04 July, 2015

Hizi ndizo video 10 za Nigeria zinazo ongoza kutizamwa YouTube

 Asilimia kubwa ya watu wanao taka kutizama video kwenye mitandao basi mtandao wa kwanza kuujua ni YouTube japokuwa ipo mitandao mingine inayo jihusisha na kuweka video kwenye mtandao.

Hizi ndizo video 10 kutoka kwa wasanii wa Nigeria ambazo zimeonekana kuwa zinapendwa kutizama kila mara kwenye mtandao wa YouTube bila kujali lini video hiyo iliwekwa. Ikiwa wasanii wa Nigeria wanafanya vizuri hivi vipi hapa kwentu Tanzania.!

10. P-Square – Do Me 15,551,583


9. Flavour – Nwa Baby (Ashawo Remix) 17,272,401


8. Davido – Aye 21,953,528


7. P-Square ft. Rick Ross – Beautiful Onyinye 23,233,589


6. Yemi Alade – Johnny 24,718,205


5. Timaya Ft. Sean Paul – Bum Bum Remix 26,412,392


4. P-Square Ft. Akon, May D – Chop My Money 26,213,569


3. Iyanya – Kukere 28,618,922


2. D’Banj – Oliver Twist 34,021,287


1. P-Square – Personally 46,591,476

Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...