07 June, 2015

Chris Brown alivyong’ang’ania kuingia kwenye gari la X Wake Karrueche Tran.

karrueche-cb-fight
Drama za Chris Brown na X wake Karrueche Tran zimeendelea baada ya wawili hawa kujikuta wamekaa kwenye meza jirani kwenye club kubwa ya Playhouse huko Hollywood na wote kuamua kuodoka kwa wakati mmoja kuepuka ugomvi.

Kwa mujibu wa TMZ, Chris alijikuta kwenye eneo la VIP Na X Wa Karrueche kitu ambacho hakikupangwa na wote wawili bali club hio.
Baada ya Karrueche kuona hali hio aliamka na kutoka nje huku Chris Brown akimfata mpaka kulazimisha kuingia kwenye gari yake.

Hii ndio video yenyewe.


Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...