07 March, 2016

Picha,Mpenzi mpya wa Baraka da Prince

baraka
Baada ya stori tofauti kusamba kwenye mitandao ya kijamii, imesemekana kuwa kwa sasa Baraka da Prince hayuko tena na msanii wa filamu Tanzania Nisher ila anatoka na msanii wa bongo Fleva Najma Aka Naj.
Haya ni maneno ya Barak Da Prince yaliyoambatana na Post ya kichwa cha mwanamke aliyelala naye.
bbk Screenshot_2016-03-06-13-43-24 Screenshot_2016-03-06-13-43-34

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...