DAU LA KOCHA GORAN LAITOA JASHO SIMBA
Kupovic aliliambia gazeti la Mwananchi kwamba alizungumza na uongozi wa juu wa Simba kuhusu hatima yake kwenye club hiyo na walimweleza kwamba avute subira huku suala lake likifanyiwa kazi.
Baada ya kumaliza mkataba wake kocha Kupovic anataka mkataba mpya uwe na mshahara wa Dola



