12 April, 2015

Vikosi vinavyotarajiwa kuanza leo kwenye ‘Dabi’ ya Manchester

MoS2 Template Master
MECHI TATU ZA  MANUEL PELLEGRINI 3 v MANCHESTER UNITED 0
Kocha wa  Manchester City,  Manuel Pellegrini ana rekodi ya ushindi ya asilimia 100 katika mechi zote 3 alizokutana na Manchester United tangu arithi mikoba Roberto Mancini.
Manchester City 4-1 Manchester United, Septemba 2013
Sergio Aguero alifunga magoli mawili katika ushindi wa kwanza wa Pellegrini katika mechi ya watani hao wa jadi, wakati kocha mwingine aliyekuwa anaiongoza kwa mara ya kwanza United kwenye mechi ya mahasimu, David Moyes alishuhudia Man United ikisambaratishwa.
Manchester United 0-3 Manchester City, Machi 2014 
Edin Dzeko alifunga baada ya sekundu 45 tu Old Trafford na baadaye aliongeza la pili na kuifanya City imalize msimu kwa kuichapa Man United mara mbili.
 Pellegrini labda anaweza kufikiria kumuanzisha leo Mbosnia huyo.
Manchester City 1-0 Manchester Utd 0, Novemba 2014 
Kocha mpya Manchester United matokeo yale yale. Aguero alifunga goli pekee la ushindi

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...