12 December, 2015

Vijembe kati ya 50 CENT na Rick Ross vyazidi kuchkua sura mpya

091113-music-career-defining
Rapa 50 Centhajakubali kuizika beef yake na Rick Ross na sasa ameanza kumtania kuhusu mauzo mabaya ya album mpya ya Ric Ross ‘Black Market’ .
50 Cent ambaye hivi karibuni ametoa mixtape ya The Kanan Tape amemtania Rozay kwa kusema album yake yake ya Black Market imeuza kopi 34,388 tu na kwama 15000 zimenunuliwa na Rick Ross mwenyewe.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...