
Mwanamuziki wa Ireland Hozier alishinda tuzo ya wimbo bora wa mwaka 'Take me to Church'.
Taylor Swift pia alishinda tuzo ya msanii bora wa kimataifa huku akikubali tuzo hiyo kupitia video akiwa nchini Australia. ''Mungu wangu tuzo hii ni nzito sana.nafurahi sana kwa kunitumia kwa sababu lazima imewagharimu''.
No comments:
Post a Comment