
04 July, 2015
Hizi ndizo video 10 za Nigeria zinazo ongoza kutizamwa YouTube
Asilimia kubwa ya watu wanao taka kutizama video kwenye mitandao basi mtandao wa kwanza kuujua ni YouTube japokuwa ipo mitandao mingine inayo jihusisha na kuweka video kwenye mtandao.
Hizi ndizo video 10 kutoka kwa wasanii wa Nigeria ambazo zimeonekana kuwa zinapendwa kutizama kila mara kwenye mtandao wa YouTube bila kujali lini video hiyo iliwekwa. Ikiwa wasanii wa Nigeria wanafanya vizuri hivi vipi hapa kwentu Tanzania.!

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment