12 December, 2015

jarida la Fader lasema Ojuelegba ni wimbo No12 bora zaidi duniani 2015,haikuhitaji sauti ya Drake

IMG_5365
Wimbo wa WizKid ‘Ojuelegba Remix’ watajwa kuwa No 12 kwneye nyimbo bora za 2015 na jarida la Fader kwenye orodha ya nyimbo 107 bora za mwaka 2015.
Wimbo huu wa ‘Ojuelegba Remix’ unasauti ya rapa Drake kutoka Marekani na  Skepta kutoka Uingereza.
Jarida la Fader limeandika haya kuhusu wimbo huu.
“Drake ameingia kwenye wimbo wa huyu msanii kutoka Nigeria na kuupa umaarufu zaidi Marekani, vesi ya Drake na Skepta zimeipendezesha zaidi “Ojuelegba” lakini ukweli ni kuwa wimbo huu tayari ulikuwa mkubwa sana Marekani na nchi zingine, wimbo unaujumbe mzuri wa shukurani na matumaini kuhusu nyumbani kwao”.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...