini ngoma zako zikipigwa club yeyote bado mzuka utakua ule ule daima.

 PUMZIKA KWA AMAN MANGWEA, MBELE YAKO NYUMA YAKO.

Video: Adele – Send My Love (To Your New Lover)

 Mwana muziki Adele katuletea tena Video mpya inayo kwenda kwa jina la “Send My Love (To Your New Lover)” na hii ni baada ya kufanya Vyema katika Bilboard Music. Ni video nzuri, kwa maana kwamba ni simple Video ila inavutia.

Download : Young Killer Ft. Mr Blue - Kumekucha


   

Ni young killer tena akiwa na Mr Blue wanatuletea ngoma inayolwenda kwa jina la Kumekucha. Hii ni ngoma mpya ambayo imemrudisha Young killer katika level zake baana ya kukaa kimya kidogo.

23 May, 2016

Timu za mitandaoni zisiwe chanzo cha kuiangusha Bongo Flava.


 


Leo nimepanda hapa MTOKAMBALI nikiwa na jambo moja tuu lakuzungumzia. Kwa muda mrefu sasa tangu muziki wa Bongo flava kuanza kujulikana kimataifa, kumekuwako na timu tofauti tofauti katika mitandao ya kijamii na hata huku mitaani ambazo zimekuwa ziki support baadhi ya wasanii na kuponda wasanii wengine ambao ni wapinzani. 

Jambo hili linaonekana kuvuka mipaka kwa sasa maana chuki imekuwa ikionekana kati ya makundi hayo kana kwamba ni majeshi ya nchi fulani yakipigana na majeshi ya nchi nyingine.

Ifahamike kwamba, Muziki huu wa Bongo Flava bado ni mchanga(Mdogo) na zaidi ya yote ni yatima. Nasema hivyo kwa maana ya kwamba bado hatuja fikia pale tunapo takiwa kufika kama vile pale walipo fika wenzetu Nigeria, Uganda, Africa kusini na mataifa mengine ya Africa yenye Muziki unao watambulisha, licha ya Baadhi ya Wasanii wa hapa nyumbani kuonyesha kufanya vizuri kimataifa na kitaifa.

 Wasanii wa hapa nyumbani wamekuwa wakipambana vilivyo kila kukicha ili kuufanya muziki huu kufika pahala stahiki ila kuna baadhi ya watu hawapendi kuziona jitihada hizo na badala yake wamekuwa wakiwarushia vijembe wasanii hao na kutowapa support.

By the way simaanishi kwamba hawapewi support, ila suport inayo tolewa ni ile inayotoka upande wa team yake na ile kidogo inayo toka kwa wale wasio na team. Unaweza ukanipinga katika hili ila huu ni ukweli, na Ukiona hali hii haipo kwako, basi tambua kwamba huna team( ha ha haa).

 Lengo langu mimi ni kwamba, hizi team zilizoko kwa sasa zitambue ya kwamba muziki huu wa Bongo Flava ni wetu sote, hajalishi ni msanii wa team ipi ama ipi anaye imba, wote wanaimba Bongo flava. Na sioni haja ya kuwa na chuki katika hili maana Muziki sio vita wala ugomvi. Muziki ni dawa, muziki ni Faraja na Muziki ni Burudani tosha na zaidi ya yote muziki ni darasa huru katika jamii.

Nashangaa eti leo hii mtu ana dhiriki kumtukana msanii wa team ya pili pasipo kutambua ya kwamba hata huyo msanii wa team yake asinge hit kama huyo wa team pinzani asinge kuwako. Huu ni ulimbukeni usio kuwa na sababu na kama ni hivyo basi hakuna haja ya Wasanii hao kuimba bongo flava na badala yake kila team iunde style yake ambayo itatumika kama identity ya msanii huyo. mfano Team XXX watengeneze muziki wa aina yao na Team YYY wawe na yao na Tuiche bongo Flava yetu ikidunda kwa raha zake.

Ni hayo tuu kwa leo, ila tafadhali sana, heshima ya Bongo Flava iwepo. Bongo flava imeanzia mbali, tangu enzi za Kina marahem Complex, Mr two(sugu), sogy dogy, makundi kama vile East Coast team, watengwa, Dojo na Domo Kaya, Daz Nundaz na wakali wengine kibao walio isukuma bongo flava mpaka hapa ilipo. 

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...