Only 5 African countries have made it to the Top 30 list of Miss
World,for the Top Model challenge. These are Cameroon, Cote d'Voire,
Ethiopia, South Africa and South Sudan



Only 5 African countries have made it to the Top 30 list of Miss
World,for the Top Model challenge. These are Cameroon, Cote d'Voire,
Ethiopia, South Africa and South Sudan



MSANII wa muziki nchini Kenya, Victoria Kimani, amesema hana mpango wa
kuolewa na wanaume wa nchini Kenya kwa kuwa hawajui kukaa na wapenzi
wao.
Tanzania ni moja kati ya nchi zilizofanikiwa duniani kuratibu maabara
inayohamishika kwa ajili ya mapambano dhidi ya Ebola na magonjwa
mengineyo ya mlipuko.
Nyota wa muziki wa Pop Adele ametawala tuzo za pili za BBC baada ya
kushinda tuzo ya msanii bora Uingereza na maonyesho bora ya moja kwa
moja. Mwanamuziki huyo hakuweza kuhudhuria sherehe hiyo,lakini alituma
ujumbe unaosema nimefurahi sana, nilitoa muziki wangu mpya hivi
karibuni.


Upasuaji umepangwa kufanyika kwa mara ya kwanza kupandikiza uume nchini
Marekani, kwa lengo la kuwasaidia mpiganaji wa zamani. Upasuaji huo wa
saa 12- utahusisha ushonaji wa neva muhimu na mishipa ya damu kwa ajili
ya kutunza mkojo na kumuwezesha mgonjwa kufanya tendo la ngono.KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...