
Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh
Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo
kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa
‘serious’.
Picha ikionyesha tattoo mpya kifuani
Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile
tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la
‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila mmoja amefuta picha zao za pamoja kwenye akaunti zao za Instagram. Pia weekend iliyopita Shishi alifanya sherehe nyumbani kwake ambayo hakusema sababu ya sherehe hiyo, lakini hakuwa na Nuh na wala hakupenda kumzungumzia pale alipoulizwa na marafiki aliowaalika.
Huddah Monroe ni mwanamke anayetumia muda mwingi kusafiri katika nchi
mbalimbali na kula bata. Lakini kingine ambacho anakifanya mara kwa mara
ni kula uroda… mara tano, mara sita kwa siku?
MSANII wa muziki nchini Kenya, Victoria Kimani, amesema hana mpango wa
kuolewa na wanaume wa nchini Kenya kwa kuwa hawajui kukaa na wapenzi
wao.
Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.
Elizabeth Michael aka Lulu amewaacha mashabiki wake njia panda baada ya kuweka picha inayoonesha amevaa pete ya uchumba.


Utata kuhusiana na sakata zima la taarifa za Nuh Mziwanda kumtia mimba
mchepuko, na kusababisha vita kali kati yake na Shilole ambaye ni mpenzi
wake, limepatiwa ufumbuzi usiku wa jana katika show kali ya burudani ya
Friday Night Live.Kama ulipitwa, picha zima kuhusiana na sakata hili lilianza kwa
MSANII mwenye heshima kubwa kwenye tasnia ya filamu za Bongo, Riyama
Ally, ameibuka na kujivunia kwamba maneno machafu anayoyatumia katika
filamu mbalimbali anazocheza ndiyo yanayompa chakula cha kila siku.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemzuia mama kijacho wake, Zarinah
Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwenda kujifungulia nje ya Bongo pindi mambo
yatakapokuwa tayari.