09 January, 2016

VITU VYA KUJIFUNZA PALE UNAPOSHINDWA KUFANIKIWA

Tambua kwamba mafanikio hayatoki mbali na wewe, hivyo basi jitahidi sana kufanya vitu ambavyo vinakuweka karibu na mafanikio

Kutengeneza mafanikio katika maisha huchukua muda mrefu hivyo basi jitahidi sana kuangalia jinsi ambavyo unafanya mambo yako kuwa na imani kwamba ipo siku utaona nguvu zako zimekulipa.

Tambua kwamba watu waliofanikiwa hufanya maamuzi magumu, hivyo basi jitahidi kuwa na msimamo katika maisha fanya maamuzi katika kila sekta.

Jifunze kutokana na makosa pia tambua kwamba mafanikio huja baada ya kuona na kukabiliana na hayo makosa au changamoto.

Watu wanaokuwa na wewe katika mafanikio ni wengi sana ila tambua sana watu wanaokuwa na wewe katika matatizo au changamoto za maisha ni wachache na hao ndio wale marafiki zako wa kweli.

Ni vigumu kufanikiwa kwa kufanya vitu ambavyo hupendi hivyo basi siku zote fanya vitu ambavyo unavipenda kama kazi na mafanikio utayaona.

Is This Drake’s New Girl?

drake screenshotIt seems like Drake, Rick Ross, & Fetty Wap etc. have been getting around. We spot them with a different girl everyday. Hey, they could just be friends though. Drake was recently spotted at a game with CSULB volleyball player Ashley Murray. Allegedly the two go way back and she’s a girlfriend he left. We’ll keep our eyes on these two…. Amber Rose, Serena Williams, and your local stripper.
A video posted by Ashley Murray (@lelemurray) on

MAJIBU YA ZIZOU KUHUSU RONALDO KUONDOKA REAL MADRID

zinedine-zidane
Kocha mpya wa Real Madrid mfaransa Zinedine Zidane ‘Zizou’ amesema kuwa Cristiano Ronaldo katu hatoondoka Real Madrid hivi karibuni katika utawala wake na kumtaja mchezaji huyo kuwa ni ‘moyo’ wa timu.
Zinedine Zidane akiongea kuelekea katika mchezo wake wa kwanza kabisa akiwa meneja wa Madrid dhidi ya Deportivo La Coruna mchezo utakaochezwa Jumamosi January 9 amesema kuwa Cristiano hana bei yake na kwamba katu hatoondoka Real Madrid hivi punde.
Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal mwezi November mwaka jana alidokeza uwezekano wa kumrudisha Cristiano Ronaldo Old Trafford lakini akasema tusubiri kuona nini kitatokea kutokana na ugumu wa kuwasajili wachezaji wakubwa kama Ronaldo.
Cristiano Ronaldo ambaye ni mshindi mara tatu wa tuzo ya mchezaji bora wa dunia ‘ballon d’Or’ ameshinda taji moja la La Liga pamoja na ubingwa wa Ulaya na ubingwa wa dunia ngazi ya vilabu akiwa na Real Madrid tangu asajiliwe mwaka 2009 akitokea Manchester United kwa ada ya uamisho wa pauni milioni 80.
Akiwa Madrid mreno huyo amevunja rekodi ya ufungaji wa mabao iliyokua inashikiriwa na Raul Gonzalez na kuwa mfungaji bora wa muda wote katika historia ya Galacticos.

video mpya ya Pam D Ft Mesen Selekta ‘Popo lipopo’.

pam dItazame hapa video mpya ya Pam D Ft Mesen Selekta ‘Popo lipopo’, hii ni video ya pili ya msanii Pam D.

Download Music: D'Banj - 'Emergency'

post-feature-imageMwana muziki kutoka Nigeria, D’Banj anafungua mwaka kwa kuachia hii single yake mpya inaitwa “Emergency” ni single ya kwanza kwa mwaka huu wa 2016.

Hii video mpya ya Peter Msechu ‘Malava’ itazame hapa.

msechuuHii video mpya ya Peter Msechu ‘Malava’ imepewa nguvu na kampuni ya TSN Super Markets.

08 January, 2016

NEW: OLAND – ‘YOU ‘RE MINE’

New msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Mbeya, Tanzania ‘lusajo Oland’ a.k.a Oland, amabye anadai kuwa na ndoto za kutaka kufanikiwa katika muziki hasa muziki wa Hip Hop Tanzania na kufikia level za Kimataifa, ameachia wimbo wake wa kwanza ambao unaitwa “You’re mine” Track Produced by Smart Jr katika studio za “Zion record” 2016.
Oland “Naweza sema wimbo huu umekuwa wimbo wangu wa kwanza na umenipa mwanga ambao ninaimani utanivusha kutoka apanilipo nakunifikisha sehemu fulani ya mafanikio”.
Hivyo basi ukiwa kama shabiki wa muziki wa hapa home Tz tumia dakika zako kadhaa kuisikiliza hii track hapa then ukimaliza tunakuomba uendeleze suport kwa ajili ya kukuza sanaa ya “Oland” Cheers 2016.

Wavutaji sigara waonywa wasipuuze kikohozi, Yadaiwa kuwa dalili za ugonjwa hatari wa COPD usio na tiba

post-feature-imageWavuta wa sigara wameshauriwa wasipuuze kikohozi kwani inaweza kuwa ishara ya ugonjwa mbaya zaidi unaoweza kudhoofisha na hata kuhatarisha maisha ya wavutaji sigara.
Katika kampeini mpya ya kuhamasisha wavutaji sigara kuhusu athari za uvutaji sigara kwa afya yao, idara ya afya ya umma nchini Uingereza inaonya kuwa wavutaji sigara wengi hawajui hatari ya ugonjwa sugu wa pingamizi ya mapafu ama chronic obstructive pulmonary disease (COPD).

COPD, ainalaumiwa kwa kusababisha mishipa ya hewa kuwa nyembamba mno na hata kufanya wahasiriwa kukosa pumzi wanapotekeleza majukumu mepesi kama kupanda ama hata kushuka ngazi.
Takwimu zinaonyesha watu zaidi ya milioni moja nchini Uingereza wanaishi na hali hiyo.
Vilevile visa 9 kati ya 10 vinavyopatikana vinasababishwa na sigara.

COPD ni mwavuli unaoashiria jumla ya maradhi yanayotokana na kudhoofika kwa mapafu ikiwa .


Hakuna tiba

Watu wenye ugonjwa huu wanamatatizo ya kupumua, hasa kutokana na kupungua kwa uwezo wao wa kupumua na uharibifu wa mapafu.
Dalili ya kawaida ni pamoja na kukosa pumzi hawa wakati unapotekeleza majukumu mepesi, kikohozi kisichosikia dawa na maambukizi ya mara kwa mara kifua.
Idara ya Afya ya Umma nchini Uingereza (PHE) imeanzisha kampeini hii mpya yenye matangazo na kuonya kuwa wavuta wachukulie kikohozi kuwa dalili mbaya na dalili ya kwanza wa maambukizi mabaya ya mapafu.
Hakuna tiba ya maradhi haya,ila iwapo mvutaji ataacha kuvuta sigara,mipango lengwa ya zoezi na dawa zinaweza kupunguza kasi ya maambukizi ya COPD.
Ili kuongeza uelewa juu ya ugonjwa huo, PHE imeandaa filamu fupi inayotumiwa katika kampeini hiyo kwenye mitandao.
Filamu hiyo inamhusisha bingwa wa zamani wa Olimpiki Iwan Thomas, ambaye mamake alipatikana hivi karibuni na ugonjwa wa COPD.
Thomas anafanya majaribio na wavutaji sigara kuona iwapo COPD inaweza kupunguzwa miongoni mwa wavutaji sigara.
Thomas alisema: "Sijawahi kueleweka kikamilifu COPD au athari yake katika maisha ya kila siku, lakini wakati mambo rahisi kama kupanda ngazi, na kutengeneza kikombe cha chai au kutembea kutoka kituo cha mabasi inaanza kuwa vigumu kwangu ndipo ilinifanya nikatahamaki.''

'Mwaka wa kuacha sigara'

"Baada ya uvutaji sigara wa miaka mingi , mamangu mzazi ameamua kuwa mwaka wa 2016 ndio mwaka atakaoacha kuvuta sigara!''
Ningewasihi wale wote wanaovuta sigara wafanye maamuzi kama hayo kwaajili ya kunusuru mapafu na afya yao wenyewe'' alisema Thomas.
Profesa Sally Davies, ambaye ni afisa mkuu wa matibabu,nchini Uingereza aliongeza kusema kuwa : "COPD ni ugonjwa mbaya licha ya kuwa haujulikana sana''.
"Jambo la busara kwa mvutaji sigara ni kutathmini afya ya mapafu yake mapema kisha kuchukua hatua zinazohitajika za kitabibu ilikunusuru maisha yao ikiwa ni pamoja na kuacha uvutaji wa sigara.''

Trump alidhani mji wa Paris uko Ujerumani?

Trump
Muda mfupi baada ya mwanamume mmoja kuuawa na polisi siku ya maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa mashambulio ya Charlie Hebdo nchini Ufaransa, Donald Trump alikuwa anavuma mtandao wa Twitter.
Hii ni kutokana na ujumbe aliouandika kuhusu mashambulio hayo.
Kwenye ujumbe huo, Trump, anayeongoza miongoni mwa wanaotaka kuwania urais Marekani kupitia chama cha Republican, alizungumzia mji wa Paris na nchi ya Ujerumani.
Baadhi ya waliosoma ujumbe huo walionekana kuamini alikuwa akiashiria kwamba mji wa Paris unapatikana Ujerumani.
Vitambulisha mada “Germany is a mess,” (Ujerumani imo matatani) na “Paris is in Germany” (Paris imo Ujerumani) maeneo mengi duniani duniani.
Lakini, mtu anayetaka kuwa rais wa Marekani anaweza kuchanganyikiwa kiasi cha kudhani Paris, mji mkuu wa Ufaransa, unapatikana Ujerumani?
Huku akiendelea kushutumiwa, baadhi waliamini ujumbe wake ulikuwa sahihi na waliokuwa wakimshutumu ndio waliokuwa wamekosea.
Kilichokanganya walioamini kwamba Trump alidhani Paris imo Ujerumani ni hatua yake ya kuzungumzia matukio mawili katika ujumbe mmoja.
Kwenye sentensi yake ya tatu, wanasema, alikuwa anazungumzia matukio mjini Cologne mkesha wa Mwaka Mpya ambapo wanawake karibu 90 wanadaiwa kunyanyaswa kingono.
Waliotekeleza uhalidu huo wanadaiwa kuwa wa asili ya Afrika Kaskazini au Uarabuni. Kumbuka mji wa Munich pia ulikuwa umekumbwa na tishio la shambulio la kigaidi.
Bw Trump amekuwa akishutumiwa vikali, hasa tangu apendekeze Waislamu wazuiwe kuingia Marekani baada ya wanandoa wawili Waislamu kuua watu 14 eneo la San Bernardino, jimbo la California.
Mwanamume aliyeuawa Paris jana anadaiwa kusema ‘Allahu Akbar’ (Mungu ni Mkubwa) nje ya kituo cha polisi eneo la Goutte d’Or karibu na Montmartre, kabla ya kupigwa risasi na polisi.

CHANZO: BBC

Dondoo za Lishe Wakati wa Ujauzito

Dondoo za Lishe Wakati wa Ujauzito

Unakula nini wakati wa ujauzito? Lishe wakati wa ujauzito ni muhimu kwa ajili ya afya yako na maendeleo mazuri ya mtoto anayekua tumboni. Zifuatazo ni dondoo za kukuwezesha uwe na lishe nzuri wakati wa ujauzito:
  • Jitahidi upate mlo kamili kila siku kwa kupata vyakula vya wanga, protini, mafuta, vitamini, madini na maji ya kutosha.
  • Fanya nusu ya mlo wako uwe ni mchanganyiko wa matunda na mboga za majani.
mjazito akipata mlo wenye mgoga za majani
  • Tumia nafaka zisizokobolewa kama unga wa dona au mtama, mchele usiokobolewa, mikate ya brown au whole grain cereals.
  • Tumia maziwa yenye fafi kidogo( skimmed milk) au maziwa na vinywaji vya soya.
  • Chagua vyanzo vyako vya protini zaidi katika samaki, kuku, mayai, jamii ya maharage, soya na karanga.
  • Tumia zaidi mafuta ya mimea katika mapishi yako kama mafuta ya alizeti, pamba au mizeituni (Olive oil).
    mafuta ya alizeti
  • Punguza vyakula vyenye sukari za kuongeza (hasa artificial sugars) na mafuta kama biskuti, pipi, soft drinks, soda, pipi, ice creams, vyakula vya kukaanga na hot dogs.
  • Kunywa maji mengi, zisipungue lita 2.5 kwa siku.
  • Mazoezi mepesi kama kutembea kwa dakika 30 kwa siku.
  • Epuka matumizi ya pombe kwani yataathiri afya ya mtoto wako.
    usinywe pombe
  • Tumia virutubisho ziada (supplements) utakazopata kliniki.


The human body is made up of cells. Inside a human cell, you will find certain irons such as sodium, potassium, calcium, magnesium and phosphorous. Irons inside our cells are also known as electrolytes and are necessary for the normal functioning of our organs. They regulate bodily aspects such as hydration, heart rate, and the nervous system. An imbalance of electrolytes may cause or increase chances for cell and organ disfunction. This can result in conditions such as irregular heartbeats, headaches, muscle weakness, etc. For human organs to function normally, cells need to be hydrated and nourished with an appropriate diet. Luckily, coconut water is composed of the same irons found in a healthy human cell. Making it an ideal refreshment to simply hydrate the body or for replacing electrolytes lost during sweat and heat. Credit-FAS Magazine

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
The human body is made up of cells. Inside a human cell, you will find certain irons such as sodium, potassium, calcium, magnesium and phosphorous. Irons inside our cells are also known as electrolytes and are necessary for the normal functioning of our organs. They regulate bodily aspects such as hydration, heart rate, and the nervous system. An imbalance of electrolytes may cause or increase chances for cell and organ disfunction. This can result in conditions such as irregular heartbeats, headaches, muscle weakness, etc. For human organs to function normally, cells need to be hydrated and nourished with an appropriate diet. Luckily, coconut water is composed of the same irons found in a healthy human cell. Making it an ideal refreshment to simply hydrate the body or for replacing electrolytes lost during sweat and heat. Credit-FAS Magazine

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu

J.LO FOR INSTYLE MAGAZINE FEB 2016

2FCB451E00000578-0-image-m-2_1451923415422


J.Lo stuns kwenye Instyle Magazine feb 2016 issue huko ana share mamabo mengi,Music,Boyfriend wake Casper Smart na wanae wawili hawa Twins.
Anasema marriage is not a goal kwake kwa sasa she wants to be happy on her own smart move J.Lo kwanza be happy lesson learned here.
‘I need to be happy on my own,’ she explained. ‘If someone fits into that, great. But if they don’t, that’s OK too
‘As girls, I think we are taught from a very young age that someone else is going to bring us our happiness.
‘I was waiting for Prince Charming. Everybody I met was going to be the guy I was going to spend my life with. And then you realize, ‘I’m strong’ I’m my own keeper, my own savior.
‘That’s been the journey for me.’
2FCB01CA00000578-0-image-a-7_1451924769580
J.lo alivaa designs by Fendi and Narciso Rodriguez,the  rust-colored sweater by Acne Studios with a white skirt by Calvin Klein Collection,ila kwa hii shoot J.Lo anasema alivutiwa zaidi na pairs of drop earrings by the likes of Céline, Marni, and David Yurman kingine ni Leather Altuzarra bangles specially made for the label’s spring 2016 runway show.
The truth is she always looks great in anything.
2FCB451A00000578-0-image-a-6_1451924214010
on her twins
 J.Lo told InStyle that despite her busy work schedule, her seven-year-old twins Max and Emme, from her marriage to singer Marc Anthony, are her top priority.
‘They come with me everywhere,’ The Bronx-raised star said. She added that she takes a selfie by their bedside if she gets home after they’re asleep ‘so they know I was there.’
‘I am busy, and they know it,’ said J.Lo. ‘And they know part of their job is helping me get sleep.
‘If I’m sleeping in, they’re very quiet, like, ‘Mommy needs to sleep! She worked late last night!’ We’re a team.’
2FCB452200000578-0-image-a-3_1451924031402 2FCB452600000578-0-image-a-5_1451924208517
This body though

Lil Mama Talks Famous Power 105.1 Breakfast Club Interview, Memes & Nicki Minaj Beef (VIDEO)

lil mamaTwo time hip-hop sensation, Lil Mama, strikes a comeback after years of public ridicule from a stunt and interview that stagnated her career. By now everyone has seen, in some shape or form, the memes of Lil Mama breaking down in tear on The Breakfast Club. Not only have you seen the breakdown but we’ve also laughed at the various memes that have surfaced, including the artist whose “Lip Gloss” was pippin back in 2005 and had the world screaming “Sausage” throughout the summer of 2015.
NewScope Live! host, Nasir Ellis, delves in deep into the creation of the EP “Take Me Back” and who she is as a person, not a persona.  She silences everyone, fans and critics, with first track “Memes” which quickly addresses her sentiments about public ridicule.
Watch Parts 1 & 2 of the interview below.

Drake na Bryson Tiller kushirikiana kwenye ngoma ijayo?

drakebrysonBryson Tiller mwaka 2015 ulikua wa mafanikio kwake ambapo aliweza kujipatia mashabiki wengi na pamoja na album yake kua katika chati kubwa kubwa pamoja na single yake ya “Don’t” ambayo ilipokelewa vizuri. Tiller ameelezea kua mafanikio yake kimuziki mwaka 2015 yamebadili maisha yake kiujuma na hii ikamuwezesha kuwa katika hali nzuri kifedha.
 Tell Drake to throw me on the remix. We both know that’ll never happen,”
 The remix may not happen but a collaboration may. Bryson alipost picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa yeye pamoja na Drake. A$AP Rocky already said Tiller has all of the b***es. If he collaborates with Drake he may have even more.
  Tunaamini wote kua  collaboration iko karibu.
A photo posted by pen griffey (@brysontiller) on
Bryson Tiller - How About Now (Freestyle)

New Video: Linah – Nia yangu [Official Video]

Linah ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Nia yangu’ imeongozwa na Director Khalifan na Audio ametengeneza Ema the boy

Mrembo wa Kenya, Vera Sidika adaiwa kula uroda na Rapper wa Marekani Fetty Wap


Mrembo wa Kenya, Vera Sidika anaweza kuwa amekula uroda na muimbaji wa ‘Trap queen’ Fetty wap.
Mrembo huyo mwenye umbo la utata ambaye kwasasa yupo Las Vegas, Marekani kwa ajili ya Vacation kuna uwezekano mkubwa wa kuwa Fetty wap ambaye alikuwepo Las Vegas pia hakumuacha hivihivi,
Picha inaanza hivi, siku mbili zilizopita Vera aliweka picha kwenye Instagram na mmoja ya watu wa Management ya Fetty wap, RGF productions alicomment kwenye picha hiyo “where we at tonight”
 
 
Siku iliyofuata Vera aliweka picha amevaa kofia sawa na ambayo Fetty wap alikua amevaa kwenye picha nyingine aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram.


Kwenye picha ya nyingine, Vera sindika alipiga selfie huku akificha baadhi ya vitu nyuma, Itakuwa ni nini ambacho hataki watu waone?
vera2

SAMATTA NDIYE MWANASOKA BORA ANAYECHEZA AFRIKA, AUBAMEYANG AMBWAGA YAYA TOURE

ORODHA KAMILI YA WASHINDI
MCHEZAJI BORA WA AFRIKA - Pierre-Emerick AUBAMEYANG (Gabon)
MCHEZAJI BORA ANAYECHEZA AFRIKA – Mbwana Aly SAMATTA
MCHEZAJI BORA WA KIKE - Gaelle ENGANAMOUIT (Cameroon)
MCHEZAJI BORA KIJANA - Victor OSIMHEN (Nigeria)
MCHEZAJI BORA ANAYECHIPUKIA VIZURI - Etebo Peter OGHENEKARO (Nigeria)
KOCHA BORA WA MWAKA- Herve RENARD (Ufaransa) – Kocha wa zamani wa Ivory Coast
REFA BORA WA MWAKA - Bakary Papa GASSAMA (Gambia)
TIMU BORA YA TAIFA – Ivory Coast
TIMU BORA YA TAIFA YA WANAWAKE- Cameroon
KLABU BORA YA MWAKA - TP Mazembe (DRC)
GWIJI WA AFRIKA - Charles Kumi GYAMFI (Ghana)
Samuel MBAPPE LEPPE (Cameroon)

KIKOSI BORA AFRIKA
Kipa: Robert Muteba KIDIABA (DRC)
Mabeki: Serge AURIER (Ivory Coast), Aymen ABDENNOUR (Tunisia), Mohamed MEFTAH (Algeria)
Viungo: Andre AYEW (Ghana), Yaya TOURE (Ivory Coast), Sadio MANE (Senegal), Yacine BRAHIMI (Algeria),     
Washambuliaji: Mbwana Aly SAMATTA (Tanzania), Pierre-Emerrick AUBAMEYANG (Gabon), Baghdad BOUNEDJAH (Algeria) 

WACHEZAJI WA AKIBA;
Djigui DIARRA (Mali)
Azubuike OKECHUKWU (Nigeria)
Kelechi NWAKALI (Nigeria)
Zinedine FERHAT (Algeria)
Adama TRAORE (Mali)
Victor OSIMHEN (Nigeria)
Kermit ERASMUS (Afrika Kusini)
Mbwana Samatta akipokea tuzo yake ukumbi wa mikutano wa kimataifa mjini Abuja

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora Anayecheza Afrika katika sherehe zilizofanyika usiku huu ukumbi wa mikutano wa Kimataifa mjini Abuja.
Samatta amepata pointi 127, mbele ya mchezaji mwenzake wa TP Mazembe, kipa Robert Muteba Kidiaba wa DRC, aliyepata pointi 88, wakati mshambuliaji wa Etoile du Sahel ya Tunisia na timu ya taifa ya Algeria, Baghdad Bounedjah amepata pointi 63.
Mafanikio ya Samatta anayeweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo kubwa ya Afrika, yanakuja baada ya kuiwezesha Mazembe kutwaa taji la tano la Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akiibuka mfungaji bora kwa mabao yake nane. 
Mshambuliaji wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Afrika kwa mara ya kwanza. 
Mchezaji wa Borussia Dortmund ya Ujerumani mwenye umri wa miaka 26, amewaangusha Yaya Toure wa Ivory Coast aliyekuwa anashikilia tuzo hiyo na Andre Ayew wa Ghana.
Amekusanya pointi 143, saba zaidi ya Toure wakati Ayew ameshika nafasi ya tatu kwa kupata pointi 112 na anakuwa mchezaji wa kwanza wa 
Gabon kushinda tuzo ya CAF
Kiungo wa Nigeria, Etebo Peter Oghenekaro ameshinda tuzo ya Mchezaji Anayechipukia Vizuri dhidi ya Mnigeria mwenzake, Azubuike Okechukwu, kipa wa Mali, Djigui Diarra, Mahmoud Abdelmonem Abdelhamid ‘Kahraba’ wa Misri na Mualgeria, Zinedine Ferhat.
Etebo, anayechezea timu ya Ligi Kuu ya Nigeria, Warri Wolves, aling’ara katika michuano ya U-23 ya Afrika Desemba nchini Senegal, akiibuka mfungaji bora kwa mabao yake matano, yakiwemo mawili aliyofunga katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Algeria katika fainali.
Mshambuliaji kinda wa Nigeria, Victor Osimhen ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora Chipukizi akimshinda ndugu yake, Kelechi Nwakali, wachezaji wawili wa Mali, Adama Traore na Samuel Diarra na Yaw Yeboah wa Ghana.
Osimhen anayeshinda tuzo hiyo siku tisa tangu asherehekee kufikisha miaka 17 ya kuzaliwa, mafanikio hayo yanafuatia kufanya kwake vizuri katika Kombe la Dunia la U-17 Oktoba mwaka jana nchini Chile, akifunga mabao 10 na kuibuka mfungaji bora sambamba na kushinda Mpira wa Fedha baada ya Mchezaji Bora wa pili wa michuano hiyo, huku Nigeria ikitwaa Kombe.
Anakuwa mchezaji wa pili wa Nigeria kushinda tuzo hiyo baada ya Kelechi Iheanacho mwaka jana.
Mfaransa, Herve Renard ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwaka kwa mara ya pili, baada ya kuipa Ivory Coast ubingwa wa Afrika mwaka jana nchini Equatorial Guinea.
Mfaransa huyo amewashinda Baye Ba wa Mali U-17, Patrice Carteron wa TP Mazembe, Faouzi Benzarti wa Etoile du Sahel na Emmanuel Amunike wa Nigeria U-17.


Renard, ambaye alishinda tuzo ya kwanza baada ya kuipa Zambia ubingwa wa Afrika mwaka 2012, alikabidhiwa tuzo yake na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF, Adoum Djibrine.
Cameroon imezishinda Ghana, Afrika Kusini na Zimbabwe katika kipengele cha timu bora ya taifa ya wanawake, wakati Ivory Coast imeziangusha 
Ghana, Mali U-17, Nigeria U-17 na Nigeria U-23 katika timu bora ya taifa ya wanaume.
Refa wa Gambia, Papa Bakary Gassama ameshinda tuzo ya refa bora kwa mara ya pili mfululizo akiwaangusha Ghead Zaglol Grisha wa Misri, Janny Sikazwe wa Zambia na Eric Arnaud Otogo Castane wa Gabon. 
Mualgeria, Haimoudi Djamel pia alishinda tuzo hiyo mara mbili mfululizo mwaka 2012 na 2013.
Kocha wa United Louis van Gaal anataka kusajili mshambul

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/01/manchester-united-yaambiwa-isahau.html
Copyright © saluti5

Latest 10:49 PM YANGA YAISHIKISHA ADABU MTIBWA MAPINDUZI CUP NA KUTINGA NUSU FAINALI KWA KISHINDO ...Azam yapewa mkono wa kwaheri Home » SOKA » MANCHESTER UNITED YAAMBIWA ISAHAU KUMPATA SADIO MANE WA SOUTHAMPTON MWEZI HUU MANCHESTER UNITED YAAMBIWA ISAHAU KUMPATA SADIO MANE WA SOUTHAMPTON MWEZI HUU A+ A- Print Email Mane knows he will have numerous options at top clubs in the summer, when Southampton will listen to offers Manchester United imeshindwa kumsajili mshambuliaji wa Southampton Sadio Mane mwezi huu. Louis van Gaal anataka kumsajili nyota huyo wa Senegal katika dirisha la Januari ili kuboresha safu yake ya ushambuliaji ambayo imepwaya kupita maelezo. Inasemekana maofisa wa United walibisha hodi Southampton wiki hii kujaribu kuwasilisha ombi lao la kumyakua Southampton. Lakini Manchester United wameambiwa hakuna biashara inayoweza kufanyika dirisha hili juu ya Sadio Mane labda kwa dirisha la kiangazi. Manchester United have failed in their bid to bring in forward Sadio Mane during the January transfer window Manchester United imenyimwa kumsajili Sadio Mane Southampton have rejected United's advances for the 23-year-old but will listen to offers in the summer Southampton imeigomea United kumyakua Sadio Mane United manager Louis van Gaal wants to add to his forward line with Mane seen as an ideal addition Kocha wa United Louis van Gaal anataka kusajili mshambuliaji mpya

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/01/manchester-united-yaambiwa-isahau.html
Copyright © saluti5

CAF YATAJA MAREFA WA CHAN 2016 RWANDA, HAKUNA MTANZANIA HATA MMOJA

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetaja marefa wa kuchezesha Michuano ya Ubingwa wa Mataifa Afrika (CHAN) - na hakuna jina la Mtanzania hata mmoja.
Marefa 34 kutoka nchi 26 wameteuliwa kuchezesha fainai za michuano hiyo inayohusisha wachezaji wanaocheza ligi za nchini mwao pekee, ambayo itafanyika nchini Rwanda Januari 16 hadi February 7.




ORODHA YA MAREFA WA CHAN 2016
#
JINA
NCHI ATOKAYO
1
Abid Charef Medhi
Algeria
2
Bernard Camille
Shelisheli
3
Denis Dembele
Ivory Coast
4
Ibrahim Nour El Din
Misri
5
Daniel Bennet
Afrika Kusini
6
Kordi Med Said
Tunisia
7
Mohamed H. El Fadil
Sudan
8
Nampiandraza Hamada
Madagascar
9
Keita Mahamadou
Mali
10
Ali Lemghaifry
Mauritania
11
Malang Diedhiou
Senegal
12
Zio Ephrem Juste
Burkina Faso
13
Davies Omweno
Kenya
14
Hudu Munyemana
Rwanda
15
Joseph Lamptey
Ghana
16
Thierry Nkurunziza
Burundi

MAREFA WASAIDIZI (Washika vibendera)
1
Mokrane Gourari
Algeria
2
Ndagijimana Theogene
Rwanda
3
Mark Ssonko
Uganda
4
Oamogestse Godisamang
Botswana
5
Noupue Nouegoue Elvis
Cameroon
6
Dina Bienvenu
Benin
7
Serigne Cheikh Toure
Senegal
8
Ahmed Hossam Taha
Misri
9
Tesfagiorghis Berhe
Eritrea
10
David Laryea
Ghana
11
Mamady Tere
Guinea
12
Sullaymane Sosseh
Gambia
13
Marwa Range
Kenya
14
Mahamadou Yahaya
Niger
15
Hensley Petrousse
Shelisheli
16
Khumalo M. Steven
Afrika Kusini
17
Theophile Vinga
Gabon
18
Nabina Blaise Sebutu
DRC

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...