16 April, 2015

Lil Wayne ameshtakiwa na dereva wake, sababu kubwa ipo kwenye hii stori

Lil WayneInaonekana rapper Lil Wayne atatumia muda wake mwingine ndani ya mwaka 2015 kwenye chumba cha Mahakama manake headline ya sasa ni yeye kashtakiwa na dereva wake wa zamani.

Ameshitakiwa na dereva wake wa zamani kwa kile alichosema ni kutishiwa kuuwawa tena na bunduki ikihusika, yaani kisa kilitoka siku saa tano usiku anamuendesha Lil Wayne.bus tour 1Kilichomkasirisha Wayne ni pale dereva huyo alipoingia kwenye kituo cha mafuta kwa ajili ya kuweka mafuta, Wayne akakasirika akaikoki mpaka bunduki na kumwambia dereva, ‘nipeleke hotelini haraka, sasa hivi‘ kitisho kilichomfanya dereva huyo kuondoa gari bila kuweka mafuta.
Dereva Mark Jones anasema alikodishwa kumwendesha Lil Wayne na timu yake kwenye ziara ya kimuziki mwaka 2014 na sasa kaamua kumshitaki Mahakamani.
   
Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...