12 June, 2015

Chris Brown ajitabiria kifo chake kitakavyo kuwa kama cha 2Pac!

Chris Brown haonekani kuwa kwenye hali nzuri kwa sasa, Mbali na furaha inayo onyeshwa kusababishwa na mtoto wake Royality bado ameonekana kwenye maumivu ya kumkosa Karrueche aliyekuwa mpenzi wake kabla ya kujulikana kuwa ana mtoto kwa msichana mwingine.
Japokuwa Chris anazidi kuhit kwenye mitandao ya kijamii sio kwa ngoma yake mpya bali pia kwa picha aliyo ifanyia 'photoshopped' ambayo anaonekana akiwa kajiweka kama 2Pac kwenye gari ambalo rapper huyo alikuwa masaa machache kabla ya kupigwa risasi.Hataivyo sio mara ya kwanza kwa Chris Brown ku post kitu kama hicho, Miaka mitatu iliyopita Breezy alipost picha ikimuonyesha kalala karibu na sport car yake na kuipa caption isemayo 'ROAD KILL!'.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...