Imeripotiwa toka Tukuyu Mbeya leo, Hiace
ambayo ilikuwa imebeba abiria imepata ajali kwa kutumbukia mtoni,
Kamanda wa Polisi Mbeya, RPC Ahmed Msangi amethibitisha kwamba watu 19 wamefariki kutokana na ajali hiyo.
17 April, 2015
Imeripotiwa ajali nyingine ya Hiace Mbeya, Kamanda wa Polisi kathibitisha vifo vya watu–
Bado hatujaisahau ajali ya basi la
Majinjah Express iliyotokea eneo la Changarawe Iringa, watu 50
walifariki.. zikafuatia nyingine ikiwemoya basi jingine la Nganga
Express ambayo nayo watu 15 walifariki, isikitisha wengi pia, wote
waliofariki ilibidi wazikwe kwenye kaburi moja kutokana na miili ya
marehemu kuharibika kutokana na moto ambao uliunguza basi hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment