29 June, 2015

Mganda aliyeshinda tuzo ya BET 2015 na vigezo vilivyotumika, viko hapa.

eddy
Msanii wa muziki wa Dance Hall kutoka Uganda Eddy Kenzo ameshinda tuzo ya Bet ya ‘Viewer’s Choice Best New International Artist’ mwaka 2015 kwenye tuzo zilizofanyika usiku wa jumapili ya 28 June 2015 kwenye ukumbi wa Microsoft Theatre huko Los Angeles Marekani.

Kenzo alikuwa akishindania tuzo hii na wasanii kutoka Afrika kusini  Cassper Nyovest, Ghana ‘Mz Vee’ na watatu kutoka Uingereza ‘George The Poet, MIC Lowry na Novelist.
Kwanini ameshinda, Video yake ya 2014 ‘Sitya Loss‘ ilitazamwa na watu milioni 7 ndani ya mwaka mmoja tu ikiwa ndio video iliyotazamwa zaidi nchini Uganda na yatano Afrika Nzima.
Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...