14 April, 2015

Alichosema Drake kuhusu busu zito la Madonna,


Drake ametumia instagram yake kusema kuwa “Watu wasitafsiri kitendo chake vibaya ila hakutegemea kumbusu madonna ” .

640_drake_madonna_response
Kwenye tamasha la Coachella  mwanii mkongwe wa pop Madonna alikutanisha midomo yake na rapa mkubwa Drake wakiwa pamoja kwenye jukwa na kukamata attention ya watu wengi. Baada ya busu lao Drake alionekana kushtushwa na jambo hilo na
kushika mdomo kitendo ambacho kilitafsiriwa kama ni kutopenda busu la malkia huyo wa pop.drake27831F3C00000578-3036560-image-a-238_1428908071552


Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...