11 December, 2015

Label ya Cash Money Records ndio sababu ya kwanini ‘Hotline bling’ ya Drake haijaingia kwenye Tuzo za Grammy 2016

Wimbo wa Drake ‘Hotline bling’ mbali ya kuwa moja ya nyimbo zilizohit zaidi lakini haujawanominated kwenye tuzo za Grammy 2016.
Mtandao wa  Hits Daily Double umedai sababu kubwa ya wimbo huo kutoingia kwenye Tuzo hizo ni kwasababu label inayosimamia kazi za Drake, Cash Money Records ilichelewa kutuma wimbo huo kwa ajili ya mchakato wa nomination.
Hata hivyo Drake ameingia kwenye vipengele  5

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...