30 June, 2015

Stonebwoy ameyasema haya kuhsu Fuse ODG kutokuwepo kwenye tuzo za BET…

stb
Stonebwoy msanii wa Ghana aliebuka mshindi wa Best International Act: Africa kwenye tuzo za BET Awards 2015 alichukua time na kufanya interview na Live Fm jijini Accra kutoa shukurani zake kwa watu waliompigia kura na pia kuongelea suala ya Fuse ODG kutokushiriki kwenye tuzo hizo siku ya
Jumapili.
sarkodie-stonebwoy
>>> “kuna mapungufu kila kona na hakuna mtayarishaji wa tuzo anayepatia kila kitu kwa asilimia mia. So ilikua ni suala la kuangalia kama binafsi ungependa kwenda kwenye tuzo au la. Wewe kama msanii uliyechaguliwa una sababu ambazo haziwezi kupingwa na mtu yoyote za kuamua kama utaweza kuja kweye tuzo husika ama kupotezea”.
Fuse-ODG1
>>> “Mimi nilienda kwa sababu nilikua na sababu zangu za msingi za kuenda na naamini hata yeye alikua na sababu zake za msingi za kwa nini hakutokea siku ile. Licha ya hayo, kuchaguliwa hakumanishi kuwa utapokea tuzo, na hiyo haimanishi sisi wasanii hatu ujui mchango wetu kama wasanii”. <<< Stonebwoy.
Stonebwoy anajulikana kwa wimbo wake wa Baafira ambao ndani yake ameshirikisha Sardokie kutoka Nigeria. Nimekusogezea wimbo huo hapa chini unaweza kuusikiliza hapa mtu wangu.

Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...