14 May, 2015

USIPITWE NA MAGAZETI YA MICHEZO ULAYA LEO MAY 14.

leo leo
DAU LA KOCHA GORAN LAITOA JASHO SIMBA
Kupovic aliliambia gazeti la Mwananchi kwamba alizungumza na uongozi wa juu wa Simba kuhusu hatima yake kwenye club hiyo na walimweleza kwamba avute subira huku suala lake likifanyiwa kazi.
Baada ya kumaliza mkataba wake kocha Kupovic anataka mkataba mpya uwe na mshahara wa Dola

JE ULIYAKOSA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI MAY 14,2015? HAYA HAPA

Image result for NEWS DAILY
MWANANCHI
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Anna Mgwira amesema chama hicho hakina matatizo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na hata sasa kinasubiri majibu ya barua yao waliyoituma kwa umoja huo kuomba kuunganishwa. Mgwira alitoa kauli hiyo wakati chama hicho kilipofanya

MAMA MZAZI WA FALCAO AZUNGUMZIA KIWANGO CHA MWANAWE NDANI YA MAN UNITED.

falcao2
Kila siku namkumbusha kwamba baada ya tabu au majaribu inakuja baraka. Tunaimani mambo makubwa na mazuri kuja hapo mbeleni. Mungu hajatuacha sisi na hata mwanangu pia. Hivi karibuni atakua yule mtu ambae anataka kuwa, mfungaji magori na sio vingine.

Vanessa Mdee, Victoria Kimani, Yemi Alade pamoja kwenye hii Video…

aladee
‘Strong Girl‘ ni wimbo wa pamoja ulioimbwa na mastaa wa kike kutoka Afrika ambao wameungana pamoja kupambana na umaskini  kwa wasichana na wanawake katika jamii.
Miongoni mwa mastaa waliopo kwenye wimbo huo ni pamoja na 

Christina Milian kafanya hivi kuonyesha mapenzi ya kweli kwa Lil Wayne.

mayweather-pacquiao-fight-8
Rnb staa Christina Milian ameonyesha mapenzi ya dhati kwa rapa Lil Wayne kwa kuchora tattoo ya majina yao pamoja kwenye mkono wake.Tattoo imeandikwa “love hard…TnT,”  ikimaanisha Tina and Tunechi. Wiki iliyopita Milian alitoa video ya wimbo “Rebel,” ambao ni wimbo uliohamasishwa na mapenzi yake kwa

wafahamu wasanii watatu waliojitoa Cash Money ndani ya miezi sita.

bow wow
Baada ya Omarion na rapa Busta Rhymes kujitoa Cash Money records, Jumamosi ya May 9 2015 rapa/mtangazaji/ mwigizaji Bow Wow ametumia kurasa yake ya facebook kufahamisha mashabiki kuwa amejitoa rasmi Cash Money baada ya miaka mitano na lebel hio na kutoa album moja tu ambayo ni

13 May, 2015

KOCHA mkuu wa Simba, Goran Kopunovic bado hajafikia makubaliano na klabu yake kuhusu kusaini mkataba mpya

1067112_heroa
KOCHA mkuu wa Simba, Goran Kopunovic bado hajafikia makubaliano na klabu yake kuhusu kusaini mkataba mpya, lakini tayari ameshawaambia wachezaji wake kuwa yupo katika mazungumzo na uongozi.

12 May, 2015

JEZZ MPYA YA MAN UNITED YAVUJA

adidas-signs-manchester-united
Manchester United wana jezi mpya iliyotengenezwa na Adidas kwa ajili ya msimu ujao.
Kampuni hiyo ya vifaa vya michezo imefikia dili kubwa la jezi na Manchester United ambalo halijawahi kutokea katika historia ya mpira na sasa katika

BAYERN MUNICH KUKWAANA NA BARCELONA KATIKA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO


MECHI:     Bayern Munich vs Barcelona
LIGI:         Ligi ya Mabingwa Ulaya
HATUA:    Nusu Fainali
MUDA:     Saa 3:45 usiku
UWANJA: Allianz Arena

Muingereza Stewart John Hall Arejea tena AZAM FC

Stewart-John-Hall
Taarifa kutoka  chanzo cha kuaminika ndani ya klabu ya Azam fc zinaeleza kuwa kocha wa zamani wa klabu hiyo, Muingereza Stewart John Hall anarejea tena kuwa kocha mkuu.
Hall aliyeiacha Azam fc baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu msimu wa 2013/2014 anarejea kuchukua mikoba ya aliyekuwa kocha mkuu, Joseph Marius Omog.

TIMU TATU ZINAZO WINDA SAINI YA MTOTO WA PODOSKI MWENYE UMRI WA MIAKA 7.

3,w=993,c=0.bild
LUKAS Podolski, mshindi wa kombe la dunia akiwa na timu ya taifa ya Ujerumani mwaka jana nchini Brazil ambaye kwasasa yupo kwa mkopo Inter Milan kutokea Arsenal amehojiwa kuhusu mtoto wake na kufichua kuwa anazivutia klabu nyingi.

Wimbo wa Chege ‘Mwananyamala’.

ChegeArtwork
Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. SuScribe Youtube>>>MAWERE TV https://soundcloud.com/mawere-tv/chege-mwananyamala

KAMA HAUKUPATA CHANCE YAKUPITIA MAGAZETI YA LEO MAY12,2015 JUMANEE HAYA HAPA

NEWSHABARILEO
Mkazi wa kata ya Kisalala, Sumbawanga Lydia Shazi mwenye umri wa miaka 29 amejifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tofauti katika hospitali mbili tofauti.
Mama huyo ambaye sasa amekuwa na idadi ya watoto saba alieleza kuwa mtoto wake wa

video ya Lady JayDee ‘Give Me Love’ Ft Mazet & DJ Maphorisa.

jide-give-me-loveLady Jaydee ametoa video ya wimbo wake mpya ‘Give Me Love aliofanya na Mazet na Dj Maphorisa. Video imetayarishwa na Nicky Campos na kufanyika Johannesburg South Afrika.itazame hapa video hii kutoka kwa BINTI COMANDO >>>>>>>

video mpya yake Dj Khalid akiwa na wakali Chris Brown,Lil Wayne & Big Sean ‘How Many Times’.

cb-khaledDJ Khaled ameibuka na mkito mwingine mkali “How Many Times” akiwa na wasanii Chris Brown, Lil Wayne, na Big Sean kutoka kwenye album yake ya nane ‘I Changed a Lot’ inayotoka mwaka huu.itazame hapa>>>>>>

11 May, 2015

WACHEZAJI HAWA WA WEKUNDU WA MSIMBAZI HAWATAKUWEPO MSIMU UJAO

sdf
Msimu umeisha wachezaji mbalimbali kutoka kwenye timu tofauti duniani wanahama kutoka kwenye timu moja hadi nyingine. Huko Ulaya mambo ni yamoto kwa upande wa kijana Pogba na hapa bongo hii ndio habari mpya.

MTAZAMO WA RONALDO DE LIMA

de lima
Mshambuliaji hatari wa zamani wa Brazil Ronaldo de Lima amesema anaamini kunaupungufu mkubwa wa wachezaji wenye ubora wa hali ya juu ukiwaacha wachezaji hawa watatu kutoka Barcelona na Real Madrid,
Ronaldo na Messi ndio wachezaji wawili pekee ambao wamekua wakishinda tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa miaka saba mfululizo wakati Neymar amekua akitabiliwa kufanya hivyo baadae.

Lowassa: Huu ni Wakati wetu wa Kukimbia


WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani. Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa

Wanafunzi 'WAPIGWA' Mkutano Ukawa Arusha

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wanafunzi wa shule za msingi za Mwangaza na Ngarenaro, juzi walidaiwa kupata kipigo kutoka kwa vijana waliojiita ‘Makamanda’ wa umoja wa vyama vya siasa vya upinzani ujulikanao kama Ukawa, baada ya

MAGAZETINI LEO MAY 11

Image result for NEWS UPDATENIPASHE
Hali ndani ya Chama cha Tanzania Labour Party ‘TLP’ imezidi kuwa tete baada ya Mwenyekiti wake Augustino Mrema kuwafuta wanachama wake 10 kwa madai kuwa wanakisaliti chama.
Hata hivyo wanachama waliofukuzwa hawakuweza kupatikana kuelezea ni sababu gani zilizosababisha wafukuzwe na

10 May, 2015

Jumba la kifaharia walionunua Jay Z na Beyonce,16 hizi.

jayz 10
Baada ya kutajwa na jarida la Forbes kuwa miongoni mwa wasanii wa hiphop wenye mali na matajiri zaidi Jayz na mke wake Beyonce wamehamia kwenye jumba la kifahari lenye thamani ya pauni milioni 2.6. Jumba hilo lipo New Orleans Garden, Marekani. Nyumba inavyumba 22.

wakati YANGA na AZAM wakifurahia ubingwa, stand united washereke KUBAKI LIGI KUU.

IMG-20150509-WA0024

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV. Hizi ni baadhi ya picha

Emannuel Adebayor ameendelea KUTOA STORY YA FAMILIA YAKE PART 2

NBNB
Emannuel Adebayor ameendelea kuelezea yale ambayo tulikua hatuyajui yanaendelea nyumba ya pazia kwenye maisha yake. Sasa leo ametoa part 2 lakini pia ametoa ahadi ya kuendelea part 3. Hii hapa ni tafsiri ya post yake.
Hii ni sehemu nyingine ya story ambayo nilikaa nayo

MATUMAINI YA D MARIA UNITED NI MACHACHE;;

di
Manchester United imemsajili winga wa PSV Memphis Depay kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo msimu ujao wa ligi kuu na huenda ikamtema mchezaji wao Angel Di Maria.
Lakini klabu ya Paris Saint-Germain ‘PSV’ ya Ufaransa imesema ipo tayari kumchukua mchezaji huyo kwa

SIKILIZA MDUNDO HUU KUTOKA KWA RAPA YOUNG THUG.... love me

Image result for YOUNG THUGnimekueke hapa mdundo huu kutoka kwa young thug love isikilize na umpatie mchizi wako hapa hapa MWERE MTOKA MBALI. >>>>>>>http://www.soundpiff.com/track/10362-young-thug---love-me-no-dj-

Msanii wa Timbaland Tink arudia Huu wimbo wa Aaliyah.

tink-ws-1440
Akiwa kwenye harakati za kumtangaza msanii wake mpya ‘Tink’ Producer  Timbaland, amempa ruhusa ya kufanya remix ya wimbo wa marehemu Aaliyah “One In A Million.”

09 May, 2015

Ligi kuu ya Soka Tanzania bara leo imefikia ukingoni

ndanda leo
Ligi kuu ya Soka Tanzania bara leo imefikia ukingoni kwa kushuhudia michezo saba tofauti katika mikoa sita tofauti, huku Mabingwa wapya wa ligi hiyo Dar es salaam Young Africans wakijikuta wanapokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Ndanda FC, Mtanange uliopigwa Mtwara katika

VAN GAL AWALIMA WACHEZAJI FAINI WACHEZAJI WAKE WANAOCHELEWA MAZOEZINI

VSN
Ukiskia professional player haimaniishi kucheza vizuri na kutupi mpira nyavuni tu. Discipline ni kitu cha kwanza ambacho kila mchezaji anatakiwa kuwa na nacho.
Marouane Fellani akiwa kwenye interview alielezea jinsi gani kocha wako Van Gaal alivyomkali likija

How to keep yourself healthy in Summer


Summer is a great season for everyone, for children it’s a holiday season that brings lots of fun, travelling and reunion time with uncle, aunt and grandparents. Summer is a great time for elders too as they find some relaxation from sending their kids to school and

Hatima ya Lowassa, Membe sasa Mei 20

Filimbi ya kuanzisha mbio za urais kwa tiketi ya CCM itapulizwa Mei 23 baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho tawala, huku makada sita walio ‘kifungoni’ wakitarajia kujua hatima yao kwenye mbio hizo Mei 20. 

MAGAZETI YATU LEO May 9 2015

Image result for newz
MWANANCHI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick amesema mvua zinazoendelea kunyesha zimevuruga Jiji na kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ambapo watu nane wamefariki mpaka sasa.

08 May, 2015

Licha ya mafanikio aliyoyapata kwenye timu mbalimbali ndani ya nchi tofauti lakini bado Jose Mourinho amekubali wazi kuhusu hiki kitu.

asds
Licha ya mafanikio aliyoyapata kwenye timu mbalimbali ndani ya nchi tofauti lakini bado Jose Mourinho amekubali wazi kuhusu hiki kitu.
Ukimtoa Didier Drogba kuna veteran mwingine ambae

MAUFUNDI HAYA YA UWANJANI

kickHili moja kati ya magoli mazuri niliyokutana nayo kwenye mtandao wa Youtube nimeona ni-share na wewe mdau wangu.

Willow Smith katoa video nyingine mpya itazame hapa

willow-smith-fqc7Willow Smith amefanya mengi toka wimbo wake mkubwa “Whip My Hair.”  isheka chati kubwa duniani. Willow mwenye miaka 14 ametoa video yake mpya ‘F Q-C #7′. itazame hapa ..>>>>>>>

David Cameron amechaguliwa kwa awamu ya pili

LONDON, ENGLAND - MAY 08:  Prime Minister David Cameron leaves for Downing Street on May 8, 2015 in London, England. After the United Kingdom went to the polls in a closely fought General Election the Conservative party, led by David Cameron, are expected to be the winning party with support for both the Labour party and the Liberal Democrats falling away throughout the country.  (Photo by Dan Kitwood/Getty Images)
Raia wa Uingereza jana walikuwa na kazi moja ya kumchagua kiongozi mpya atakayewaongoza kwa muhula mwingine baada ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu.
Chama cha Conservatives kilikua na upinzani mkali dhidi ya

Kanye West ajitoa Roc Nation ya Jay Z.

jaynye
Mtandao wa Hits Daily Double umeripoti kuwa rapa Kanye West amesitisha mkataba wake na lebel ya Jay Z ya Roc Nation.
Kanye West amekuwa akisimamiwa yeye na kazi zake na

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...