08 May, 2015

Kanye West ajitoa Roc Nation ya Jay Z.

jaynye
Mtandao wa Hits Daily Double umeripoti kuwa rapa Kanye West amesitisha mkataba wake na lebel ya Jay Z ya Roc Nation.
Kanye West amekuwa akisimamiwa yeye na kazi zake na
Roc Nation ambayo ni lebel ya rapa/ rafiki yake Jay Z, Kanye West pia ametayarisha album mpya ya Rihanna R8.


Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...