Good news Mtu wetu Vanessa Mdee anazidi kufanya vizuri katika chati za radio countdown kwenye baadhi ya nchi za Africa, na leo hit song ya Vanessa Mdee Nobody but me aliomshirikisha msanii kutoka South Africa K.O imeshika namba moja katika countdown ya Africa Boom Box ya Y.Fm radio iliyoko South Africa.
19 June, 2015
Hit song ya Vanessa Mdee “Nobody But Me” yachkua namba 1 huko bonden kw mzee madiba.
Good news Mtu wetu Vanessa Mdee anazidi kufanya vizuri katika chati za radio countdown kwenye baadhi ya nchi za Africa, na leo hit song ya Vanessa Mdee Nobody but me aliomshirikisha msanii kutoka South Africa K.O imeshika namba moja katika countdown ya Africa Boom Box ya Y.Fm radio iliyoko South Africa.
Download New Music: Ice Boy Ft. Barnaba - 'I Believe'

HAPA MADONA PALE NICK NIMANIJ KWENYE HIII VIDEO
Ambwene Yesayah 'AY' awashauri Diamond na Alikiba wafanya kazi pamoja

stori zote za magazeti zilizosikika leo Ijumaa June 19 2015 hapa. (Audio)
Serikali ya Tanzania inatarajia kukopa kiasi cha dola milioni mia nane za Kimarekani ili kuimarisha shilingi ya Tanzania

Tayari Tanzania imefanya mazungumzo na
18 June, 2015
Winger wa Man Untd ajisogeza karibu na aliyekuwa mpenzi wa Chris Brown’Karrueche Tran’.
Winger mpya wa klabu ya Man Untd ‘Memphis Depay’ ameonekana akiwa karibu na aliyekuwa mpenzi wa Chris Brown ‘Karrueche Tran’ kwenye picha waliyopiga pamoja.
Picha hii imezua mapya kuwa kuna uwezekano K Tran akahusishwa kimapenzi na
17 June, 2015
Video ya rapa Anatii Ft A.K.A ‘The Saga’
16 June, 2015
Ratiba ya ligi kuu England msimu wa 2015/2016 itatangazwa kesho asubuhi
Timu
kubwa za EPL, Chelsea, Manchester City, Arsenal, Manchester United,
Liverpool zinasubiri kwa hamu kuona kama zitaanza na mechi ngumu au
rahisi.
Timu mpya zilizopanda ligi kuu, Bournemouth, Watford na Norwich pia zina presha kubwa ya kuanza na miamba ya EPL.
Download New Music: Runtown feat. Wizkid – 'Bend Down Pause'

Wakati tunaisubiri Video Yamoto Band kutoka South Africa, unaweza kuicheki hii video yao nyingine.. ‘Nisambazie Raha’
Jana nilikusogezea story kwamba Yamoto Band wamepanda ndege Dar kuelekea South Africa ambako watafanya video yao ya wimbo wa ‘Cheza Kwa Madoido‘ na Director mkubwa Africa, Godfather.
Nimekutana na hii video yao waliyoiachia siku chache zilizopita, wimbo unaitwa
14 June, 2015
KAMA ULIKOSA KUTAZAMA SHOW YA KTMA 2015 HII HAPA
Subscribe to:
Posts (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
C9 Records presents STAR by Foby!. Click DOWNLOAD button bellow to download this song.
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...