Showing posts with label CELLEBZ. Show all posts
Showing posts with label CELLEBZ. Show all posts

31 December, 2015

Rita Ora na kivazi cha Ufukweni,tattoo zote zaonekana.

Mwimbaji kutoka Uingereza ameonekana kwenye ufukwe mjini Miami akila bata na rafiki yake. Rita alikamata macho ya wageni wengi eneo hilo baada ya kuonekana na kwenye kivazi cha ufukweni. Tattoo maarufu ya Rita Ora ya Plethora.
2FAFEB6E00000578-3379171-image-a-3_1451496687373 2FAFEBC900000578-3379171-image-a-21_1451497543010 2FAFEC6300000578-3379171-Sunkissed_Rita_s_various_tattoos_were_clearly_visible_as_she_rea-m-22_1451497550187 2FAFEDD900000578-3379171-Beach_babe_Rita_Ora_25_emerged_from_the_ocean_on_Wednesday_in_a_-m-1_1451497051714 2FB002D800000578-3379171-image-a-23_1451497791886 2FB002DB00000578-3379171-image-a-24_1451497799768 2FB04F9B00000578-3379171-image-a-20_1451503756690 2FB04F8500000578-3379171-image-a-21_1451503762948 2FB04FA700000578-3379171-image-a-19_1451503592560 2FB0035E00000578-3379171-image-a-25_1451498250143 2FB055CC00000578-3379171-image-a-16_1451503559948 2FB056CD00000578-3379171-image-a-32_1451504049607 2FB056D500000578-3379171-image-a-47_1451504612782 2FB057A700000578-3379171-image-a-23_1451503789624 2FB0393D00000578-3379171-image-a-44_1451504497747 2FB0589B00000578-3379171-image-a-68_1451509004281 2FB0030100000578-3379171-image-a-30_1451498664818 2FB0036900000578-3379171-image-a-29_1451498619544 2FB0037700000578-3379171-image-a-32_1451498787689 2FB0042500000578-3379171-image-a-28_1451498408334 2FB0391500000578-3379171-image-a-45_1451504545194 2FB0561900000578-3379171-image-a-15_1451503551473 2FB0584100000578-3379171-image-a-66_1451508926172 2FB0588800000578-3379171-image-a-65_1451508861126 2FB0589300000578-3379171-image-a-67_1451508963939 2FB0589800000578-3379171-image-m-64_1451508850632

Davido na Mama wa mtoto wake waingia kwenye vita nzito ya malezi ya mtoto huyo


Davido na Mama wa mtoto wake, Sophia Momodu wameingia kwenye vita kali juu ya malezi ya binti yao Aurora Imade Adeleke.
Kwa mujibu wa mtandao wa Naij.com inasemekana Familia ya Davido imemyang’anya Mama wa mtoto, Sophia Momodu binti huyo na kumfukuza kwenye nyumba ya familia hiyo huku ikimtishia polisi asirudi tena, Davido amedai sababu ya kumchukua mtoto wake ni kwa ajili ya matibabu ambayo alikuwa hayapati akiwa kwa mama yake
“On a routine hospital check, my daughter was found to be infested with massive dosage of poisonous cannabis that she contracted from the breast feeding regime of her mother’s breast. We still don’t know how much Imade was damaged by this toxic feeding and medical tests and procedures continue to rise and bemuse me and my family members. Davido ameandika kwenye ujumbe mrefu alioweka kwenye mitandao.
Siku ya jana, Familia ya Davido ilizuiliwa Airport baada ya Sophia Momodu kutuma petition mahakani ya kuomba mahakama izuie familia hiyo inayotaka kumtorosha mtoto wake nchini bila ruhusa yake, Isome Petition Hapa
Davido-Airport                                          Davido baada ya kuzuiliwa kuondoka airport.
Baada ya tukio hilo, Davido aliandika ujumbe mrefu kuhusiana na sakata hilo,
“>In 2015 May, I became the father of a love-child. DNA testing determined with maximum proof that I indeed was the father of my daughter, delivered by a head-butting casual lover, Miss Sophia Momodu.
>I met Sophia when I was barely 21 years old. She was many years older than me and was able to manipulate and exploit my youth, naivety and generosity.Sophia is the mother of my daughter, and no more ! She never would be my wife and she was never qualified for that status. Her background is very dissimilar from mine, and she has very paltry education and equally diminished physical attributes.
Cunningly, she moved into my house because she claimed she has no place to stay in Lagos and that her father is late and her mother is resident in Abuja.
>I have accepted what providence brought my way including my own personal indiscretions. But I also have been burdened by the gave lapses in the character of Sophia and have thus suffered for my daughter who I love as much as my late mother, Imade.
>As for the person of Sophia, I paid a two year rent for her apartment at Lekki and she receives a monthly allowance of 300,000 naira from me ever since Imade was born. This December, Sophia received 500,000 naira as her Allowance and Christmas bonus.
>On a routine hospital check, my daughter was found to be infested with massive dosage of poisonous cannabis that she contracted from the breast feeding regime of her mother’s breast. We still don’t know how much Imade was damaged by this toxic feeding and medical tests and procedures continue to rise and bemuse me and my family members.
Already, Imade has special needs and has been treated at the American Hospital,Dubai with all medical costs and travel expenses drawn off my personal purse ever sine she was born.
>On December 29, Imade was supposed to travel, once more, to Dubai for further medical care. A family vacation was attached to this medical trip. But our family plan was truncated by Sophia, her uncle, Dele Momodu in the company of his wife, and all these persons were the significant accessory to the Lagos Airport debacle.
>It is this incidence of December 29 that made implicitly necessary to bring my family matter to the public domain. I agree, both parents have to give simultaneous approval to the travel plans of an infant. But I do not intend for Sophia to join me on this trip as if we are going away on a spousal honeymoon. It is also fair to allow her to come along if she could pay for the costs of her own trip.
Why must I bear medical expenses for my daughter as well as the travel cost of her mum, who is neither my wife nor a friend at all? By what authority or court documents was Dele Momodu enabled to stop my child who embarked on a medical trip that would improve her wellness. I David, the father of the child was already available to attend to the child’s care? Which Agency of government, as claimed by Dele Momodu and his wife, issued the authority to deny my sister, myself, my daughter and my dad on a rightful travel plan? And what has been the financial stake of Uncle Dele Momodu over my daughter, ever since she was born.
I rented an apartment for his niece who is not my wife and I duly pay monthly charges. What has uncle Dele Momodu done for my daughter or even his niece? Momodu family also wants me to buy a car for a woman who is not my wife and also an habitual and ceaseless night crawler who is unable and unwilling to mother or even bathe her own child?
>I am 23 years old now. Sophia got me and appropriated me at 21. I have just unbridled my life from her diabolical and shameless stranglehold. She should find her own life and leave me alone. Her uncle too should help her to quit the streets and find her a career. I am not her meal ticket or ATM because she has a baby for me. I love Imade and would do everything to defend this innocent baby that is being abused by callous adults for extortion purposes.
>As for me, I feel bad that my dad, who had boarded Emirates and was already issued a boarding pass but was forced to elect not to travel anymore because his daughter and granddaughter were prevented from travelling on December 29 by the Momodus. The passports of my daughter and sister were impounded for no just cause. The airline has refused to give a refund because my dad was already allocated a seat and boarding pass. Calmly, he lost over One and half million naira for his First class ticket. What is the loss to Uncle Dele Momodu in this matter ? But more precisely, what is his gain ? But o know who the real losers are.
Our lawyers are looking into the books and digging for legal recompense. The authority used by Uncle Dele Momodu is the callous enforcement of corrupt practices in the conduct of an ordinary domestic issue. Uncle Dele Momodu has boasted about possessing certain things he knows about me and my family. I dare him to publish or perish whatever he has in his pouch, globally !”

Cheketua ya Alikiba yaongoza kuwa nyimbo iliyopakuliwa mara nyingi zaidi Mkito 2015


Mtandao wa kuuza nyimbo za wasanii Mkito umetoa orodha ya wasanii ambao nyimbo zao zimeongoza kupakuliwa mara nyingi zaidi kwenye mtandao huo mwaka 2015.
Wimbo wa Alikiba ‘Chekecha cheketua’ umeongoza kupakuliwa mara nyingi zaidi kwa upande wa nyimbo zote zilizowekwa kwenye mtandao huo, umepakuliwa mara 47,000 ikifuatiwa na ‘Mpaka nizikwe’ ya Yamoto Band iliyopakuliwa mara 34,000 na ‘Nobody but me’ ya Vanessa Mdee iliyopakuliwa mara 33,000.
Hii ndio orodha kamili ya nyimbo zilizopakuliwa mara nyingi zaidi kwenye mtandao wa Mkito 2015
Top 5 Bongo Fleva
1. Alikiba – Chekecha Cheketua
2. Ney wa Mitego  & Diamond – Mapenzi au Pesa
3. Alikiba & Christian Bella – Nagharamia
4. Mo Music – Nitazoea
5. Ruby – Na yule
Top 5 HipHop
1. Safari – Nikki wa pili Feat. Joh Makini, Gnako, Nahreel,Jux, Vanessa Mdee & Aika
2. Viza – Navy Kenzo
3. Baba swalehe – Nikki wa Pilli
4. Don’t Bother – Joh Makini Feat. Aka
5. Nusu Nusu – Joh Makini

25 December, 2015

Diddy kampatia $1 Million kwa ajili Christmas?

French MontanaOK. Maybe I am missing something here but Diddy kampatia raper French Montana kiasi cha dola milioni moja kwa ajili ya Christmas? Diddy is the boss of bosses. I am just trying to figure this out. Now look at the picture. Screen Shot 2015-12-24 at 7.09.05 PMScreen Shot 2015-12-24 at 7.09.19 PM

Adele ataka collabo na Beyonce.

adele-new-song-19oct15
Mwimbaji mwenye mauzo makubwa zaidi kwenye muziki wa pop kwa sasa duniani Adele amefanyiwa mahojiano na jarida la Time na kuweka wazi kuwa alikuwa na mpongo mkubwa wa kufanya kazi na Beyonce kwenye album yake mpya ya 25.
Adele anasema aliongea na watu wa Beyonce na walipanaga kuendelea maongezi ila haikukamilika na album ilibidi itoke. Adele pia amekata kusema nani alifanya mpaka collabo hio ishindikane ila amesema bado mipango ipo.

20 December, 2015

Shoo ya Diamond Platnumz kwenye Born2Win Concert nchini Uganda

msanii Diamond Platinum alitumbuiza kwenye tamsasha kubwa ‘Born 2 Win Concert’ jijIni Kampala, Uganda. Mbali na Diamond msanii Patoranking naye alitumbuiza kwenye tamasha hilo.

Hizi ni baadhi ya picha za Diamond akitumbuiza kwenye tamasha hilo.























Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...