14 May, 2015

Christina Milian kafanya hivi kuonyesha mapenzi ya kweli kwa Lil Wayne.

mayweather-pacquiao-fight-8
Rnb staa Christina Milian ameonyesha mapenzi ya dhati kwa rapa Lil Wayne kwa kuchora tattoo ya majina yao pamoja kwenye mkono wake.Tattoo imeandikwa “love hard…TnT,”  ikimaanisha Tina and Tunechi. Wiki iliyopita Milian alitoa video ya wimbo “Rebel,” ambao ni wimbo uliohamasishwa na mapenzi yake kwa
Wizzy.love-hard-tntmilan

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...