Mwanamuziki Diamond Platnumz anazidi kufanya collaboration na wanamuziki kutoka nje ya nchi ambapo wakati huu amefanya na mwanamuziki kutoka Zimbabwe , anayefahamika kwajina la Jah Prayzah. Kumbuka kushare ngoma hii na wana kitaaa kwa kadiri uwezavyo. >>>Bofya ku Download Music: Jah Prayzah Ft. Diamond Platnumz – Watora Mari.<<<<
Mwanadada mwenye sauti murua na Hit-maker wa Na yule, Forever na nyingine kibao, safari hii katuletea Je Utanipenda ikiwa ni cover song yake Diamond. Sikiliza hapa alafu toa maoni yako na Kumbuka kuwashirikisha wana kitaa kwa kadiri uwezavyo.