17 April, 2015

Kanye West azindua biblia yake


Hujulikana sana kwa maringo yake,lakini kwa kweli Kanye West asingekufuru na kujitambulisha kama mungu katika biblia hiyo.
Kitabu hicho kitukufu kimebadilishwa na kuwa Biblia ya sasa kwa jina ''Yeezus'' na amini usiamini kila neno la Mungu katika kitabu hicho limeondolewa na

hizi Story 8 kutoka kwenye Magazeti ya leo Tanzania April 17.

headlines-that-work
HABARILEO
Serikali imewasimamisha kazi katibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini(TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu.
Waliosimamishwa ni pamoja na Mkurugenzi Mtendaji, Kipallo Kisamfu, Mhandisi Mkuu wa Mitambo, Ngosomwile Ngosomiles, Mhasibu Mkuu, Mbaraka Mchopa, Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Jasper Kisiraga na Meneja Mkuu wa Manunuzi wa kampuni hiyo,Ferdinand Soka.

Imeripotiwa ajali nyingine ya Hiace Mbeya, Kamanda wa Polisi kathibitisha vifo vya watu–

CondolenxesBado hatujaisahau ajali ya basi la Majinjah Express iliyotokea eneo la Changarawe Iringa, watu 50 walifariki.. zikafuatia nyingine ikiwemoya basi jingine la Nganga Express ambayo nayo watu 15 walifariki, isikitisha wengi pia, wote waliofariki ilibidi wazikwe  kwenye kaburi moja kutokana na miili ya marehemu kuharibika kutokana na moto ambao uliunguza basi hilo.

16 April, 2015

NI Lord Eyez na Ray C Tena.......

Ray-C-and-Lord-Eyez

Rapa wa Kundi la Weusi amefanyiwa mahojiano na Clouds Fm nakusema amefanya kazi na mpenzi wake wa kitambo ambaye ni msanii wa bongo fleva Ray C.
Lord Eyez amethibitisha kuwa wimbo umepewa jina ‘Matatizo’ na umefanyika studio za Mangugu Digital na Producer Shaqee. Wimbo una stori kuhusu mambo tofauti tunayopitia kwenye maisha.

Noorah amemtambulisha huyu kama msanii mpya wa Chemba Squad.

one six
Msanii wa Chemba Squad Noorah ambaye kwa sasa anamatatizo ya kifya ndio maana hajafanya kazi za muziki wa muda mrefu amemtambulisha Rasmi msanii One Six kuwa ndio Msanii mpya wa kundi lao la Chemba Squad.
Chemba Squad linaundwa na  Noorah Na Dark Master baada ya kuondokewa na wasanii wao Mez B Na Albert Mangwea.

BACK IN THE TIME JOSLIN


Image result for wakali kwanza Wakati mwingine inabidi wasanii wetu hapa nchini wanapaswa kutizama walipotokea haswa pale msanii anaposhindwa kufanya vile vitu ambavyo alikua akivifanya enzi za uwezo wake hii inadhirika na ipo wazi yakwamba walikuepo wasanii kama wakali kwanza ambao walifanikiawa kuliteka soko la muziki hapa bongo ingawaje muziki haukuwa na dili kubwa kama ilivyo sasa.

Mapacha watano wa kike wamezaliwa Marekani

Mapacha watano wa kike wamezaliwa Marekani katika hospitali moja ya wanawake mjini Texas Houston.Wauguzi katika hospitali hiyo wanasema kuwa uzazi huo kutokana na mimba moja ni rekodi mpya ambayo haijawahi kutokea Marekani.

KAMA ULIKOSA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI 16 CHUKUA TIME YAKO KUJUA NN KIMETOKEA MAGAZETINI LEO.

topp
NIPASHE
Serikali imepunguza idadi ya masomo kutoka saba hadi matatu kwa wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la pili lengo likiwa ni kuboresha mfumo wa elimu nchini.
Masomo ambayo wanafunzi hao watatakiwa kuyasoma ni Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.

Majibu ya DNA Test Aliyoifanya NAY WA MITEGO Kubaini Kama Mtoto Aliyezaa na SIWEMA ni Wake Ama Laa Yametoka..Majibu Haya Hapa


Image result for NAY WA MITEGONay aliingia kwenye utata huo takriban mwezi mmoja uliopita baada ya kupishana kauli na Siwema ambaye alimfumania akiwa na mwanaume mwingine nyumbani kwake, jijini Mwanza na kuamua kumchukua mtoto kisha kuishi naye jijini Dar kwa msaada wa mama yake mzazNay aliingia kwenye utata huo takriban mwezi mmoja uliopita baada

LIGI KUU BARA KUENDELEA TENA HAPO KESHO

Image result for LIGI KUU BARALigi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea kesho siku ya ijumaa kwa mchezo mmoja, wenyeji timu ya Stand United watawakaribisha maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
 Ligi hiyo ya Vodacom itaendelea kutimua vumbi siku ya jumamosi  kwa michezo mitatu, mjini Morogoro wenyeji Polisi Morogoro watawakaribisha Ndanda FC kwenye uwanja

Lil Wayne ameshtakiwa na dereva wake, sababu kubwa ipo kwenye hii stori

Lil WayneInaonekana rapper Lil Wayne atatumia muda wake mwingine ndani ya mwaka 2015 kwenye chumba cha Mahakama manake headline ya sasa ni yeye kashtakiwa na dereva wake wa zamani.

BALOTELI MCHEZAJI BORA WA MWAKA...

baloteli 6
Mashabiki wa Man united Na Arsenal wamkejeli Baloteli kwa kumpigia kura ya mchezaji bora wa mwaka wa Liverpool.Mashabiki wa Liverpool watampigia kwa kutumia mtandao wa klabu yao.
Balotelli alisajiliwa kwa paundi million 16 akitokea Ac Milan majira ya kiangazi.
Amefunga magoli manne katika mechi 25 zote alizocheza Liverpool.

mapenzi moto moto,Meek Mil na Nicki Minaj wapiga hatua nyingine.

Picture-211-300x300
Rapa Nicki Minaj amewapa mashabiki wake kitu cha kuongelea weekend hii baada ya kuweka picha akiwa na mpenzi wake Rapa Meek Mil huku

15 April, 2015

Staa wa filamu Bongo Wema Sepetu na Mtangazaji Penniel Mwingila ‘Penny’ wajiunga kufanya filamu ya pamoja

STAA wa filamu Bongo, Wema  Sepetu na Mtangazaji Penniel Mwingila ‘Penny’ ambao wote kwa nyakati tofauti wamewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuona habari za mwenza wao huyo wa zamani akiwa na mpenziwe mpya, Zali zinapamba moto kila siku, wameibuka na kudai

MTIBWA WAIFUNGA PRIZON YA MBEYA....

AME ALLY1
BAADA ya kufungwa mechi mbili kanda ya ziwa, mabao 2-1 na Kagera Sugar, 1-0 dhidi ya Stand United na sare ya 1-1 ya mwishoni mwa wiki iliyopita dhidi ya

KAMA UNATAKA MAISHA YAKO YAWE MAZURI ACHA UOGA WA KUTHUBUTU.

Success-quotes-16428993-640-480[1]
“Kuzaliwa Masikini Sio Kosa Lako, ila Kufa Masikini ni Kosa Lako Kubwa Sana”Msingi wa kufanikiwa ni kuthubutu kufanya jambo fulani kwa mfano kufungua miradi, kufanya biashara, kusoma kwa bidii na mambo mengine kibao.
Ngoja nikuulize tena, maana najua utakua ushaulizwa hili swali mara nying, Hivii unatamani kuishi au uwe kama nani ? wengi wetu mtasema natamani kuishi maisha mazuri na bora.

JEANS MRARUKO KWA WAKAKA


Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE
ZICHEK HAPA MWANANGU...IMG-20150413-WA0040VERY SIMPLE STYLE BUT GOOD LOOKING....

Shamim 8020fashion's new look


 

Using great choices from the Glamorous Fashion store and Viatuzi,Shamim who is a fashion blogger for 8020fashions looks amazing in this new look

MAYWETHER KUACHANA NA NGUMI.

floyd-1428054377
Siku zinazidi kukatika kuelekea pambano lenye thamani kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani, wengine wanaliita pambano la karne baina ya bondia asiyepigika Flody Mayweather  na Manny Pacquiao litakalopigwa mei pili mwaka huu Las Vegas Marekani.

KAMA ULIKOZIKOSA STORY ZA MAGAZETINI HIZI HAPA MWANANGU....

 local
JAMBOLEO
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Matata Sheba mkazi wa Tungi Manispaa ya Morogoro amenyofolewa sehemu za siri  na kuliwa na mambo wakati akioga mtoni.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Diwani wa kata ya Tungi, Deogratius Mzeru alisema Sheba alikwenda mtoni kuoga gafla alitokea mamba na kumg’ata.
Alisema

14 April, 2015

Flaviana Matata kaibuka tena kwenye MAGAZINE ya Kimataifa, kingine kuhusu yeye ni hiki..

Flavi
Mwanamitindo wa TZ ambaye yuko kwenye HEADLINES za Kimataifa.. Nimekutana na kitu kinachohusu yeye mtandaoni, nikaona kwa sababu ni mtu wetu basi niisogeze hii ili watu wake pia waone.
Kaingia kwenye HEADLINES za Magazine kubwa duniani, BLACK ENTERPRISE ambao wamefanya nae exclusive interview, mengi kayasema hapa

Alichosema Drake kuhusu busu zito la Madonna,


Drake ametumia instagram yake kusema kuwa “Watu wasitafsiri kitendo chake vibaya ila hakutegemea kumbusu madonna ” .

640_drake_madonna_response
Kwenye tamasha la Coachella  mwanii mkongwe wa pop Madonna alikutanisha midomo yake na rapa mkubwa Drake wakiwa pamoja kwenye jukwa na kukamata attention ya watu wengi. Baada ya busu lao Drake alionekana kushtushwa na jambo hilo na

Mamake Beyoncé Knowles,Tina 61, aolewa


Mamake Beyonce Knowles,Tina 61,ameolewa kwa mara ya pili .
Tina aliolewa na mchumbake wa siku nyingi msanii Richard Lawson, mwenye umri wa miaka 67.
Wawili hao walifunga pingu za maisha katika

Zitto Kabwe Hakamatiki Afunika Morogoro...

Mamia ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wa Chama Chake Cha ACT-Wazalendo
 Viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakicheza wimbo wa chama hicho, kwenye eneo la Uwanja wa Ndege mjini Morogoro kabla kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe hajaanza....

Wanawake wanaovalia nguo nyekundu huvutia sana wanaume tofauti na wale wanaovaa mavazi ya rangi nyengine

Kulingana na utafiti huo rangi hiyo huvutia sana na pia huwashirikisha wanawake wanaobeba laptopu nyekundu.

Steven G Young wa chuo kikuu cha mji wa New York aliandika katika jarida la maadili ya kisosholojia: Ushahidi wa hivi karibuni unadai kwamba rangi husaidia katika kuwakutanisha watu wawili wanaopendana kwa kuwa raha inayopatikana miongoni mwa wanawake wakati wa tendo la ngono hushirikishwa na wekundu wa mashavu,shingo na kifua.

Wanawake wengi hupendelea kuvaa mavazi ya rangi nyekundu wakati wanapojiandaa kukutana na wanaume wanaowavutia.
Ukilinganisha na rangi nyengine wanawake wanaovalia mavazi ya rangi nyekundu huvutia sana.

Baada ya Diamond kumkataza kwenda A Kusini kujifungulia, Hii ndiyo hospitali Zari anayo endea kliniki hapa Bongo


 Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemzuia mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwenda kujifungulia nje ya Bongo pindi mambo yatakapokuwa tayari.
Habari zilizonyakwa na Ijumaa Wikienda kutoka kwenye chanzo cha ndani ya familia ya Diamond zilieleza kwamba, tayari jamaa huyo amemuanzishia

kutoka MAGAZETINI leo APRIL 14

Image result for tuesday news 
NIPASHE
Utafiti uliofanywa na Benki Kuu ya Dunia kwa robo ya kwanza ya mwaka kuhusu hali ya kiuchumi barani Afrika, umeonyesha kuwa Tanzania ni kati ya nchi barani humo  ambazo bado zipo imara kiuchumi ndani ya kipindi hicho.
Hata hivyo,

WAJUE WACHEZAJI HAWA WANAOTESA ULAYA ILA ASILI YAO NI AFRICA

1Mario Balotelli
Mario Balotelli anacheza mechi za kimataifa na the Azzurri na amefanikia akufunga mara 13 kwenye mechi 33 alizocheza. Mambo haya angeweza kuyafanya akiwa na timu ya taifa ya Ghana kwa sababu wazazi wake ni wazawa wa nchi hiyo.

12 April, 2015

Dawa za kulevya:Nelly mashakani


Mshindi wa tuzo ya Grammy mwanamuziki Cornell Haynes ama kwa jina maarufu Nelly amekamatwa na shtaka la mihadarati baada ya polisi kusimamisha basi alilokuwa akisafiria mjini Tennessee nchini Marekani.
Alikamatwa kwa kuwa basi hilo halikuwa na vibandiko halali kabla ya kuchunguzwa kutokana na harufu ya bangi iliokuwa ikinuka.

Justin Bieber akamatwe


Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber siku ya ijumaa akisema kuwa mwimbaji huyo alikataa kufika mbele yake kuhusiana na madai kwamba aliwaagiza walinzi wake kumshambulia mpiga picha mmoja mwaka 2013.

BAADA YA CHELSEA KUSHINDA MSIMAMO UKO HIVI


Cesc Fabregas arrives late on to convert Eden Hazard's pass and secure all three points for Chelsea at Loftus Road
Bao la dakika za usiku la Cesc Fabregas limeiwezesha Chelsea kuvuna pointi tatu katika mechi ya ligi kuu soka nchini England ugenini dhidi ya Queens Park Rangers (QPR).
Fabregas alifunga goli hilo pekee dakika ya 88′ katika mechi iliyopigwa jioni ya leo uwanja wa Loftus Road.
Ushindi huo umewafanya.....

Man United yaifunga Mancity 4-1

epl 3
Manchester United ilipanda tena katika nafasi ya tatu katika jedwali la ligi ya Uingereza ikiwa pointi moja nyuma ya Arsenal baada ya kuwacharaza mahasimu wao wa jadi Manchester City mabao 4-2.
Sergio Aguerro alikuwa wa kwanza kuiweka City kifua mbele lakini vijana wa Old Trafford walisawazisha kupitia Ashley Young .

Vikosi vinavyotarajiwa kuanza leo kwenye ‘Dabi’ ya Manchester

MoS2 Template Master
MECHI TATU ZA  MANUEL PELLEGRINI 3 v MANCHESTER UNITED 0
Kocha wa  Manchester City,  Manuel Pellegrini ana rekodi ya ushindi ya asilimia 100 katika mechi zote 3 alizokutana na Manchester United tangu arithi mikoba Roberto Mancini.
Manchester City 4-1 Manchester United, Septemba 2013
Sergio Aguero alifunga magoli mawili katika ushindi wa kwanza wa Pellegrini katika mechi ya watani hao wa jadi, wakati kocha mwingine aliyekuwa anaiongoza kwa mara ya kwanza United kwenye mechi ya mahasimu, David Moyes alishuhudia Man United ikisambaratishwa.
Manchester United 0-3 Manchester City, Machi 2014 
Edin Dzeko alifunga baada ya sekundu 45 tu Old Trafford na baadaye aliongeza la pili na kuifanya City imalize msimu kwa kuichapa Man United mara mbili.
 Pellegrini labda anaweza kufikiria kumuanzisha leo Mbosnia huyo.
Manchester City 1-0 Manchester Utd 0, Novemba 2014 
Kocha mpya Manchester United matokeo yale yale. Aguero alifunga goli pekee la ushindi

MAGAZETINI APRIL 12 JUMA PILI

Image result for sunday newsMWANANCHI
Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.

Justin Timberlake na Jessica Biel

boyJustin Timberlake na Jessica Biel ni miongoni mwa mastaa ambao wapo kwenye uhusiano na kimapenzi na wamejipatia mashabiki wengi Hollywood, na sasa ni zamu yao kukaa kwenye headlines.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...