Nahodha huyo wa England amepigwa picha akiwa na familia yake wakila maisha na kufurahia huku akiendesha speed boat.
Baada ya hapo, ratiba ya United
itakuwa ngumu kwani watakipiga na mabingwa wa kombe la vilabu bingwa
Ulaya klabu ya FC Barcelona na Paris Saint-Germain.
Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,
No comments:
Post a Comment