06 August, 2016

Video: Dreezy Feat. Gucci Mane – We Gon Ride

It’s Dreezy and Gucci!
Hot off the release of her debut album No Hard Feelings, the Chicago MC unleashes the video for her Gucci Mane collaboration “We Gon Ride.”

Jose Mourinho: Wenger na Klopp hawana ''maadili'..

Mkufunzi Jose Mourinho

Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho anasema kuwa ukosoaji uliotolewa na kocha wa Arsenal Arsene Wenger na mwenzake wa Liverpool Jurgen Klopp ''hauna maadili''.

Wenger na Klopp wamelalamikia uhamisho wa pauni milioni 100 wa Paul Pogba.
''Kuna vitu ambavyo nikifanya havina maadili,lakini wengine wakifanya ni jambo la kawaida'',alisema Mourinho.
Mkufunzi huyo wa United ameongezea kuwa atamsajili mchezaji mzuri wa kiungo cha kati katika siku chache zijazo na Pogba ni muhimu.
''Kwa sasa tuna wachezaji 22,alisema.Tutakuwa na 23.Ni mchezaji wa Juve hadi pale atakapokuwa rasmi nje''.Soko la uhamisho linafungwa tarehe 31 mwezi Agosti.
''Tunajaribu kila tuwezalo kufunga soko letu la ununuzi kwa haraka iwezekanavyo''.

loading...

05 August, 2016

Video: Christian Bella – Nishike

Mfalme wa masauti Christian Bella baada ya kufanya vizuri na wimbo ‘Nashindwa’, Ijumaa hii ameachia video yake mpya ya wimbo ‘Nishike’.Tizama Video hiyo hapo chini kisha kumbuka kuwashirikisha wana kitaa kupitia mitandao yako ya kijamii
Unaweza pia Kuupakua wimbo huu kupitia Mkito. Bofya DOWNLOAD hapo chini Kuupakua wimbo huo.

Music: Jason Derulo – Kiss the Sky

Jason Derulo is flying high with his latest release.
Today, the superstar unleashed his Platinum Hits compilation, which includes the brand new song “Kiss the Sky,” where he encourages listeners to reach higher.

Guardiola: Naisubiri kwa hamu mechi ya klabu bingwa

Mkufunzi mpya wa manchester City Pep Guardiola

Mkufunzi wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amesema kuwa mechi ya timu hiyo ya kufuzu kwa kombe la klabu bingwa Ulaya ni mechi muhimu zaidi msimu huu.

Itakuwa aibu kubwa kwa klabu hiyo na meneja wake mpya iwapo itashindwa kufuzu.
Kati ya klabu tano ambazo City huenda wakakutana nazo ni klabu ya AS Roma pekee ambayo ilikutana nayo katika mechi za makundi mwaka 2014-15 ikipata sare katika uwanja wa Etihad na baadaye kupata ushindi wa mabao 2-0 katika uwanja wa Stadio Olimpiko kufuatia mabao ya Samir Nasri na Pablo Zabaleta na hivyobasi kufuzu katika robo fainali ya michuano hiyo.
City haijawahi kucheza dhidi ya Steaua Bucharest,Monaco ama Rostov ,lakini imecheza na timu kutoka Romania,Ufaransa,Urusi katika historia yao ya Ulaya.

31 July, 2016

New Video: Kanye West-Wolves


Kanye West has surprised his fans by unexpectedly releasing the music video to his new track “Wolves.”
.The six-minute long black and white video was made in conjunction with fashion house Balmain, and released on Kanye’s YouTube page on Friday


loading...

Tetesi za soka Barani Ulaya..



Arsenal wataongeza dau na kufikia pauni milioni 35 kumtaka mshambuliaji wa Lyon Alexandre Lacazette, 25, baada ya dau la awali la pauni milioni 29.3 kukataliwa na klabu hiyo ya Ufaransa (Daily Telegraph).

Arsenal pia wanataka kumsajili beki wa Torino, Bruno Peres, 26, huku klabu hiyo ikitaka pauni milioni 16.9 kulingana na (Gazzetta World).
Vilevile klabu hiyo inazungumza na Valencia kutaka kumsajili beki mjerumani Shkodran Mustafi, 24, ambaye ana kipengele cha uhamisho chenye thamani ya pauni milioni 42.1 kwenye mkataba wake (Sky Sports).

Dau la Chelsea la pauni milioni 57, kumtaka mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku, 23, limekatakiwa, huku klabu hiyo ikitaka pauni milioni 75 (Daily Mirror).
Kiungo wa Tottenham Christian Eriksen, 24, amekataa kusaini mkataba mpya, kwa sababu anataka mshahara wake wa pauni 30,000 kwa wiki kuongezwa (Evening Standard).
Nayo Swansea wamepanda dau la kumtaka mshambuliaji wa Sevilla, Fernando Llorente, 31, baada ya Bafetimbi Gomis kwenda Marseille kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, na hivyo hawana mshambuliaji rasmi kwa sasa (Daily Mail).

Wakati huohuo Leicester City wako tayari kumpa mkataba wa pauni 100,000 kwa wiki kiungo Riyad Mahrez, 25 ambaye inaaminika anasakwa na Arsenal (Daily Express).
Na hayo yakijiri Manchester United inakaribia kumsajili beki wa kulia kutoka Brazil anayechezea Monaco, Fabinho, 22 (globoesporte).

Aston Villa wanaonekana watamuuza Idrissa Gana, 26, huku Everton wakiwa tayari kukamilisha usajili wa pauni milioni 7.1 kumchukua mchezaji huyo wa kimataifa wa Senegal (Daily Mirror). Vilevile beki wa Manchester United Cameron Borthwick-Jackson, 19, huenda akaondoka Old Trafford na kwenda kucheza kwingineko kwa mkopo (Manchester Evening News).

 
Everton hawajapanda dau lolote kumtaka beki wa Sunderland Lamine Kone, 27, licha ya taarifa kuzagaa kuwa dau la pauni milioni 14 limetolewa (Sunderland Echo).

Everton wanataka kumsajili beki wa Swansea Ashley Williams, 31, ambaye huenda akagharimu pauni milioni 10 kwa mujibu wa (Daily Mirror).
Nayo Manchester City wanasita kutoa pauni milioni 50 kumsajili beki wa kati wa Everton John Stones, 22, wakitaka kutoa takriban pauni milioni 40 (guardian).
Mshambuliaji wa West Brom Saido Berahino, 22, yuko tayari kubakia katika klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika msimu ujao na aondoke kama mchezaji huru (ESPN).
Klabu ya Galatasaray inataka kumsajili beki wa Manchester City Jason Denayer, 21, na pia kiungo wa Liverpool Lucas Leiva, 29 (Daily Mirror). 
Manchester City watathibitisha kuwa Sergio Aguero, 28, atasaini mkataba mpya kabla ya kuanza kwa msimu (Daily Mail).


loading...

Je Lil-Wayne anamkubali Bi-Hillary Clinton!

When there are no ceilings, the sky's the limit," {Iwapo hakuna paa la nyumba basi ,kikomo ni mbingu},Clinton aliliambia kongamano la chama cha Democrat.

Alikuwa akizungumza baada ya kukubali tiketi ya kuwania urais kupitia chama cha Democrat.

Mashabiki wa Rapper Lil-wayne sasa wamezua uvumi katika mtandao wa Twitter wakipendekeza kuwa huenda ameshinikizwa na wimbo huo unaosema kuwa iwapo hakuna paa kikomo ni mbingu.

Hakujakuwa na tamko lolote kutoka kwa Hillary Clinton ama timu yake lakini Lil Wayne amekuwa akihusisishwa.

Amewaambia maripota kwamba yeye hana tatizo lakini akakiri kwamba hajaiona hotuba hiyo.
Baadaye alichapisha ujumbe wa kumuunga mkono mgombea huyo wa urais.

loading...

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...