08 June, 2015

Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya zaidi ya $1 billion

list cover
Licha ya kuchukua ubingwa wa UEFA lakini bado thamani ya brand yake sio kubwa zaidi ya club tano juu yake. Barcelona imechukua UEFA lakini kwenye list ya biggest brands in football.
Kwa mara ya kwanza Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya
zaidi ya $1 billion na kuziacha brand nyingine zaidi ya dola millioni 300.
Namba mbili inakamatwa na wakali wa Bundasliga Bayern Munich kwa kuwa na thamani ya dola millioni 933 ambapo mwaka jana ilikua ni namba moja. Namba mbili imeenda kwa Real Madrid kwa kuwa na thamani ya dola millioni 873.
Vitu vya kuzingatia ni kwamba kwenye top 10 kuna brand 6 kutoka EPL ambazo ni Manchester united, Manchester city,Chelsea,Arsenal,Liverpool na Tottenham.
Licha ya Juventus kucheza fainali ya UEFA lakini kwene brand value hata top 10 haipo kwasababu imeshika namba 11.
List kamili hii hapalistlist 1

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...