12 May, 2015

JEZZ MPYA YA MAN UNITED YAVUJA

adidas-signs-manchester-united
Manchester United wana jezi mpya iliyotengenezwa na Adidas kwa ajili ya msimu ujao.
Kampuni hiyo ya vifaa vya michezo imefikia dili kubwa la jezi na Manchester United ambalo halijawahi kutokea katika historia ya mpira na sasa katika
mitandao ya kijamii na Internet kuna tetesi mbalimbali kuhusu jezi mpya za Manchester United zitakazotumiwa msimu wa 2015/2016. 
Kwa mujibu wa  FootyHeadlines.com  wamepambana kuingia uvunguni na kupata picha ya jezi mpya ya Manchester United iliyotengenezwa na wadhamini wake Adidas kwa ajili ya msimu ujao.
Manchester United kwasasa ipo nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu, vinginevyo yatokeo maajabu, wanarudi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa msimu ujao.
Mechi mbili za mwisho za Manchester United ni dhidi ya Arsenal na Hull City.
Jezi yenyewe ni ya njano.

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. SuScribe Youtube>>>MAWERE TV.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...