15 April, 2015

MAYWETHER KUACHANA NA NGUMI.

floyd-1428054377
Siku zinazidi kukatika kuelekea pambano lenye thamani kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani, wengine wanaliita pambano la karne baina ya bondia asiyepigika Flody Mayweather  na Manny Pacquiao litakalopigwa mei pili mwaka huu Las Vegas Marekani.

Habari mpya kutoka kwa Mayweather ni kwamba baada ya pambano la mwezi mei amekiri kuwa ataongeza pambano lingine moja mwezi septemba na baada ya hapo atastaafu mchezo wa masumbwi.
Bondia huyo tajiri amesema sasa hafurahii tena mchezo huo na inamlazimu kukaa pembeni ili kufanya mambo mengine.

Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.
 

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...