14 May, 2015

MAMA MZAZI WA FALCAO AZUNGUMZIA KIWANGO CHA MWANAWE NDANI YA MAN UNITED.

falcao2
Kila siku namkumbusha kwamba baada ya tabu au majaribu inakuja baraka. Tunaimani mambo makubwa na mazuri kuja hapo mbeleni. Mungu hajatuacha sisi na hata mwanangu pia. Hivi karibuni atakua yule mtu ambae anataka kuwa, mfungaji magori na sio vingine.

Hayo ni maneno ya Carmena Zarate mama wa Radamel Falcao, amesisitiza kwamba sio kila kitu kwenye maisha ya Falcao ni rahisi, kuna nyakati mambo yanakua magumu kama hivi sasa. Mama huyo amesema kwamba mwanae hana furaha na kiwango chake kimerudi nyuma akiwa ndani ya Manchester united.falcao

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...