10 May, 2015

Jumba la kifaharia walionunua Jay Z na Beyonce,16 hizi.

jayz 10
Baada ya kutajwa na jarida la Forbes kuwa miongoni mwa wasanii wa hiphop wenye mali na matajiri zaidi Jayz na mke wake Beyonce wamehamia kwenye jumba la kifahari lenye thamani ya pauni milioni 2.6. Jumba hilo lipo New Orleans Garden, Marekani. Nyumba inavyumba 22.

Jay Z yupo kwenye orodha hio ya Forbes akishikilia namba tatu chini ya Diddy na Dr Dre kwa kuwa na ujaririwa dola milioni 500.
jayz 5jayz 6jayz 7jayz 8jayz 10jayz 11jayz 13jayz 17

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.


1.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...