Tambua kwamba mafanikio hayatoki mbali na wewe, hivyo basi jitahidi sana kufanya vitu ambavyo vinakuweka karibu na mafanikioKutengeneza mafanikio katika maisha huchukua muda mrefu hivyo basi jitahidi sana kuangalia jinsi ambavyo unafanya mambo yako kuwa na imani kwamba ipo siku utaona nguvu zako zimekulipa.
Tambua kwamba watu waliofanikiwa hufanya maamuzi magumu, hivyo basi jitahidi kuwa na msimamo katika maisha fanya maamuzi katika kila sekta.
Jifunze kutokana na makosa pia tambua kwamba mafanikio huja baada ya kuona na kukabiliana na hayo makosa au changamoto.
Watu wanaokuwa na wewe katika mafanikio ni wengi sana ila tambua sana watu wanaokuwa na wewe katika matatizo au changamoto za maisha ni wachache na hao ndio wale marafiki zako wa kweli.
Ni vigumu kufanikiwa kwa kufanya vitu ambavyo hupendi hivyo basi siku zote fanya vitu ambavyo unavipenda kama kazi na mafanikio utayaona.
It seems like Drake, Rick Ross, & Fetty Wap
etc. have been getting around. We spot them with a different girl
everyday. Hey, they could just be friends though. Drake was recently
spotted at a game with CSULB volleyball player Ashley Murray. Allegedly
the two go way back and she’s a girlfriend he left. We’ll keep our eyes
on these two…. Amber Rose, Serena Williams, and your local stripper.
Mwana muziki kutoka Nigeria, D’Banj anafungua mwaka kwa kuachia hii
single yake mpya inaitwa “Emergency” ni single ya kwanza kwa mwaka huu
wa 2016.
Wavuta wa sigara wameshauriwa wasipuuze kikohozi kwani inaweza kuwa
ishara ya ugonjwa mbaya zaidi unaoweza kudhoofisha na hata kuhatarisha
maisha ya wavutaji sigara.
Two time hip-hop sensation, Lil Mama, strikes a
comeback after years of public ridicule from a stunt and interview that
stagnated her career. By now everyone has seen, in some shape or form,
the memes of Lil Mama breaking down in tear on The Breakfast Club.
Not only have you seen the breakdown but we’ve also laughed at the
various memes that have surfaced, including the artist whose “Lip Gloss” was pippin back in 2005 and had the world screaming “Sausage” throughout the summer of 2015.
Bryson Tiller mwaka 2015 ulikua wa mafanikio kwake ambapo aliweza kujipatia mashabiki wengi na pamoja na album yake kua katika chati kubwa kubwa pamoja na single yake ya “Don’t” ambayo ilipokelewa vizuri. Tiller ameelezea kua mafanikio yake kimuziki mwaka 2015 yamebadili maisha yake kiujuma na hii ikamuwezesha kuwa katika hali nzuri kifedha.


